Kahama VS Njombe/Mafinga

MKOA WA NJOMBE MADINI MAPYA HAYO LUDEWA πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡Mohamed Yahya ambaye anashirikiana na kampuni toka nchini china katika kutafiti madini ambayo yamegundulika katika kijiji cha Mkiu wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe, akieleza namna serikali na wananchi watakavyonufaika baada ya madini hayo kuanza kuchimbwa.

Madini yaho yanatajwa kuwa yanatumika kutengenezea vipuli vya ndege, Betri za Magari na nk.

@hludewa
@wizara_ya_madini_tanzania
 
Mkuu wa wilaya ya @hludewa Olivanus Thomas akieleza kuhusiana na madini ambayo yamegundulika katika kijiji cha Mkiu kata ya Lubonde katika wilaya hiyo,ambapo tayari mwekezaji toka china ameshapatikana kwa ajili ya kuanza kuyachimba.

Aidha pia amewataka wananchi wa kijiji hicho kuchangamkia fursa mbalimbali zitakazojitokeza kutokana na uwekezaji huo.

@hludewa
@njombe_rs
@anthony_mtaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…