Kahama VS Njombe/Mafinga

Kisiasa ni hivi πŸ‘‡

View attachment 1944741
Halmashauri nyingi hasikusanyi mapato yanayostahili lkn kuna mzunguko mkubwa wa biashara pia kuna wakwepa kodi pia kuna ufisadi unaweza kutokea au muda mwingine ni amri tu kutoka juu ww kwa akili yako dodoma inaweza kukusanya kiasi hicho kwa miradi gani huko kwa fursa gani tumia akili usitumie viazi kufikiri.
 
Mnakariri Sana ,shida ni Michembe..Kwa hiyo hicho kijiji chenu kinaweza kuizidi Dom kwa lipi labda?

Kwa hiyo haiwezi kukusanya so huo ni uongo au? Huna akili wewe ..

Mzunguko gani kwenye watu maskini hapo Mwanza? Wanakokusanya pesa nyingi ndiko kwenye mzunguko.
 
Mbeya yenyewe ilipewa adhi ya jiji kisiasa zaidi kuliko kiuhalisia, bukoba ipo juu sana kuliko hilo likijiji la wakulima et jiji la mbeya
Wambie wazunguke kusini nzima waonyeshe msikiti Kama huu mpya uliopo bukoba


Bukoba new mosque
 
Ukisikia Jiji kwa Tzn nje ya Dar ni Arusha,sio uchafu huo mwingine wa huko Mwanza ..

Jiji linakuwa hivi sasa ,πŸ‘‡



 
Viongozi wapo Kanda ya ziwa

Ufunguzi wa kiwanda Cha kahawa wilayani ngara mkoani kagera
 
Populationa ndio inadetermine uchumi wa sehemu husika kuna nini dodoma nambie mbali na bunge na maofisi ya serikali kuna nini kwa wanachi wa hapo dodoma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…