Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Umuhimu 😂😂..Ni hivi hizo ni sehemu zenye maskini wengi Sana na zinatakiwa kuwa uplifted kimaisha ndio maana wanajaribu kuwavuta mfike hapa 👇Baada ya pwani na kanda ya ziwa inafuata kaskazini, kusini ni ya Mwisho kabisa huko mkiani, Leo tena Rais yuko kanda ya ziwa kwa mara nyingine, yaani yeye anarudiarudia pwani na kanda ya ziwa tu, ila kwa Sasa itabidi aende kaskazini make ndo kanda inayofuatia kwa umuhimu katika nchi hii baada ya Pwani na Lake zone, Kusini nyie ni wa mwisho mkiani kabisa,ila tulieni ipo siku atakuja japo kuwazuga kidogo make nyie mmetengwa.View attachment 1973820
Nchi yenu na nani? Sema ndio Kanda ya Ziwa yenu hiyo,uchafu kama huo haupo Kusini..Ndo nchi Yetu hiyo.....
Hamna kitu hapo yaani utafikiri Kambi ya wakimbizi,typical maisha ya kifukara ya migodini.Mwisho wa siku hii ndio kahama yenyewe
Tuweni serious sometimes,
Honestly this settlement haina hadhi ya manispaa..
Poor,disorganized, dirty
Kama huyaoni mengine sina cha kukusaidia,miwani ipo kwa bei rahisi Sana.Yaan Hilo jengo ndo linaloonekana tu
Kitwe bukoba vijijiniKama huyaoni mengine sina cha kukusaidia,miwani ipo kwa bei rahisi Sana.
Parachichi za hamsini hamsiniUmuhimu..Ni hivi hizo ni sehemu zenye maskini wengi Sana na zinatakiwa kuwa uplifted kimaisha ndio maana wanajaribu kuwavuta mfike hapa
View attachment 1974030
Mdomo wako unachoongea ni tofauti na Serikali inachoongea 😆😆..Parachichi za hamsini hamsini, ndo maana hamna umuhimu.
Njombe na parachichi zake ndo inashika mkia kwa kuchangia pato la taifa. Parachichi za hamsini hamsiniMdomo wako unachoongea ni tofauti na Serikali inachoongea..
Mkifikia hapa nitag
View attachment 1974042
Inawezekana huelewi maana ya mkia,soma hapa uelewi mkia ni Kagera 👇Njombe na parachichi zake ndo inashika mkia kwa kuchangia pato la taifa. Parachichi za hamsini hamsini
Iringa na mtoto wake njombe wanaburuza mkia.
Hakuna Takwimu mbaya ukaikosa Kagera,haijawahi tokea.Iringa na mtoto wake njombe wanaburuza mkia.
Kwa hiyo taarifa za Njombe kushika mkia huzitaki
Kwa hiyo mnapoongoza kwa ukimwi na utapiamlo Kagera imo etiHakuna Takwimu mbaya ukaikosa Kagera,haijawahi tokea.
Kagera ndio mlisambaza ukimwi kwa wenzenu ikiwemo huku kwetuKwa hiyo mnapoongoza kwa ukimwi na utapiamlo Kagera imo eti
Umeisoma hiyo taarifa au hujielewi?Kwa hiyo taarifa za Njombe kushika mkia huzitaki. Yaani utajiri wenu hauna maana yoyote kwa nchi maana ni kidogo mno au hukuona mkuu
Pesa zipo ila tuu hatuna shobo za kijinga na ushamba,hao akina fally ipupa tunawaona congo mara kwa mara maana sisi tuko border,nyie washamba ndio mnaona ni big dealMtamlaumu Rais bure lakini nyie ni watengwa kwa kila kitu sababu hamna umuhimu na huko kwenu hakuna hela.View attachment 1974094
Labda Congo kariakooPesa zipo ila tuu hatuna shobo za kijinga na ushamba,hao akina fally ipupa tunawaona congo mara kwa mara maana sisi tuko border,nyie washamba ndio mnaona ni big deal