MKOA WA NJOMBE MADINI MAPYA HAYO LUDEWA ππππMohamed Yahya ambaye anashirikiana na kampuni toka nchini china katika kutafiti madini ambayo yamegundulika katika kijiji cha Mkiu wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe, akieleza namna serikali na wananchi watakavyonufaika baada ya madini hayo kuanza kuchimbwa.
Madini yaho yanatajwa kuwa yanatumika kutengenezea vipuli vya ndege, Betri za Magari na nk.
@hludewa
@wizara_ya_madini_tanzania