Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,566
- 41,085
Usidanganyike!JF kuna homa Kali ya mihemko.Inabidi homa hii itibiwe haraka tarehe 28/10.Yaan ,wakiona umati mkubwa wa kumsikiliza Lissu.Wanahamini kuwa wanamsapoti Lissu.Lakini watu hawahawa walikuwepo kwa Magu.Tuwapongeze tu ,wananchi wa Tanzania kuwa wanapenda kusikia Sera. Kupiga kura in kitu kingine ,kuhudhururia mkutano kitu kingine
Wahudhuriaji wengi wa mikutano ya Magu ni watu waliosombwa toka wilaya na vijiji vya jirani. Husombwa kwa mabasi, malori na matrekta.
Ni watu wachache sana wanaohudhuria mikutano ya Magu ambao ni wakazi wa eneo husika.
Sent using Jamii Forums mobile app