Kagame kuongezewa Muhula Mwingine na Wanyarwanda!

Kagame kuongezewa Muhula Mwingine na Wanyarwanda!

MAHORO

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2013
Posts
7,585
Reaction score
2,571
Wadau, Idadi Ya Wanyarwanda Wanaotaka Mabadiriko Ya Katiba Yao Kifungu Cha 101 ili kumruhusu kamanda mpambanaji PAUL RUTAGAMBWA KAGAME atetee nafasi yake katika uchaguzi ujao imezidi kuongezeka mara dufu. Hii Inaonesha Na Huo Ndiyo Ukweli Kwamba KAGAME Ni Lulu Ndani Ya Rwanda, Imefikia Hatu Wanyarwanda Wanasema Kagame Ni Zawadi Kutoka Kwa MUNGU.

Vyanzo Ni RF INTERNATIONAL Na Izuba Rirashe..
 
.... Wadau, Idadi Ya Wanyarwanda Wanaotaka Mabadiriko Ya Katiba Yao Kifungu Cha 101 ili kumruhusu kamanda mpambanaji PAUL RUTAGAMBWA KAGAME atetee nafasi yake katika uchaguzi ujao imezidi kuongezeka mara dufu. Hii Inaonesha Na Huo Ndiyo Ukweli Kwamba KAGAME Ni Lulu Ndani Ya Rwanda, Imefikia Hatu Wanyarwanda Wanasema Kagame Ni Zawadi Kutoka Kwa MUNGU. Vyanzo Ni RF INTERNATIONAL Na Izuba Rirashe..
Mhura vs Mabadiriko
Makosa ya wazi kama haya yanamaliza kabisa ladha ya thread na kuonyesha wewe ni mtu wa ''bora elimu''
 
kagame kuendelea kutawala ni pigo kwa uchumi wa tanzania,ccm ijiandae kudhalilika
 
Kwa mchapa kazi kama Kagame acha atawale hata milele,ili mradi wananchi wana neemeeka.Uliza wa libya wanajuta kumuua Gadaffi kwa demokrasia waliyodanganywa na wamarekani
 
Mhura vs Mabadiriko
Makosa ya wazi kama haya yanamaliza kabisa ladha ya thread na kuonyesha wewe ni mtu wa ''bora elimu''

... Nashukuru Kwa Kuchangia Hoja. Vipi Lakin Hoja Umeielewa, Au Unaotafuta Tu Makosa, Kiswahili Sikuzaliwa Nacho Mkuu Nimekulia Kijijini
 
..sasa imekuwa ni 3 terms?

..na kama ni 3 terms, wanaanza kuhesabu toka ile ya kwanza, au huo uchaguzi unaofuatia ndiyo 1st term?

..au hakuna term limits kabisa?

NB:

..as long as Rwanda is stable I am fine with it.

..jambo la msingi ni mahusiano mazuri ya kiuchumi na kijamii baina ya mataifa yetu.



cc mchambawima1
 
Last edited by a moderator:
Kwa mchapa kazi kama Kagame acha atawale hata milele,ili mradi wananchi wana neemeeka.Uliza wa libya wanajuta kumuua Gadaffi kwa demokrasia waliyodanganywa na wamarekani

kagame ni dictator kama gadafi,anakandamiza na kuua wapinzani wake.Inshort Kagame sio mstaarabu ni mtu mpumbavu sana
 
... Nashukuru Kwa Kuchangia Hoja. Vipi Lakin Hoja Umeielewa, Au Unaotafuta Tu Makosa, Kiswahili Sikuzaliwa Nacho Mkuu Nimekulia Kijijini

Hata hoja hukuzaliwa nazo...umejifunza kuzitoa.... jaribu kujifunza kuandika vile vile na kufanya kama mtu aliyeenda shule. Miaka ya mwanzoni ya shule yako ulijifunza kuandika! Kukulia kijijini sio tiketi ya kufanya makosa!
 
Hata hoja hukuzaliwa nazo...umejifunza kuzitoa.... jaribu kujifunza kuandika vile vile na kufanya kama mtu aliyeenda shule. Miaka ya mwanzoni ya shule yako ulijifunza kuandika! Kukulia kijijini sio tiketi ya kufanya makosa!

... Sawa Mkuu, Nimekuelewa.
 
Hata hoja hukuzaliwa nazo...umejifunza kuzitoa.... jaribu kujifunza kuandika vile vile na kufanya kama mtu aliyeenda shule. Miaka ya mwanzoni ya shule yako ulijifunza kuandika! Kukulia kijijini sio tiketi ya kufanya makosa!

... Sawa Mtaalamu, Nimekuelewa.
 
Niliwahi kuongea na vijana wa Gisenyi wakati nakunywa Chivuguto pale Bismillah wakasema kweli Kagame kafanya mazuri mengi na mabaya pia ikiwamo kuminya uhuru wa habari na kuwazima wale anaopingana nao na wakasema ni wakati wa yeye kuachia nchi ili na mawazo mapya yaingie kwani anatakiwa abaki kama mshauri wa Taifa tu
 
sasa hiyo inatuhusu nini sisi watanzania?hata akigombea mara mia mbili sisi inatuhusu nini? rwanda ina manufaa gani kwa tz ukiondoa bandari ambayo hata hivyo hawaitumii sana kwasasa baada ya kutumia mombasa, hawana faida yeyote kwetu na hawatuhusu waende tu zao waishi na kagame wao sisi hawatuhusu na kagame hatuhusu.
 
Mkumbuke shirika la ndege la RwandaAir ni mali ya Kagame lakini linamilikiwa na Chama Tawala kwa asilimia 100 na sio serikali ya Rwanda na kwa ufupi Rwanda ni Mono Partism ndo bado ipo
 
Huku Kagame, kule Nkuruzinza! hawa watusi na wahutu taabu kweli kweli, wanatuvurugia EAC.
 
Back
Top Bottom