Kahama VS Njombe/Mafinga

Mkuu tatizo hujafika Njombe lakini siku ukifika utaamini kwa wenye takwimu wanaiweka Njombe juu kila kona.Njombe hadi vijijini ndani huko unakutana makazi mengi ya kisasa,majengo ya ghorofa nakili kuwa kanisa pia hususani wabenedictini walisaidia kushape na kutawanya maendeleo kupitia parokia za kanisa katoliki lakini pia kilimo ndio backbone yetu na kimefanya uchumi kukua kwa kasi kubwa
 
Wapi hakuna makazi ya kisasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Katoro tu inawashinda hapo hatujaenda Chato huko etc. Geita ya 2015 sio ya leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…