Kagoda wamerudisha fedha, bado mnataka kuwajua?

By The Way Kuna huu Ugomvi kati ya Rostam na Mwakyembe, Kwa nini Wapinzani Wasicapitalize hapo, nina maana that can be a good Divide ana Conquerkwa Sababu siyo Siri hawawezi kuja open kumsurpot either of the two kwa Sababu:

Mwakyembe hawezi kutoswa sababu ya Suport yake kwa Wananchi CCM wataogopa, vile vile Rostma hawezi kutoswa sababu ya Mambo anayoyajua kuhusiana na CCM.

Tatizo kubwa la vyama vya upinzani ni kukaa kimya pale wanapotakiwa kusema, na kusema wakati usio muhafaka.

Katika hili sakata la DOWANS, nilitegemea upinzani ungepaza sauti sana Hasa kwa kuwa wao ndio waliothubutu kulipeleka Bungeni na kwa wananchi. Mambo mengi ambayo yanafanywa na serikali hayakemewi na upinzani kama inavyotarajiwa. Inatakiwa wawe macho/makini ili kubaini mapungufu na ku-capitalise kwayo.
 
Back
Top Bottom