Kagame kuongezewa Muhula Mwingine na Wanyarwanda!

Kagame kuongezewa Muhula Mwingine na Wanyarwanda!

... Mkuu, Wanyarwanda Wenyewe Ndio Wameamua Kumuongezea Muhula, Na Siyo Matakwa Yake. Alafu Kagame Anapendwa Sana Kwa Kazi Zake Siyo Kama Nkurunziza Mzembe Yule

Acha siasa za kitoto mkuu, kwa hiyo kalazimishwa sio matakwa yake?

Kipimo gani kilionesha anapendwa sana?
 
ukisikia unafki ndio huu sasa,sioni maandamano wala kusikia makemeo kwa kagame. wanaharakati wamepotelea wapi?au wako kwa nkurunzinza tu?siasa za Africa za kishenz* shenz*, if Nkurunzinza third term and altering of constitution was unjust, then whatever Kagame is doing here should also be the same. EAC Kimyaa.hovyo kabisa.

Maandamano Rwanda haitawezekana kwa sababu Kagame amethibiti sana nchi ile kwenye masuala ya kisiasa mfano kila political party lazima iwe na alliance na RPF! It's obvious kitu anachokifanya ni usanii hata wanaompenda huko kwake wanajua.
 
Last edited by a moderator:
Acha siasa za kitoto mkuu, kwa hiyo kalazimishwa sio matakwa yake?

Kipimo gani kilionesha anapendwa sana?

..! Kuomba Katiba Ibadirishwe Ili Imuruhusu Agombee Muhula Mwingine Ni Kipimo Tosha Kwamba Anapendwa. Hata Pale Kigali Huwa Anatembea Mtaani Na Familia Yake Bila Hata Walinzi.
 
Katiba ikibadirishwa na kuweka term tatu, basi HIYO TERM YA TATU NDO ITAKUWA TERM YAKE YA KWANZA, KWA SABABU KATIKA SHERIA INASEMWA KUWA, KANUNI MPYA HAIHUKUMU TUKIO LA ZAMANI, BALI MATUKIO YANAYOTOKEA BAADA YA KANUNI MPYA NDO YANAAMULIWA NA KANUNI HIYO!
 
Kagame Anapendwa sana nchini Kwake hasa watu wa Tabaka la Chini maana Ameleta maendeleo Makubwa Rwanda, wanasema wananchi walijitokeza wengi kuweka sahihi kuiomba Bunge kuruhusu Kagema Aongeze Muhula wa Tatu ..Hii ni tofauti na kule Burundi ambapo rais analazimisha...
 
Nikae pemben niangalie na niache muvy iendelee lakn hii staili ya kugoma kutoka madarakan itatucost eac
 
Sio kila nchi iige ustaarabu wa US , kama vipi tz tuongozwe kifalme na ukoo wa nyerere, tuanze na makongoro baadae mwanae nk
 
Ndo yaleyale ya lowassa kuwalipa watu wakamshawishi agombee urais..

Kagame kama aliamua kuondoka na aende, asitufanye watu wazima watoto..

Katiba na iheshimiwe na watu wote..
 
Kwa mchapa kazi kama Kagame acha atawale hata milele,ili mradi wananchi wana neemeeka.Uliza wa libya wanajuta kumuua Gadaffi kwa demokrasia waliyodanganywa na wamarekani

u r appreciated ngudu
kagame adumu milele
 
Go on kagame bado term 2 zaidi.ni ngumu nchi masikini tena za kiafrica kuendelea bila utawala wa aina yako
 
Nimekutana na hii Yahoo...
Rwanda's Kagame eyes 3rd term as voters call for law change

By Afp
Published: 05:08 GMT, 13 June 2015 | Updated: 05:09 GMT, 13 June 2015

The list of supporters is long: more than two-fifths of Rwanda's voters have signed a petition calling for constitutional reform to allow strongman Paul Kagame a third term in power.
The authorities speak of a popular mass movement, critics of a manipulation of power.
As the second and final seven-year mandate of Rwanda's president draws to a close, there are increasing indications he may join other African leaders in changing the rules to stay put in elections due in 2017.

article-doc-2w1o4-6ZFOWgWpYHSK2-713_634x422.jpg

  • Over two-fifths of Rwanda's voters have signed a petition calling for constitutional reform to allow President Paul Kagame a third term in power ©Stephanie Aglietti (AFP/File)

    Kagame is a "gift from God," said Aimable Ngendahayo, one of the 2.5 million people who have signed the petition calling for a change of Article 101 of the constitution, which limits the president to two terms.
    The move comes amid a wider controversy in Africa over efforts by leaders to change constitutions in order to stay in office.
    Kagame, 57, has been at the top of Rwandan politics since 1994, when an offensive by his ethnic Tutsi rebel force, the Rwandan Patriotic Front (RPF), put an end to a genocide by Hutu extremists that left an estimated 800,000 mostly Tutsis dead.
    As minister of defence and then vice president, Kagame was widely seen as the power behind the throne even before he took the presidency in 2003, winning 95 percent of the vote. He was re-elected in 2010 with a similarly resounding mandate.
    - Popular movement? -
    From the trauma of genocide, he has been painted as a guarantor of stability and economic development, earning praise from donors -- and his supporters say many in Rwanda view the prospect of his departure as a step into the unknown.
    Kagame says the decision is for the "Rwandan people".
    "I have not asked anyone to change the constitution and I have not told anybody how or what to think about 2017," Kagame said in April.
    Weeks of political unrest in neighbouring Burundi began in April when President Pierre Nkurunziza announced his bid to stand for a third term in polls next month, a move branded by opponents as unconstitutional and a violation of a 2006 peace deal that ended 13 years of civil war.
    Since late April in Rwanda, crowds of Kagame fans have signed the petition asking parliament to amend the constitution to "convince" their president to stand again.
    "Kagame is a special man," Ngendahayo said. "This is not the time to let him go," said the 35-year old businessman. "Kagame loves his people, so if we the people ask him, he will accept."
    Kagame himself has said he is "open to going or not going depending on the interest and future" of Rwanda.
    Rwanda watchers however question the spontaneity of the petition, in a country where the political debate is tightly controlled.
    Unlike Burkina Faso's former president Blaise Compaore, who was chased out last year after he tried to stay for a third term, Kagame can be confident of few headaches in a country with no real opposition.
    - 'Strong institutions, not strong men' -
    Yet Washington, once among Kagame's closest supporters, has spoken against the third term, saying it supports "a new leader" in 2017 and saying democracy requires "strong institutions, not strong men".
    Several people said they were encouraged into signing the petition.
    One person, who declined to be named, said the local neighbourhood security chief, "told me it was a paper to sign".
    Without the door-to-door campaign the person would not have signed.
    " Of course I signed... I am known in the neighbourhood... I do not know what might have happened (otherwise), " the person added.
    One Rwandan journalist, who also requested anonymity, said that "there are people who sign in good faith, but many also who do so for fear of being labelled as enemies of the state," while others who are illiterate in rural areas sign without even knowing what it is.
    Rwandan media has reported that prisoners in one jail, Rubavu in western Rwanda, where many are serving long sentences for their role in the genocide, had also signed the petition.
    The government denies any pressure has been applied.
    Ministry of Local Government spokesman Ladislas Ngendahimana said he "categorically denies that people have signed petitions under the instigation of the government", adding that all door-to-door canvassing was banned so as not to "influence" the people.
    "The RPF never gave any instructions to local officials" to collect signatures, he said, adding that all who signed "did so of their own will... we do not need to force them."

    article-doc-2w1o4-6ZFOgHA78-HSK1-742_634x425.jpg

Supporters of Rwandan President Paul Kagame gather during a rally near the offices of UNESCO in Paris on February 27, 2015, where the president was attending a meeting ©Francois Guillot (AFP/File)

article-doc-2w1o4-6ZFOWvqdgHSK2-195_634x396.jpg



  • Rwanda President Paul Kagame and daughter arrive at the White House for a group dinner during the US Africa Leaders Summit August 5, 2014 in Washington, DC ©Brendan Smialowski (AFP/File)
 
Lakini......ni kweli kwamba Rwanda nzima ambayo inakimbilia population ya 13m kwa sasa hakuna raia mwingine mwenye akili anaweza kuendesha nchi? Mwenye akili ni kagame tuu, sasa na akifa? Si bora basi angeanza kumpa mtu madaraka ili hata kama ana mapungufu yarekebishwe akiwa hai ili hata akifa awe ameacha nchi stable kwa mawazo ya rwanda kama ndio hayo.
 
Term tatu za Rwanda za miaka saba saba itakuwa miaka 21, ambao ni sawa na term 7 za Australia za miaka mitatu mitatu, zaidi ya term tano za Marekani za miaka minne minne, na zaidi ya term nne za nyingi za commonewealth za miaka mitano mitano. Hata hivyo hayo ni maamuzi yao wenyewe wanyarwanda; waache wajiamulie mambo yao wenyewe.
Mkuu nilikua pale wakati wa kura sina hakika saana na kura zile kwamba ni maamuzi ya wanyarwanda,,wengine wamepiga kura bila kujua
 
Back
Top Bottom