Huyu mshikaji nimegundua nut ya kwenye cerebrum imelegea sio bure, ana post vijihotel vya ajabu ajabu et anasema kanda ya ziwa hazipo na vigorofa vyenyewe ni kama vijumba vya igogo huko bugarika πππ
Huyu mshikaji nimegundua nut ya kwenye cerebrum imelegea sio bure, ana post vijihotel vya ajabu ajabu et anasema kanda ya ziwa hazipo na vigorofa vyenyewe ni kama vijumba vya igogo huko bugarika
Sisi wana kanda ya ziwa tunaongelea miradi mikubwa mikubwa ya kuleta tija kwa wananchi mtu from knowhere ana post ma filling station, mara watu wakiwa wanachuma parachichiπππ