mshindi hajapatikana tu jamani mpaka leo. Naomba nitumie nafsi hii adimu kuitangaza manispaa ya Kahama kuwa mshindi rasmi katika mashindano haya njombe mji nafasi ya tatu huku ya pili iwe makambako.case closed
Kahama imepata ushindi wa mezani kwa kua kuna mtu alifurahishwa tu.mshindi hajapatikana tu jamani mpaka leo. Naomba nitumie nafsi hii adimu kuitangaza manispaa ya Kahama kuwa mshindi rasmi katika mashindano haya njombe mji nafasi ya tatu huku ya pili iwe makambako.case closed
1. KahamaView attachment 1700743
Hapa tujuane aliyepewa Manspaa kama zawadi na anayestahili kupewa kwa vigezo.
Ilikuwa Ijengwe eneo la Mbulu uwanja wa Lowasa, tetesi inaweza pelekwa Mwendakulima karibia na Mizani. Sasa haijajulikana kama watakomaa na same designView attachment 1700957View attachment 1700958View attachment 1700959View attachment 1700960View attachment 1700961View attachment 1700962
Mchoro stendi mpya Kahama....
Halmashauri ya Mji wa Kahama yakusudia kujenga kituo kipya cha Mabasi, jionee michoro na muonekano wake
Halmashauri ya Mji wa Kahama yakusudia kujenga kituo kipya cha Mabasi. Kituo hiko kinatarajiwa kujengwa maeneo ya Mbulu. Jionee michoro na muonekano wake.www.kahamatc.go.tz
Wakibadili tutajua mkuuIlikuwa Ijengwe eneo la Mbulu uwanja wa Lowasa, tetesi inaweza pelekwa Mwendakulima karibia na Mizani. Sasa haijajulikana kama watakomaa na same design
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mshindi hajapatikana tu jamani mpaka leo. Naomba nitumie nafsi hii adimu kuitangaza manispaa ya Kahama kuwa mshindi rasmi katika mashindano haya njombe mji nafasi ya tatu huku ya pili iwe makambako.case closed
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Na Matokeo haya Wanakahama tumeyakubali. Na tunaheshimu busara za Said S Yande
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Kahama imepata ushindi wa mezani kwa kua kuna mtu alifurahishwa tu.
Kwa porojo uko vizuri ila actual things on ground unajua Njombe ni [emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581]1. Kahama
2. Makambako
3. Njombe
4. Morogoro [emoji13][emoji13][emoji13]
Utaacha watu wa Kahama wakimbie uzi mkuu,spare them a bit
my footKwa porojo uko vizuri ila actual things on ground unajua Njombe ni [emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581]