Kagera/bukoba villages gallery

Kagera/bukoba villages gallery

Kolping hotels bukoba
Screenshot_20201009-072027.jpg
 
Sasa nyumba Kama hziiii ukazitupe porini ya kazi gan....Raha ya mji ishi mjini cyo ....mji uko Kama kijijin kwetu
Hayo ni yako na tamaduni za mkoa wako.


Hebu fikiri vijiji vyote tz vingekuwa na nyumba nzr Tanzania ingekuwa na mandhari gani.
Mkoa wa kagera umekuwa mkoa wa Kwanza Tanzania Kwa high number of rural population na ndo mkoa wa Tatu Kwa Idadi ya watu nchini baada ya dar na mwanza kadiri ya NBS. Sababu ni mfumo wa maisha vijijini.

Siku hiz vijiji vya bukoba vinaenda kuwa miji kabisa kuna mpana miniclubs huko vijijini.
Hebu enjoy vijiji vya wahaya huko bukoba


images.jpg
Screenshot_20201010-200642.jpg
Screenshot_20201012-204730.jpg
Screenshot_20201011-175418.jpg
Screenshot_20201010-200654.jpg
Screenshot_20201007-071110.jpg
tapatalk_1600550226057.jpg
FB_IMG_16022552774081676.jpg
 
Uwekezaji wa elimu ni mkubwa mno katika mkoa wa kagera.

NB.
Mtu mmoja Kati ya 4 mkoa wa kagera ana degree.

Rudi muwekeze kwenu nyie wahaya mliokimbilia Dar kama hawa walivyofanya
images%20(4).jpg
images%20(3).jpg
images%20(2).jpg
images%20(1).jpg
FB_IMG_16025693920564842.jpg
FB_IMG_16025693885010772.jpg
FB_IMG_16025693840246130.jpg
FB_IMG_16025693783626832.jpg
 
Maeneo ya stendi ya matope bukoba.

Sijui stendi wanaanza lini kujenga
Allsocial-1605763682631.jpg
 
Hapo aliposimama huyo mama nimekula Sana supu, ni my second favourite place ukitoa pale sky hotel darajani
Victorious perch hotel.

Sasa hiv sehemu za supu na nyama choma zimekuwa nyingi bukoba.

Kuna.
West end bistro
Eco beach bunena nk
 
Bukoba town nayo si hapa
FB_IMG_16100785565442336.jpg
JamiiForums-547073386.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20201227-152059.jpg
    Screenshot_20201227-152059.jpg
    37 KB · Views: 6
Back
Top Bottom