Kahama VS Njombe/Mafinga

Umuhimu 😂😂..Ni hivi hizo ni sehemu zenye maskini wengi Sana na zinatakiwa kuwa uplifted kimaisha ndio maana wanajaribu kuwavuta mfike hapa 👇

 
Mwisho wa siku hii ndio kahama yenyewe

Tuweni serious sometimes,
Honestly this settlement haina hadhi ya manispaa..
Poor,disorganized, dirty

Hamna kitu hapo yaani utafikiri Kambi ya wakimbizi,typical maisha ya kifukara ya migodini.
 
Jana ndani Rocky City, Kanda ya ziwa mwamba Fally Ipupa kapiga show ya kukata na mundu, na hii ni baada ya kupiga show nyingine ndani ya Dar, wasanii wakubwa kama hawa wanaenda sehemu zenye pesa tu, miji iliyoendelea. Kwa hapa bongo hawa wasanii huwa wanakuja Rocky City na Dar tu, kusini...
 
Mtamlaumu Rais bure lakini nyie ni watengwa kwa kila kitu sababu hamna umuhimu na huko kwenu hakuna hela.
 
Pesa zipo ila tuu hatuna shobo za kijinga na ushamba,hao akina fally ipupa tunawaona congo mara kwa mara maana sisi tuko border,nyie washamba ndio mnaona ni big deal
Labda Congo kariakoo
, na hao wa Marekani mnawaonea wapi? Make wenyewe wanagongaga New York, London, Nairobi, Paris, Mwanza, Dar, Cape Town, nk. Hawa wanaenda sehemu za pesa tu. Kusini Level yenu ni Giggy money
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…