Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Hata mimi sijatukana mbona,nilikuwa nanogesha hoja ππMkuu sijakutukana hapa tunabishana kwa hoja sitaki tukoseane heshima kama umekosa hoja waachie wenzako. Angalia hapo juu kama hujapost picha 20 alafu barabara hiyo hiyo
Mazingira sio sufuria ndio maana unakuta Dunia inahangaika na ku restore mazingira na kulinda asili usitoe irrelevant example hapa.Kwamba sufuria la kisasa sio bora kuliko sufuria alilotumia babu yako?? Mkuu hauko serious sababu kisasa inakuja ku-solve mapungufu ya asili
Angalia hapa alafu linganisha na asili yako View attachment 1954960Mazingira sio sufuria ndio maana unakuta Dunia inahangaika na ku restore mazingira na kulinda asili usitoe irrelevant example hapa.
Kwanza kumbuka napiga picha za live bila make ups kama hizi zenu..Kanakwamba haitoshi picha ni za kiangazi ikifika masika utashangaa jinsi kulivyo kutamu.Angalia hapa alafu linganisha na asili yako View attachment 1954960View attachment 1954965
Bukoba hamna kiangazi hasa maeneo ya mwambao wa ziwa ndo maana picha zote zinaonekana kijaniKwanza kumbuka napiga picha za live bila make ups kama hizi zenu..Kanakwamba haitoshi picha ni za kiangazi ikifika masika utashangaa jinsi kulivyo kutamu.
Kila sehemu ina fursa zake, leo naibu Waziri wa ujenzi amekagua ujenzi wa meli mpya katika ziwa Victoria itakayofanya kazi nchi tatu TZ, Kenya na UgandaNarudia Njombe.
Njombe ni Mkoa wa kimkakati ,mabalozi wa European Economic Commission (EEC) walikuwa ziarani wiki iliyopita kuangalia utekelezaji wa miradi ya Agri-Connect ..
Mind you Mradi wa Agri Connect unasapoti horticulture,masoko na ujenzi wa barabara za lami kuelekea maeneo ya uzalishaji..
Sasa endeleeni kupiga porojo za nyumba Vijijini siku tukitoa Takwimu mnaongoza kwa umaskini msijeanza kulia Lia humu..
Go Njombe go
View attachment 1954986
View attachment 1954987
Viwanda vya madawa MSD Makambako mkoa wa NjombeπKila sehemu ina fursa zake, leo naibu Waziri wa ujenzi amekagua ujenzi wa meli mpya katika ziwa Victoria itakayofanya kazi nchi tatu TZ, Kenya na Uganda
nyie jamaa mko local sana hebu linganisha sasa uoto wako wa asili na huu wa Bukoba View attachment 1954873
We jamaa una matatizo ndio maana nawatukanaga sasa hapo wewe unaona kuna shida gani kukiwa mjini?Mimi namvumilia tu.
Nishajua ni mshamba kiasi gan .
Just imagine eti hapa ni mjini
Na anapost Bila aibuView attachment 1954916View attachment 1954917
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Sio mbaya kama wewe unapaona mjini kwa standards zakoWe jamaa una matatizo ndio maana nawatukanaga sasa hapo wewe unaona kuna shida gani kukiwa mjini?
Masika hayo maeneo yanafanana hivi
View attachment 1955034
View attachment 1955035
View attachment 1955036
View attachment 1955037
Mazoezi ya yanga katika uwanja mzr Sana wa kaitaba mjini bukoba.We jamaa una matatizo ndio maana nawatukanaga sasa hapo wewe unaona kuna shida gani kukiwa mjini?
Masika hayo maeneo yanafanana hivi
View attachment 1955034
View attachment 1955035
View attachment 1955036
View attachment 1955037
Huu uwanja labda kwa mbali unaweza karibia uwanja wa Ihefu fc.Mazoezi ya yanga katika uwanja mzr Sana wa kaitaba mjini bukoba.
Kusini nzima hakuna uwanja wenye nyasi bandia Kama kaitaba
Huko Kuna viwanja vya vumbi tuView attachment 1955127View attachment 1955128View attachment 1955129View attachment 1955130View attachment 1955131View attachment 1955132
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Very local ,huo sio uwanja(stadium) ni football ground inafaa kwa maziezi na kuchezea watoto.Leo mapokezi ya yanga mjini bukobaView attachment 1955126
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Huu uwanja labda kwa mbali unaweza karibia uwanja wa Ihefu fc.
Uwanja wenu uko katika ya pori/mashamba na hauna hata majukwaa ya kukaa mashabiki.
Highland Estate stadium Mbarali
View attachment 1955496
View attachment 1955497
View attachment 1955498
View attachment 1955499
Very local ,huo sio uwanja(stadium) ni football ground inafaa kwa maziezi na kuchezea watoto.
Ni aibu TFF kuruhusu kiground kama hicho kwenye mashindano makubwa.
Uwanja wenye hadhi unachezewa na fainali..
Nelson Mandela stadium Sumbawanga
View attachment 1955503
View attachment 1955504
View attachment 1955505
View attachment 1955506
View attachment 1955507
View attachment 1955508
View attachment 1955509
View attachment 1955510
View attachment 1955511
View attachment 1955512
View attachment 1955513
View attachment 1955514
View attachment 1955515
View attachment 1955516
View attachment 1955517
View attachment 1955518
Kujifariji ni vizuri,Cheka zaidi Ili upunguze aibu
Onyesha uwanja wenye taa kama huo ππ
Unalinganisha nyasi bandia na na huo uchafu kweli, TFF kushirikiana na azam soon watafunga taa ili mechi zichezwe na usikOnyesha uwanja wenye taa kama huo