Kagame peke yake alibaki na msimamo.

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,885
Mwaka 2015 nchi zote za EAC zilikubaliana kuwa ifikapo mwaka 2019 nchi zote zipige marufuku uagizaji wa nguo na viatu vya mtumba kutoka nje. Sababu walisema kuwa ni fedheha watu kuvaa mitumba na ili kukuza viwanda vya ndani vya kuzalisha nguo. Na watu walipredict kuwa baada ya 10 EA itakuwa inaexport nguo za kama $3bln kwa mwaka.

Sasa, muuzaji mkubwa wa mitumba duniani ni Marekani, akifuatiwa na Uingereza na nchi zingine. Inasemwa kuwa sekta ya mitumba Marekani inaajiri karibia watu elfu arobaini.

Tarehe ya kupiga ban mitumba ilipokaribia Marekani chini ya Trump wakasema nchi itakayopiga ban mitumba itaiondoa kwenye mpango wa AGOA, (mpango wa nchi maskini za Africa kuuza vitu kwa ushuru mdogo Marekani). Viongozi wakakaa kuona wanafanyaje, viongozi wengine wakafyata mkia. Kagame akawahimiza sana kuwa hilo ni swala muhimu kufanya hata kama litawaumiza kwa muda lakini wakagoma.

Inasemekana kuwa Kagame akapiga ban peke yake. Hilo lilisababisha kelele nyingi sana kati yake na Marekani. Sijajua kwa sasa status ya jambo lile iko vipi.
 
Kupiga ban mitumba ilikua Mipango bila maandalizi
Maandalizi gani? Watu hawawezi kuchangamka kuinvest kwenye viwanda vya nguo kama hawajaona soko. Unafikiri viwanda vya vifungashio mbadala vingejengwa kama rambo zisingepigwa marufuku? So kusema wajenge kwanza viwanda ndiyo kupiga ban ni kujidanganya. Ban kwanza ndiyo viwanda vinakuja, serikali inasaidia tu hiyo sekta ikue haraka, kutoa maeneo, msamaha wa kodi, mikopo nk.
 
Maandalizi gani? Watu hawawezi kuchangamka kuinvest kwenye viwanda vya nguo kama hawajaona soko. Unafikiri viwanda vya vifungashio mbadala vingejengwa kama rambo zisingepigwa marufuku? So kusema wajenge kwanza viwanda ndiyo kupiga ban ni kujidanganya. Ban kwanza ndiyo viwanda vinakuja, serikali inasaidia tu hiyo sekta ikue haraka, kutoa maeneo, msamaha wa kodi, mikopo nk.

Walipotoa tangazo la hiyo ban wewe binafsi uliaandaa viwanda vingapi vya nguo? Au hukuona kama kufanya hivyo ni kuunga mkono serikali na hiyo ni fursa kwako pia??

Unalinganisha ban ya vifungashio ambapo ulikua una uwezo wa kukusanya vipande vya magazeti na kutengeneza mifuko na ban ya mavazi😂😂😂😂

Sijapinga wazo ila mchakato ulishindikana sababu hukukua na maandalizi wala utayari
 
Mzee baba na Tz ya Viwanda kwanini hakuchukua hii fursa ili Viwanda viongezeke? Au alikua anaongelea Viwanda gani?
 
Unakusudia mitumba kutoka Tanzania kwenda ulaya?. Ile ahadi imekufa na alotoa ahadi.


Lunatic
 
Mwisho waliopewa kufanya biashara na matokeo za zuio ndio utatoa majibu ya kuwepo au kutokuwepo kwa maandalizi. Muda si mrefu
Hakuna cha matokeo Wala Cha Nini.Na hao wamachinga hawana ubavu wa kufanya chochote kile.
 
Mwaka 2015 nchi zote za EAC zilikubaliana kuwa ifikapo mwaka 2019 nchi zote zipige marufuku uagizaji wa nguo na viatu vya mtumba kutoka nje. Sababu walisema kuwa ni fedheha watu kuvaa mitumba na ili kukuza viwanda vya ndani vya kuzalisha nguo. Na watu walipredict kuwa baada ya 10 EA itakuwa inaexport nguo za kama $3bln kwa mwaka.

Sasa, muuzaji mkubwa wa mitumba duniani ni Marekani, akifuatiwa na Uingereza na nchi zingine. Inasemwa kuwa sekta ya mitumba Marekani inaajiri karibia watu elfu arobaini.

Tarehe ya kupiga ban mitumba ilipokaribia Marekani chini ya Trump wakasema nchi itakayopiga ban mitumba itaiondoa kwenye mpango wa AGOA, (mpango wa nchi maskini za Africa kuuza vitu kwa ushuru mdogo Marekani). Viongozi wakakaa kuona wanafanyaje, viongozi wengine wakafyata mkia. Kagame akawahimiza sana kuwa hilo ni swala muhimu kufanya hata kama litawaumiza kwa muda lakini wakagoma.

Inasemekana kuwa Kagame akapiga ban peke yake. Hilo lilisababisha kelele nyingi sana kati yake na Marekani. Sijajua kwa sasa status ya jambo lile iko vipi.
Kagame sio mtu wakumuamini... Sana i think mmoja wa watu wanajuwa janja zake ni Mzee Kikwete...
 
Walipotoa tangazo la hiyo ban wewe binafsi uliaandaa viwanda vingapi vya nguo? Au hukuona kama kufanya hivyo ni kuunga mkono serikali na hiyo ni fursa kwako pia??

Unalinganisha ban ya vifungashio ambapo ulikua una uwezo wa kukusanya vipande vya magazeti na kutengeneza mifuko na ban ya mavazi😂😂😂😂

Sijapinga wazo ila mchakato ulishindikana sababu hukukua na maandalizi wala utayari
Hakuna mtu atainvest kwenye viwanda vya nguo kama hajaona soko. Ukisema usubiri viwanda vijengwe ndiyo upige ban nguo za mitumba utasubiri milele. Ni sawa na kusubiri kwanza viwanda vya vifungashio mbadala vijengwe ndiyo upige ban mifuko ya plastic, utasubiri milele.
 
Katika paragraph yako ya mwisho Ungeishia tu hapo "Inasemekana" maana baada ya hili neno ni porojo tupu
Mwaka 2015 nchi zote za EAC zilikubaliana kuwa ifikapo mwaka 2019 nchi zote zipige marufuku uagizaji wa nguo na viatu vya mtumba kutoka nje. Sababu walisema kuwa ni fedheha watu kuvaa mitumba na ili kukuza viwanda vya ndani vya kuzalisha nguo. Na watu walipredict kuwa baada ya 10 EA itakuwa inaexport nguo za kama $3bln kwa mwaka.

Sasa, muuzaji mkubwa wa mitumba duniani ni Marekani, akifuatiwa na Uingereza na nchi zingine. Inasemwa kuwa sekta ya mitumba Marekani inaajiri karibia watu elfu arobaini.

Tarehe ya kupiga ban mitumba ilipokaribia Marekani chini ya Trump wakasema nchi itakayopiga ban mitumba itaiondoa kwenye mpango wa AGOA, (mpango wa nchi maskini za Africa kuuza vitu kwa ushuru mdogo Marekani). Viongozi wakakaa kuona wanafanyaje, viongozi wengine wakafyata mkia. Kagame akawahimiza sana kuwa hilo ni swala muhimu kufanya hata kama litawaumiza kwa muda lakini wakagoma.

Inasemekana kuwa Kagame akapiga ban peke yake. Hilo lilisababisha kelele nyingi sana kati yake na Marekani. Sijajua kwa sasa status ya jambo lile iko vipi.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom