Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,837
Huyu Raisi wa Rwanda Paul Kagame kwa maoni yangu ni mjinga na haelewi industrialization maana yake nini!
Kwa kuwa tu nchi zilizoendelea kama EU,Ujapan na USA wanaongelea mambo ya green ya economy haimaanishi kwamba na sisi pia third world tuwafwate, hao wanasema hivyo kwa kuwa walishaendelea tayari na pia wana hiyo green technology, sasa wewe mwenzangu na mimi ambapo bado hata njiti ya kiberiti hauwezi kutengeneza unaongelea green economy?
Acha ujinga Kagame, hauwezi kuendelea bila ya kuharibu na kuchafua mazingira, hakuna aliyefanikiwa mpaka leo hii ...
Kwa kuwa tu nchi zilizoendelea kama EU,Ujapan na USA wanaongelea mambo ya green ya economy haimaanishi kwamba na sisi pia third world tuwafwate, hao wanasema hivyo kwa kuwa walishaendelea tayari na pia wana hiyo green technology, sasa wewe mwenzangu na mimi ambapo bado hata njiti ya kiberiti hauwezi kutengeneza unaongelea green economy?
Acha ujinga Kagame, hauwezi kuendelea bila ya kuharibu na kuchafua mazingira, hakuna aliyefanikiwa mpaka leo hii ...