Kahama VS Njombe/Mafinga

Tu

Tunako elekea makambako itakua mkoa njombe haifai kutwa mkoa .njombe imejisweka ndani sana af ukiangaria wafanya biashara huwa wanakuja kufunga mzigo makambako
Unajidharirisha na kuchafua uzi kea kutupia picha za guests house za show time mkuu,leta magorofa na viwanda
Aahahaaaa jamaaa, anaomba picha za viwanda Kahama, wakati Njombe anadai viwanda havijengwi kwa sababu ya MilimaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kiukweli Hakuna wilaya inayoikaribia kwa speed ya maendelea ukiacha baadhi ya wilaya za Dar na Dodoma mjini, Kuna transaction kubwa sana panajengeka kwa speed kali sana, ile ni kariakoo ndogo! Changanya makambako, njombe na mafinga utapata Kahama moja.
Mwaka jana ndo halmashauri ya mji iliyoongoza kwa ukusanyaji wa mapato Tanzania (Source: TAMISEMI)
 
Njombe ya wapi iliyojengeka kuuzidi makambako ww njombe ukitoka kibena Hadi njia panda ya ludewa nyumba zimekata misitu t na uzur njombe haina haja ya kuingia kitaa imeambaa road
 
Huwa anasema ni siasa
 
Acha upimbi mkuu,mapato ya migodi yanaenda serikali kuu directly ni ka mrahaba kadogo tu kanakuja Halmashauri ndio maanatoka mwanzo nawaambia migodi haijawasaidia ila imewaongezea idadi ya maskini tu hapo Kahama ko kulinhia migodi huku inakuletea umaskini na kuharibu mazingira ni kurogwa huko.
 
Juzi tu wamelipa service levy 1.6 billion kwa Halmashauri unadhani inaleta impact gani? Tukienda kiwilaya nzima bado Bulyanhulu nao wanalipa service levy. Mishahara ya wafanyakazi wa hiyo migodi bado matanuzi wanafanyia Kahama, unadhani kupitia mishahara wanaingiza mabillion mangapi kwenye mzunguko wa Fedha KAHAMA?? πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ Nusu mwaka tu service levy 1.6 billion kwa mwaka mzima 3.2 billion Halmashauri inaweka ndani...(ka mrahabakadogo tu)
 
Njombe ya wapi iliyojengeka kuuzidi makambako ww njombe ukitoka kibena Hadi njia panda ya ludewa nyumba zimekata misitu t na uzur njombe haina haja ya kuingia kitaa imeambaa road
Wewe kwa akili yako finyu unadhani walioipa Njombe hadhi ya Mji enzi makambako ni kijiji walikuwa wanafikiria kama wewe? Huko huko misituni ndio watu wamejenga,kwani hujui kwamba Njombe ni njiapanda ya barabara ya Songea,Morogoro,Makete na Makambako/Mbeya? pande zote imejengeka.

Kama unataka kujua nani mkubwa ni hivi Makambako kata 12,Njombe kata 13

Idadi ya watu Njombe(2012)=130,000 ,,Makambako(2019)=93,000 ,,hizi takwimu ziko kwenye website za Halmshauri husika sasa wewe sijui unabwabwaja nini hapa.
 
Makao makuu ya mkoa huwa ni utashi wa kisiasa zaidi. Kipindi Mkoa wa Geita wanapendekeza jina Magu alipendekeza uitwe CHATO na wajumbe wakampiga chini.
 
Na sisi tunasubiri service levy kutoka Tanesco wakikamilisha mradi wao wa bwawa la umeme mto Ruhuji,ni suala la mda tuu
 

Attachments

  • JamiiForums-695976998.jpeg
    209.8 KB · Views: 6
Kuna ujenzi wa barabara ya Njombe hadi Ifakara, watu wakae mkao wa kule, gari zisizo na ulazima kupita Iringa, Mafinga na Makambako, zinapita Mikumi kuelekea Njombe, Songea, Makete na Ludewa, pia faida ya miji ya Mikumi, Ifakara, Mlimba na Lupembe huko. So stay tuned!
 
Ok
 
Miradi ya kuhunganisha Kahama na wilaya nyingine ya barabara ni mingi sana, niliisha eleza huko nyuma. Ilani ya chama chetu pendwa imeeleza. Kahama ina miradi mingi ya kuunganishwa na wilaya nyingine kuliko Njombe
 
Makambako pana jitahidi lakini nao una sifa za mji wa uchuuzi, na ikishakua hivyo inakosa mantiki ya mji wa hadhi kama Njombe.
Bado Mafinga iko juu(kwa maoni yangu) ya Makambako, hata hivyo haipishani sana.
 
Unaleta hadithi nyingi sana za kufikirika ,Kama makambako inaunganisha sadc Tunduma na mbeya wanaunganisha nini? πŸ˜‰ πŸ˜‰ πŸ˜€πŸ˜€..Mji wa Tunduma hauna hata maviwanda lakini Nyie makambako hata pua hamuwezi kusogeza.

Mapato Njombe Mji ni 4blm,,Makambako Mji ni 2bln nanai kapigwa gap? Makambako na Kahama soma hiyoo
 

Attachments

  • maxresdefault-3.jpg
    71.4 KB · Views: 6
Tu

Tunako elekea makambako itakua mkoa njombe haifai kutwa mkoa .njombe imejisweka ndani sana af ukiangaria wafanya biashara huwa wanakuja kufunga mzigo makambako
Hizi ndoto Kahama wameota sana na nyie wasaidieni kuota lakini you will forever remain wachuuzi towns.

Kwa taarifa yako advantage mnayopata saizi ni kwa sababau ya Junction ya barabara kuu ambapo Njombe haina junction yoyote kwa hiyo with completion of Njombe Ifakara Mikumi road hiyo stesheni ya train itabakia kuwa magofu maana huwa mnategemea abiria wa ifakara,mlimba nk nk ambapo sasa wafanyabiashara wa maduka watahamia Njombe .
 
Parachichi zinaenda ulaya huna pesa ya kununu kilo 7000 ya parachichi ila unaweza kulipa kilo ya buku ya mchele,TAHA na wakulima wa Njombe wako busy for exports ya maparachichi na Maua kama ya arusha nyie huko endeleeni na uchuuzi wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…