Kahama VS Njombe/Mafinga

Sisi Njombe tunamgodi ambao ukianza tu nchi yote ya Tanzania inapataa neema na mwanzo mpya .MCHUCHUMA na LIGANGAπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚ Kama si ndugu yenu kuzuia sasa hivi tungekua tunazalisha chuma.
Kuna mgodi mpya wa dhahabu Sengerema, haujaanza uzalishaji. Yaaani hiyo Trillion 17 ya Dar tunaisawazisha ndani ya miaka mitano ijayo

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile
 
Sasa hiyo 87% ya njombe imeenda wap saivπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ takwimu za vigazeti uchwara
By the way rukwa iko kanda yenu inakuaje tena ipo mwishoπŸ˜€πŸ˜€
Rukwa sishangai Kwa sababu hata wakati wanafanya utafiti kulikuwa hakuna hata barabara Kwa hiyo umaskini usingekwepeka .But now wakifanya utafiti Tena huwezi kuikuta Rukwa kwenye umaskini..

Cha kushangaza na kusikitika sasa top ten ya mikoa maskini Tzn ,6 Kati Yao inapatikana Lake zone,huu ni umaskini wa kutisha na mnavyozidi kuzaana hovyo mamaaah mtakuwa kama Soweto au Kibera.
 
Miradi mikubwa πŸ˜€πŸ˜€,,kwamba ukijenga daraja badala ya kivuko ndio GDP inaongezeka?

Kwamba hiyo miradi ya vistendi ndio itaongeza GDP? By the way miradi ipo kila sehemu hapa Tzn..mathalani kwa mkoa wa Njombe miradi mikubwa 3 ya barabara za lami unaendelea,miradi 3 ya mabwawa ya umeme na mgodi mkubwa wa madini ya chuma/makaa ..

Kwa akili yako finyu miradi ya Njombe na hiyo ya kwenu ipi itachangia GDP kubwa kwa mkoa na Nchi?

Usipende kujifariji Sana hakuna mkoa uliolala hata kidogo,kwa Mbeya kuna ujenzi wa barabara kuu ya kuja Tabora/ Singida,ujenzi wa barabara kuu ya Tanzam,ujenzi wa mgodi mkubwa Rare earth metals na ujenzi wa stand na barabara za dual carriage mjini,just to mention the few..
 
Sisi ligi yetu ni dar ingawa wanatuzidi, njombe tupa kule, ligi ya njombe ni kigoma ingawa bado njombe inazidiwa na kigoma, angalia kigoma na njombe hapo nani anautapiamlo zaidi, UTAPIAMLO ni dalili ya ufukara uliotukuka.
 
Njombe kuna uchumi wa mazao ya misitu mkubwa sana , mazao ya chakula pia yanachangia na fursa zingine zinaweza kuzalishwa kwa ukubwa kutokea hapo kama tunavyoona au kama inavyotarajiwa ila uchumi wa kahama ni wa biashara na migosi ya dhahabu , biashara iliinuka sana mawasiliano ya barabara kwenda uganda na rwanda yalipoimaroshwa muingiliano ukaongezeka. Kwa hivyo nature ya kiuchumi kati ya Njombe na Kahama ni tofauti ni ngumu kupredict nani atampiku mwenzie,
 
Mwaka huu Njombe inapiku Kahama,tunadaiwa mil.400 tuu kuwapita..Ni wazi growth rate ya Njombe ni kubwa kuliko Kahama.πŸ‘‡

 
Umacheka au unajichekesha kwa kujifariji,,Tzn hii kuna maskini kuwazidi Lake zone? Sio mimi ni Serikali unajifanya hujui kusoma? 😝😝..

Maskini ni Hawa hapa πŸ‘‡



 
Walivyopiku toka zamani,hofu na wivu vinakusumbua,bado mil.400 [emoji116]

View attachment 1980916
Ndo nini hiki[emoji44][emoji44], ujiandikie post mwenyewe na mautapiamlo yako, uscreenshot huku ukikata id yako afu uje hapa ujitekenye na kucheka mwenyewe[emoji2][emoji2][emoji2], kahama haiwezi kuzidiwa na wenye lishe duni, kumbuka kahama hakuna utapiamlo, kule watu wanakula wanashiba vizuri sababu wa pesa.
 
Umacheka au unajichekesha kwa kujifariji,,Tzn hii kuna maskini kuwazidi Lake zone? Sio mimi ni Serikali unajifanya hujui kusoma? [emoji13][emoji13]..

Maskini ni Hawa hapa [emoji116]

View attachment 1980924

View attachment 1980925
Serikali imesema mikoa yote ya Nyanda za juu kusini ina utapiamlo, na njombe ndo kinala, yaani njombe inaizidi hadi rukwa kwa kukosa hata ile pesa ya kula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…