Kahama VS Njombe/Mafinga

Nishakuambia funza si kitu kizuri, Kijiji cha njombe kinazidi jiji la Dar es salaam,
kupata kichekesho kama hiki kutana na waliwa funza wa makete.
Funza,funza ongea fact basi angalau maana inaonekana mwanza haina mtetezi.
 
Funza,funza ongea fact basi angalau maana inaonekana mwanza haina mtetezi.
We utakuwa mgeni kwenye hii Mada, ebu anzia kusoma post ya kwanza hadi ya mwisho afu rudi ucomment upya.
 
We utakuwa mgeni kwenye hii Mada, ebu anzia kusoma post ya kwanza hadi ya mwisho afu rudi ucomment upya.
Wala haina haja ya ku-review maana comments zako ni funza mwanzo mwisho ongea kitakwimu mkuu kama opportunity cost anavyofanya.
 
Wewe pumbavu tu huna lolote nyambafu. Eti content. Jinga kweli. Nani anataka kuwasiliana na mvuta bangi. Tena unikome kabisa fyuuuui
 
Mbona hiyo Mwanza imezidiwa kitakwimu ya mapato na Mbeya kimanispaa?
Hujui kitu nyamaza. Mwanza Jiji ni Wilaya ya Nyamagana tu bila kujumlisha Manspaa ya Ilemela. Usilinganishe Mwanza na vitu vya kijinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…