Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 12,861
- 11,325
Kang, na mnaomtetea RA. Nadhani kumbukumbu zenu ni fupi kuhusu sakata la Richmond na kuhusishwa kwa RA. Tafadhali jikumbusheni. Nadhani ilikuwa nafasi nzuri sana kwa RA kutumia mkutano wake na waandishi wa habari kujibu tena na kwa ufasaha zaidi hoja nzito za Kamati ya Mwakyembe. Kwa vielelezo. Hakufanya hivyo unadahni hajui nini alitakiwa kufanya... Anajua, ila amechagua kutokuwa muwazi. Kamati ya bunge haikuwa na madaraka yeyote ya kumuwajiisha na serikali haikotayari... Maranyingi sana pamekuwa na maombi ya kujitokeza wenye ushahidi. ..maana yake upo mahali...
Alishasema hawezi kwenda mahakamani akasema "naomba mnisafishe!"
Kama kuna ushahidi wowote basi ashitakiwe au angalau Mengi apeleke data kwa vyombo husika, mpaka leo sijaona hilo, so Mengi ni porojo tu hakuna lolote.
Zaidi ya hapo ameonyesha ni mtu wa kukurupuka, yaani unajaribu kumwangusha mtu ambaye inasemekana ndo mwenye nguvu nyingi TZ halafu unakuja na story za kijiweni?
Kama hizi ndo jitihada za kuumaliza ufisadi basi tumeliwa!
RA anatuhumiwa kumweka Rais na viongozi kibao serikalini kwenye nafasi zao. Katika mazingira haya, DPP si rahisi kufanya kazi yake kumfikisha RA mahakamani na kumfungulia mashitaka.
Anachofanya RM na wapiganaji wengine ni kumshtaki RA kwenye "court of public opinion". Kama kadamnasi itaridhika kwamba RA ni adui wa taifa, basi hukumu watakayotoa ni kubwa kuliko ya mahakama yoyote hapa nchini. RA hatoweza kuonesha uso wake hadharani.
Hapa ndo vita dhidi ya ufisadi ilipofikia. Bado haijafanikiwa, lakini tutafika tu.
Humu humu, Mkuu Mwanakijiji ametuelimisha kuwa HAKUNA mwenye nguvu juu ya DPP! sasa mwenzetu unataka kusema Rostam amemweka ribit! Iko kazi.
Amandla......
Kinachotakiwa ni mtu mwenye ushahidi, mwenye uchungu na nchi hii, kusimama na kuziweka wazi allegations hizo na ushahidi wake. Bahati mbaya, Mengi si mtu huyo!
Amandla.......
ona sasa huyu nae anaandika makala ndefuuuuuuu, zinalalia upande mmoja,
pale alikuwa (rostam)anajibu tuhuma ulitaka ajizungumzie yeye tena?
mi nishasema nchii hii wajinga wengi wanajifanya wajuaji bure!
umeniudhi sana ila asante kwa kupoteza mda wako
THANK YOU BUBU ATAKA KUSEMA.
REGINALD MENGI FEDHA ZAKE NA VIWANDA VYAKE VINAINUA UCHUMI WA TANZANIA. AMEAJIRI WATANZANIA WENGI SANA. NA HAO WALIOAJIRIWA WANAE XTENDED FAMILIES.
SASA CASPIAN AKA RICHMOND AKA DOWANS WAO WANAKWAPUA FEDHA ZA KODI YA WATANZANIA WANAWEKEZA NJE YA NCHI.
HATA KAMA MENGI ALIKOPA NBC, si amewekeza TANZANIA? Si analipa kodi? Si ameajiri watanzania? SI anatoa huduma kwa jamii?
Humu humu, Mkuu Mwanakijiji ametuelimisha kuwa HAKUNA mwenye nguvu juu ya DPP! sasa mwenzetu unataka kusema Rostam amemweka ribit! Iko kazi.
Amandla......
POINT BLANK: Rostam, will you address Kagoda please?
Honourable Rostam Aziz, MP,
Salaams,
FOR long Ive been reading much stuff about you. Forgive me for writing this epistle purposely and specifically addressed to you.
When you faced the media, many thought you would come up with something reasonably convincing and new with regards to being named among five sharks as far as sabotaging our country is concerned. But nay!
Let me humbly admit, I heard Reginald Mengis damning allegations that youre one of the most notorious economic sharks the country has ever seen, thanks to being behind almost many stinking wheel deals. Why didnt you address this when you faced the media? Do you think calling Mengi a whale will make his denting allegations do away?
I, too, heard your ballyhoos and hoo-has regarding these allegations. Can I ask you a few questions if you don�t mind? Why do you want to jump a smoking gun with regards to the allegations fired by Dr Harrison Mwakyembe, MP that you are vampiric Kagoda, to begin with?
I understand sir. When Mengi named you, you said you�d never take it with him given the fact that he is as old as your father. Well, now that you surfaced with such much damning allegations that Mengi said are devoid of any convincing truth. Does it mean Mengi has ceased to be of your fathers age?
Secondly, you said Mengis criminality is to loan money from the late NBC. Perfect. �Is loaning a crime to deserve calling Mengi a whale really? Was the issue whether Mengi is a whale or whatever; or you being corrupt and behind Kagoda fake company that stole money from BoT (EPA)?
Also before I forget, what have you to say with regards to what one of the former TANESCO bosses referred to as PM�s partner in Richmond scandal that showed Edward Lowassa the door. Do you remember? Do you remember Richmonds address was symmetrical to that of your Caspian company?
Let me remind you. Facing the parliamentary select committee, this person said the �partner� behind Richmond theft is you. And given that you know the owner of Dowans which is the sister to Richmond as Speaker Samuel Sitta once put it, how connected is he to you? Will you please shed light on this?
Another question sir, you admitted to have loaned the money that youre still paying. What�s wrong with Mengi doing the same? Is this an indirect admission-cum-implication that Mengi does the same as you do? So he has no moral authority to accuse you? Can you tell us the banks or government institutions from which you loaned the said money, when and how much.
More on Kagoda theft and Mengi�s debts, dont you see that the debtor is entitled to obtaining debts but not the thief as in the case of Kagoda and Richmond?
Another question sir, why did you dance around instead of shedding light on Kagoda? What have you to say regarding the allegations by Dr Mwakyembe? Let me remind you.
Dr Mwakyembe said youre using your media empire gotten by the money stolen from BoT by using Kagoda to tarnish the image of others, specifically those who point fingers at you just like Mengi and Dr Mwakyembe. Is it true or false?
I know, you brought Anche Mwedu Company to the agora. Did you intend to show that whilst Mengi says youre Kagoda, he too is unknown of Anche Mwedu?
Let me emphasize hither. Will Mengis wrongs cleanse yours really? Can Anche Mwedu take away Kagoda?
If youd be serious and sincere, you firstly have to dwell on cleansing yourself instead of using tarnishing tactics as means of doing so. True, what you�re doing is he says I am this, he, too, is that�.
Otherwise it does not make sense. For this is not what people want to know. They would like to see you putting records straight as far as Mengis allegations are concerned by putting your house in order. The ball is still in your court, sir.
Another denting thing, if you knew Mengi swindled the late NBC so as to ultimately fell it, why didnt you divulge this before so as to wait till he named you? Isnt this vengeance?
I should also remind you sir. Your defenders-cum-partners averred that Mengi erred (in their eyes) to have named holy names. But again, youre doing exactly the same! Im anxiously waiting to hear what Sophia Simba and George Mkuchika will say. Did you consult them before thundering and stealing thunder?
Sir, you remind me of childish tricks I used to employ when I was cornered. When I was a kid, I used to steal sugar. Whenever I was caught or suspected, I would jump on witch-hunting for the one that reported me. After knowing who it was, I would tell mom, He, too, has stolen sugar. Mom then used to tell me: �Why havent you reported him or her before? I used to end up in shame and being punished.
You know what? When cornered, the vulture cries wolf.
Sir, allow me to wrap up hither as I avoid making a missive. I know. Youve a lot to do especially at this pressing time of saving the face. But importantly, please say something about Kagoda and who you are to it.
Mind you, our people are not stupid. They cannot subscribe to every nonsense and lies. I thus strongly recommend that you hit on the point.
nkwazigatsha@yahoo.com
Wana JF haya mambo ya kushabikia nani kajibu nini na nani kasema nini tuya ache. Kwa kuwa hakuna kipya kilichosemwa na Mengi wala na Rostam, sasa kama JF ilivyo "The Home of Great Thinkers" inatakiwa tujadili zaidi kuhusu mbinu za kutumia ili kuiokoa nchi yetu kwenye hili JANGA kubwa na zito la UFISADI.
I really hope readers of this absolute juvenille and illiterate tirade published by the editor of 'This Day' today are not stupid and treat this with the distain it deserves. What on earth is all this doing to the reputation of Tanzania???
Rostam need not defend himself, the law presumes him innocent of the allegations. It is for Mengi to prove them and so far, he is not the one handing over any evidence to the PCCB !!!
I really hope readers of this absolute juvenille and illiterate tirade published by the editor of 'This Day' today are not stupid and treat this with the distain it deserves. What on earth is all this doing to the reputation of Tanzania???
Rostam need not defend himself, the law presumes him innocent of the allegations. It is for Mengi to prove them and so far, he is not the one handing over any evidence to the PCCB !!!
Kama alivyouliza Rostam mwenyewe, " aende mahakamani kufanya nini?"
Mnataka aende mahakamani kujishtaki kuwa yeye si fisadi? Hamuoni tuu kuwa jambo hilo haliwezekani?
Alichofanya yeye ni kusema kuwa yeyote mwenye ushahidi wa ufisadi wake aende mahakamani kumshtaki! Kigugumizi sasa cha nini?
Swali hilo badala ya kumuuliza Rostam, mngemuuliza Mengi. Kuwa kama ana ushahidi wa ufisadi papa wa Rostam kwa nini asimpeleke mahakamani badala ya kurudia rudia shutuma za kila siku? Atakaefanya hivyo, ndiye atakuwa shujaa na mwenye uchungu kweli na watu wa nchi hii.
Tusipende mno mteremko. Hatutawang'oa hao tunaowaita mafisadi papa kwa kuita press conference na kutoa general accussations. Tutoe specific allegations na kuzi-substantiate ndiyo kazi itaanza. Na si vinginevyo.
Amandla...
Na baada ya kutuelimisha juu ya nguvu za ajabu za huyu DPP anaendelea kusema kwamba watuhumiwa wakubwa wa ufisadi hawajachunguzwa wala kufikishwa mahakamani licha ya ushahidi kutolewa kwenye vyanzo mbalimbali
Anaconclude kwamba DPP ni muoga na mzembe sana.
We unaonaje ukweli wa analysis ya Mwanakijiji?
Why should he hand this evidence to PCCB?
Mag3,
Una ni-disappoint Mkuu. Hiyo kesi aliyoifungua Mengi dhidi ya Rostam inahusu vipi shutuma zake juu ya ufisadi wa Rostam? Yeye pengine ameenda (kama kafungua kweli) kulalamikia kukashifiwa na si masuala ya Kagoda. Rostam kupeleka vielelezo vyake Takukuru hakumzuii kufungua kesi dhidi ya Mengi. Au kuomba kuunganishwa katika kesi ambayo Manji ameishafungua dhidi ya Mengi.
Huyo Mengi mnaemshabikia amekuwa makini katika kutokumhusisha Rostam na shutuma zozote za ufisadi papa zaidi ya kumuita fisadi papa. Kama kweli ana ushahidi wa huo ufisadi papa wa Rostam kwa nini asiseme tu kuwa Mheshimiwa Rostam amehusika hapa na hapa katika kuhujumu uchumi wa nchi yetu? Kigugumizi cha nini? Ati anangoja hadi apelekwe mahakamani ndiko akatoe ushahidi huo wakati akijitetea. Umemshika mwizi, halafu unadai hadharani kuwa unahisi umeibiwa na fulani! Jamaa anapouchuna, unalalamika kwa watu ati kwa nini hajaenda mahakamani kukushtaki ili utoe ushahidi kuwa amekuibia! Ebo! Are we really serious?
Rostam lazima alijua kuwa Mengi ataenda mahakamani. Na anajua mashtaka ya Mengi hayatamnyima usingizi maana yatakuwa ni ya kulalamika kuharibiwa jina tu. Mashabiki mtaachwa tena kwenye mataa.
Mimi sisemi kuwa Rostam ni msafi. Ninachosema ni kuwa kwa mwendo huu hatufiki popote. Mwenye ushahidi dhidi ya Rostam akafungue mashtaka dhidi yake badala ya huu mchezo wa kitoto. Huyo ndiyo kweli atakuwa shujaa, Si huyu Johnny-come- lately Mengi!
Amandla.....