and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,224
- 39,703
Ukibahatika kutembelea Rwanda hasa katika Makumbusho ya Mauaji ya Kimbari utagundua kuwa stori "Imepikwa" kuwa eti WATUTSI ndio walikuwa wakiuliwa na WAHUTU lakini huelezwi WATUSI wakishiriki mauaji hayo ya KIMBARI, kama vile WAHUTU tu ndio walikuwa na Silaha za kuwaua WATUTSI, pia Baraza la Mawaziri, Senior positions katika Serikali, Jeshi, Balozi zimejaa WATUTSI kwa kujifichia kwenye Jinsia (Women Empowerment).
Ila nakuhakikishia ipo siku utashangaa hao WAHUTU wamekuja kulipa kisasi cha kuwabagua katika HISTORIA ya mauaji ya KIMBARI, Nafasi za ajira serikalini, elimu na Mikopo ya Biashara.
Ila nakuhakikishia ipo siku utashangaa hao WAHUTU wamekuja kulipa kisasi cha kuwabagua katika HISTORIA ya mauaji ya KIMBARI, Nafasi za ajira serikalini, elimu na Mikopo ya Biashara.