Mkuu jMali,kila kitu kina mwisho wake _ hakuna Taifa lililokuwa na regime kandamizi kama Romania ya Shoshesiku(nimeandika kiswahili) alikuwa na kikundi cha intelijensia 'securitate' kikundi hicho kilikuwa balaa,licha yakuwa na kikundi hicho hatari lakini siku ya siku ilipofika yeye na mkewe walikamatwa wakitoroka na helicopter wakatiwa pingu,licha ya kukamatwa Rais huyo ambaye alikuwa na jeuri na kiburi aliendelea kuwakoromea jamaa waliomtia mbaroni akibweka kama mbwa wa Kijeruman aina ya Shepard -mar oo hamjui kwamba mimi bado ni Rais wa Romania, mara ooh Helicopter gunship zitawamaliza msipo nihach
a huru, alikuwa anatia huruma sana na hizo ndizo traits za majitu makatili Duniani wanaogopa sana kifo!!
Majigambo yote ya Rais wa Romania na mkewe baada ya kutiwa mbaroni na wanamgambo haikuwasaidia chochote waliburuzwa nyuma ya kuta za Barracks na kumiminiwa risasi!! Tukio hilo lilimshtua sana Rais K.Nyerere na wenzake, ninacho taka kumkumbusha PK ni kwamba huwezi kutawala majority forever hata ukitumia ngumi ya chuma,kuna siku kibao kitagehuka ambacho kitawaweka Watutsi katika hali ngumu kushinda ya mwaka 1958 wazazi wako walipo kimbilia Uganda ukiwa kinda, usipo hacha kuwafanya Wahutu/Batwa secondary citizen,kuwapiga vita kisaikolojia masaa yote wajutie matendo ya wazazi wao,key posts unawapa Watutsi wenzako mkijidanganya kwamba its now or never,leo nakwambia kwamba mbinu zenu hizo ndio zitawaletea matatizo nchini mwemu siku za mbeleni nakukumbusha tena kwamba Wahutu na wengine ambao ni ni Majority si wajinga kama mnavyo wafikilia siku moja watalipuka na nyinyi mtakosa pa kukimbilia.