Kagera/Bukoba yaongoza kwa Idadi ya Maprofesa ikifuatiwa na kipande cha Mwanza Ukerewe

Hongereni sana Wahaya. Je wamekuwa na msaada kwa ustawi wa mkoa wenu? isije kuwa ni walewale wa aina ya 'pro-pesa pumba;'
 
Write your reply...sii kweli kuwa uchagani kuna ma prof 21 tu huu ni uongo mkubwa, ninA list ya maprof wachaga zaidi ya 100
miongoni mwa maprof wa mwanzo KBS tz ni
Prof isaria kimambo
prof Godfrey mmari
hebu nikutajie kidgo kukuonjesha kesho nitAkuwekea wote
prof prosper honest ngowi principal mzumbe DSM kAmpasi
prof edicome shirima kamishn wa elimu wizara ya elimu
prof sylivia temu mkurugenz wa elimu ya juu wizAra ya elimu
prof ludovick kinabo mAkamu mstaafu udom
Prof alen Mushi director undergraduate udsm
prof Philemon Mushi principal mstaAfu muce
Prof estomih mtui weill cornel USA
prof Theobald mosha sua nutrition
prof ninatubu lema Mwenyekiti bodi ya wahandisi
prof William lyakurwa mchumi mstaafu bank ya tib
nitaendelea kesho
Frank Wanjiru
Pia kwa haraka haraka ongezea Prof;

LEMA

GD MLEMA

AJ MREMA

TJ LYIMO

DMS MOSHA

ES MASSAWE

AR MUSHI

PK MSAKI

H MOSHI

AF MKENDA

BK MKENDA

P MARO

ET MALYA

SS TEMU

HJ MOSHA

ES MOSHA


NB
Wengine ni ma associate profs nimewaweka pia
 
Pia ikumbukwe hapa ni ligi ya kabila tu siyo mkoa. Tungeweka ki mkoa nafkiri tusingekuwa na huu mjadala kumbuka Ku a wapare wa milimani wamepiga shule balaa.

Nb
Ni utani wa kikabila tu siyo chuki tusijeelewana vibaya bure hatuna ukabila.
 
Write your reply...
Eyce umeandika utetezi mfu
hoja sio Kilimanjaro kuwA ndogo na kagera kuwa kubwa,sasa ukubwa wenu si ndio mngetupiga bao? iweje sisi wAdogo tuwapige bao?
nyie n wavivu hAmpendan ka wachaga ndio maana hamuinuani
mhaya anamwonea wivu mhaya mwenzie akipiga hatua mtaendeleA?
msimsingizie nyerere umaskini wenu unatokana na uvivu wenu
nimekaa muleba,bukobA na misenyi nAwafahamu fika
mnapenda starehe kuliko maendeleo mnapokuwa maskini mnasingizia majanga
hivi hata kujenga makazi bora mnasingisia majanga?
nyumbA za nyasi hadI pembeni ya lami
njoon Kilimanjaro tuwape semina karibu sana,pia mpunguze kuchrmeza akatambala mpige kazi mtatoboa sio kutoa sababu mfu
ubunifu n zero mnadharau kazi ndio maana hata mabasi ya kuja bukoba mengi ya wachaga mnAshindw hata kununuA daladal pale bukoba mjin mnatumia boda boda wakati mngeweka daladala kupiga ruti za mjini
kwa hali hiyo mtazd kuwa maskin
Sasa mimi na wewe ni nani kaongea point zero..unaongea bila point kama wamama wa uswahilini..

Issue sio ukubwa bali ni rasilimali zilizopo..pia population density ikiwa kubwa inafanya sehemu iwe vissible kirahisi..

ninavyowajua wachagga nanyi mnabaguana sana yaani hata mkiitwa wachagga hamfurahi hadi muoneshe mara mimi wa kibosho yule mmachame.mimi wa old moshi mara yule wa marangu..yaani mna classes na divisions ndani yenu ambazo mnazipa nguvu.. Huwa siwaongelei vibaya wachagga pamoja na madhaifu yao maana wengi ni watu wangu wa karibu na pia ni watanzania wenzangu

By the way Sikujua kuwa naongea na box tupu....nisamehe tu
 
Sioni kazi yao hapa Tanzania kwetu nchi inayumba yumba ma prof. Wote kimya njaa mbaya sana
 
Write your reply...
tinkanyarwele nimekaa uhayani miaka tano nawafahwm in and out nyie n wavivu na mnadharau kaz mnapenda starehe mno,MTU. anavua samaki akipata hela anaenda kunywa konyagi za kienyeji ziko ka gongo,huku nyumba ya nyasi
pia mnakuwa maskini kwasababu ya kuoneana wivu nyie hampendn MTU akifanya maendeleo anapigwa vita cjui mnajiita mna elimu n elimu gan
mnAzaliana hovyo vitoto vinngii huku ardhi hakuna miamba tupu mtaacha kuwa maskini,?
hoja ya ukubwa wa kagera kuwa inachangiA umaskin n hoja mfu
Unaleta maneno ya kwenye kanga, we ninekwambia leta ushahidi niambe umekaaa na wahaya sehemu gani, niambie hizo nyumba za nyasi ziko wapi? Alafu uniambie ni wapi umekuta umaskini uhayani ambao hatuwezi kuukuta uchagani?
 
misenyi kule minziro,kyaka
muleba ndio usiseme zipo tena pembeni ya lami KBS kiziramuyaga,runazi,rulanda,kyamyorwa,NSHAMBA,ngote ngenge nk
Misenyi sehemu gani maana sidhani kama kuna sehemu siijui, je unajua hata sehemu iliyo endelea kama ROMBO kuna watu wanaishi nyumba za mbao, unajua kuna watu wanaishi kwenye nyumba za tope? unajua kuna watu hawana uhakika wa chakula? Unajua kuna watu hata maji ni shida tupu? Unaweza kuamini mbali na kuwa huko Kilimanjaro kuwa na utajiri kuna watu hawajawahi kuiona gari? Au unafikiri nchi hii hatuijui? Unacho paswa kujua Tanzania hii hakuna sehemu isiyo na utajiri wala isiyo na umaskini
 
#tusipotoshane umeandika vizuri sana. Ila hao uliowataja kama mfano kuwa ndio wachapa kazi mie nakataa kwakuwa mfumo wa nchi hii unampa uhuru sana mwanasiasa hasa wa chama tawala. Kuna mdau humu kasema kwamba wamekuwa watumwa wa wanasiasa kitu ambacho ni kweli. Mimi naweza kusema kuwa tatizo la nchi hatujawekeza kwenye tafiti na kama tumewekeza bado matokeo yake hatuyafanyii kazi kikamilifu.
Ni kweli kuna maprof ambao ni nadharia ndio imewajaa vichwani mwao lakini wachache wapo wanaofanya mambo lakini pia ni mpaka waingie kwenye Siasa.

Napenda nipate kumuelewa Prof. Ibrahimu Janabi wa JKCI (Jakaya Kikwete Cardiac Institute)
@SaaMbovu nakuelewa,nimetolea mfano hao viongozi wa kisiasa ili mleta Uzi aache kuleta data za maprofesa pasipo hawa "wasomi waliobobea" kutoka Kagera,Ukerewe na Kilimanjaro kuwa na tija yoyote kwa jamii.Nimewapa changamoto ili wawe na tija tofauti na sasa hivi utawakuta kwenye baa na vigrosary vya Mwenge-Dsm wakiwatambia baa medi kwa msemo wa "we unanijua Mimi"?I am a full accredited professor from Chicago University-USA major in Economics and Business. Wakati huo kuna vijamaa vinakunywa seven up vimekaa pembeni vya darasa la saba,diploma na certificates holder wamewekeza na wanao ukwasi wa kutosha .Jaribu kuwaambia wawekeze hizo theory zao kwenye real practical ya ujasiriamali,utasikia oh oh oh oh,serikali haituthamini na maneno mengi kibaoooo!!Niliowatolea mfano ni kuonyesha kuwa uprofesa bila hela na kutatua kero za wananchi kwa ugunduzi wa vitu kwa maendeleo ya nchi ni makelele tu kama makelele mengine ya magari aina ya Fiati na Leyland barabara za Mbagala.

SaaMbovu hujakutana na hao jamaa wakijisifu ukiwa pembeni standard seven leaver yako utajiona bure kabisa duniani!!Sasa hivi makabila yote yanaelewa umuhimu wa elimu sio kama zamani,tufanye kazi na tuache ubaguzi.

Mimi naona watu kama Mushi na Melo waanzilishi wa hili jamvi ni zaidi ya hao maprofesa wakati hawa jamaa sio Doctorate au Professor holder, na kuwafanya wana jamvii kukaa nyuma ya key board na kuanza kuandika takwimu na hadithi za uongo zisizo na tija katika jamii yetu wakitumia id fake kama ngao yao?
 
#tusipotoshane umeandika vizuri sana. Ila hao uliowataja kama mfano kuwa ndio wachapa kazi mie nakataa kwakuwa mfumo wa nchi hii unampa uhuru sana mwanasiasa hasa wa chama tawala. Kuna mdau humu kasema kwamba wamekuwa watumwa wa wanasiasa kitu ambacho ni kweli. Mimi naweza kusema kuwa tatizo la nchi hatujawekeza kwenye tafiti na kama tumewekeza bado matokeo yake hatuyafanyii kazi kikamilifu.
Ni kweli kuna maprof ambao ni nadharia ndio imewajaa vichwani mwao lakini wachache wapo wanaofanya mambo lakini pia ni mpaka waingie kwenye Siasa.

Napenda nipate kumuelewa Prof. Ibrahimu Janabi wa JKCI (Jakaya Kikwete Cardiac Institute)
Prof.Ibrahimu Janabi wa Jakaya Kikwete subiri watakuelewesha wanao mjua zaidi.Huenda huyu unamfahamu zaidi ila unataka tupewe nondo zaidi za yeye kuwa na tija katika jamii yetu, nami nakiri kuwa sio ma-profesa wote hawana tija,LA hasha wapo wenye tija lakini kutokana na mleta uzi alivyo uleta ni kwa muelekeo wa majivuno matupu sio vinginevyo.Inafaa pia apate waelekezaji namna bora ya kuleta uzi jamvini pasipo kumkwaza yeyote tofauti na alivyo bwabwaja kwenye utafiti wake uchwara wa idadi ya Maprofesa wa Ukerewe,Kilimanjaro na Kagera.
 
Kwenye Annual Engineers Day iliyofanyika tarehe 5-7 September 2018 aliapishwa Prof. Tolly Mbwete na kupatiwa leseni na ERB ya kufanya kazi kama professional engineer. Yaliibuliwa maswali mengi sana huyu prof mpaka anafikia hatua hiyo ilikuwaje anafanya kazi zake bila leseni?
 
Kuna Publication iliyoeleza hotuba ya Enock Massawe akiwa mkuu wa Mkoa wa Kagera akieleza idadi ya Maprofesa Tanzania tokea imepata uhuru kufika 500 lakin kagera ina Maprofesa zaid ya 150 na 70% ya Maprofesa haob wakitokea Wilaya ya Missenye Tarafa Kiziba kwa (NSHOMILE) kifuatiwa na Wilaya ya ukerewe ambayo ina Maprofesa 24, wakifuatiwa na Kilimanjaro 21 Maprofesa tu
Na mikoa mingine mingine

Nikafanya kauchunguzi kwa Haraka nimepata hawa hapa, changamoto ni kwamba kuna Maprofesa wahaya wasiotumia majina ya kihaya, hivo hao sikuweza kuwatambua haraka,

Waliotambulika haraka ni hawa
1. PROF. BARONGO JUSTUS O
B.Sc. (UoN), M.Sc. (Queens), Ph.D. (McGill).
Email: jbarongo@uonbi.ac.ke
2. Professor L Barongo
Community Medicine: Professor
Contact Details:
(+264 61) 2065012
lbarongo@unam.na
3: Professor Feliciano Barongo mzumbe University
4: Prof Silas Lwakabamba is a Rwandan professor of Tanzanian
5: Professor Rwekaza Mukandala
6: Professor John Rwomushana
7: Professor Anna Tibaijuka
8: Professor Kesho Mushahara
9: Professor Kazaula
10: Professor Tibageza
11: Professor Delphin Rwegadsira
12: Professor Justinian Rweyemamu
13: Professor Letice Rutashobya
14: Professor Clavery Mtesigwa UDSM
15: Prof Mwesiga Baregu
16: Prof Mushumbusi kibogoya UDSN
17: Professor mugyabuso Mulokozi UDSM
18: Professor Faustine Kamuzora
19: Professor Aurelia Ngirwa
20: Professor Kamuntu
21: Professor Chris Kamuzora
22: Professor Rwelamila NRF
23: Professor mark Rweyemamu Galv
24: Professor Kyaruzi SUA
25: Professor Joseph Kahamba
26: Prof Sylvest Kajuna kairuki University
28: Professor Erasmus Kaijage
29: Professor Hoses Rwegoshora
30: Professor Kami S P Rwegasira
31: Filbert Rwehumbiza
32: Professor Kamala
33: Professor Kairuki
34: Theonest Mutabingwa
35: Professor Mwemezi Rwiza Nelson Mandela University
36: Professor Kato Rugangila,
37: Professor Tumwesige
38: Professor Godwin Kaganda
39: Professor John Ruhangisa
40: Professor Benson Bana
41: Professor Rwegarulila
42: ProfessorJamindu Katima
43: Professor Batamuzi
44: Professor Mutayoba
45: Professor Bitegeko
46: Professor Jonathan Kabigumila
47: Professor Mutabingwa Theonest Kahangwa ,
48: Professor Kamazima M M Lwiza
49: Professor Joseph Buchweishaija
50: Professor Emanuel Babyegeya
51: Professor L.K Rutasiitara
52: Professor Richard W Rwechungura
53: Professor Egydius R Rwenyagila
54: Professor Benezet Mtayoba SUA
55: Professor B. A Rwezaura UDSM
56: Professor R.C Ishengoma
57: Professor Luhanga
58: Professor W . Rugakingira
59: Professor Buberwa
60: Professor C. S Binamungu Mzumbe
Orodha ni ndefu sana

View attachment 866415


Britannica
Wana mchango gani Kwa mkoa na taifa!?? Zaidi ya kusema miloni kumi ni zamboga!???unaweza kuta sugu lema msukuma wana positive contributions kuliko hawa hooligans( elites)
 
Write your reply...
tinkanyarwele, Kilimanjaro kuna kiwango kidgo cha umaskini,maskini Kilimanjaro huwex mfananisha na wa kagera,Kilimanjaro kila kijiji kina umeme,maji na barabara,unaposema eti kuna sehemu hwajwh ona gari Kilimanjaro nakushangaa
usidhan umaskin na ushamba wenu kagera upo Kilimanjaro
mm kijiji changu umeme umeingia 85 imagine sahv kitakuaje
mashine za diesel nimezijulia uhayani
Kilimanjaro hakuna nyumb za nyasi tangu 70's
kufananisha mkoa uliolemAa kagera na Kilimanjaro ni ajabu jingine la karne
 
Mada isiwe na lengo baya au watu wasitumie vibaya hii mada ni mambo ya utani na ujirani mwema tuu tusijenge uadui ukizingatia leo tunazundua mambo ya utamadumi huko Dodoma.
 
Wahaya sifa tu na kuna ukabila mkubwa sana kwenye kupeana uprofessor, kuna Dr mmoja amesota miaka 20+ hata u associate professor hana akaamua kuachana nao, lakini angekua muhaya angeshakua prof muda mrefu.
Rubbish. Unadhani unapatikana kwa kukaa vikao na kupeana posho. Kama hujui jambo nyamaza na kujifunza.
 
Back
Top Bottom