Jafari Haruna
JF-Expert Member
- Jun 18, 2017
- 347
- 962
Yatakuwa maajabu
Toka uhuru mwaka 1962 Rwanda hawajawahi kufanya uchaguzi ,ni maigizo tu
Mungu Ibariki Acaccia, Mungu ibariki BuzwagiMungu ibariki Rwanda,Mungu ibariki Africa.
Da! haya sasa masiala!Mungu Ibariki Acaccia, Mungu ibariki Buzwagi
Uchochezi huuZnz wao Uchaguzi wa Mwisho ulifanyika March 20, 2017
UlikoHuku wapi!?
Hivi mwanae niyupi?
UpiWacha utoto
Du!Toka uhuru mwaka 1962 Rwanda hawajawahi kufanya uchaguzi ,ni maigizo tu
Haiwezekani bwanaView attachment 527746View attachment 527747
Mkuu, kwalolote litakalo mhusu huyu Binti, naomba uniulize....
Kagame kaijenga nchi ileDu!
Na nafikiri wanyarwanda wana woga kukipigania kiti cha urais kwa kumuuogopa Kagame, hasa ikizingatiwa pia wanaogopa kujirudia mauaji ya mwaka 1994 , Kwani jamaa inaonyesha hawezi kukubali kiurahisi kuachia nchi.
Haya sasa kazi kwaoDu!
Na nafikiri wanyarwanda wana woga kukipigania kiti cha urais kwa kumuuogopa Kagame, hasa ikizingatiwa pia wanaogopa kujirudia mauaji ya mwaka 1994 , Kwani jamaa inaonyesha hawezi kukubali kiurahisi kuachia nchi.
Duhhh.....Haiwezekani bwana
Sipati picha urefu wa kitandani chakeView attachment 527746View attachment 527747
Mkuu, kwalolote litakalo mhusu huyu Binti, naomba uniulize....