Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
NOOO, baada kafulila kuondoka CDM ameongeza nguvu kubwa NCCR jiulizeKaka unachemka!
- kwa nini awali hawakuwa na wabunge even 1
- kwa nini wote 4mps wanatokea Kigoma
NOOO, baada kafulila kuondoka CDM ameongeza nguvu kubwa NCCR jiulizeKaka unachemka!
Naona upo off hoja ni NCCR vs ZITTO, KAFULILAUmeongelea hisia zako, lakini ukweli Zitto ni mtata. Kama CHADEMA ingekuwa kama CCM ya leo ingesambarataratika kwani Zitto amewahi kukituhumu chama kwa udini na ukabila. Kama hiyo haitoshi mara baada ya uchaguzi mkuu 2010 Zitto alitangaza kugombea urais 2015 kinyume na taratibu za chama, kama si hekima za uongozi wa CDM na mama mzazi wa zito tusingefika hapa tulipo. Hii yote ni kwa sababu anaamini ana wapenzi wengi.
Watanzania tubadilike tuache mapenzi ya mtu kwenye siasa tuangalie sera za chama. Tujifunze KWA JK WENGI WALIMPENDA KWA STAILI KAMA HII YA ZITTO LAKINI NAAMINI LEO JK HATA UKIMPA UKUU WA SHULE YA SEKONDARI HATA FANYA VIZURI
Hata TZDAIMA imo hii habari. HOJA Hapa ni USALITI WA ZITO BASI.. Ya kafulila wala sina haja nayoNa sisi watanzania tusipende kusema bila kufanya uchunguzi,tujiulize ni kwa nini asemee mwanahalisi.Na yeye anatumiwa na nani.ni mbatia au ni nani hasa.
Tangu lini Mbatia akawa mpinzani hadi ionekane anayetaka kumpindua ni mhaini asiye na nia nzuri. Ni nani ndani ya hicho chama chao alishawahi kuhoji dhamira ya mbatia hasa pale anaposimamia mstari tata wenye mwelekeo wa mahaba na CCM.
Tatizo wenyeviti wa vyama vya siasa Tanzanzania hawataki challenge wanandhani uenyekiti ni haki ya kuzaliwa.hizi hulka za do or die political mentality zinadumaza demokrasia. Baadhi ya Wenyeviti wa vyama vya siasa na hasa upinzani wana mawazo ya kijima katika kufanya siasa na imefikia hatua wanaogopa watu wanaowapa changamoto za kweli na hasa vijana.Hili ni pigo kwa demokrasia.
Sitaki kuingilia mambo ya ndani ya NCCR lakini tujiulize ina maana huko NCCR hakuna mwenye haki ya kupinga mwenyekiti au kugombea nafasi ya juu ya uongozi ndani ya chama hicho...na je ina maana Mbatia ndiye mwenye kauli ya mwisho katika kupitisha nani awe mgombea urais kupitia NCCR....
WanaJF, ukiona Mbunge anajadili watu bila kuwa na uhakika wa anachosema ujue ni dalili za watu kuwa na ombwe la fikra. Sisi tunaingia mkenge kisa kasema mtu ambaye unamkubali SANA ! ! ! Tunaacha kufikiri kwa sababu mtu unayemkubali sana kasema, tuwe makini yasije yakatukuta yale ya Kibwetere kule Uganda
Ben!Na sisi watanzania tusipende kusema bila kufanya uchunguzi,tujiulize ni kwa nini asemee mwanahalisi.Na yeye anatumiwa na nani.ni mbatia au ni nani hasa.
Tangu lini Mbatia akawa mpinzani hadi ionekane anayetaka kumpindua ni mhaini asiye na nia nzuri. Ni nani ndani ya hicho chama chao alishawahi kuhoji dhamira ya mbatia hasa pale anaposimamia mstari tata wenye mwelekeo wa mahaba na CCM.
Tatizo wenyeviti wa vyama vya siasa Tanzanzania hawataki challenge wanandhani uenyekiti ni haki ya kuzaliwa.hizi hulka za do or die political mentality zinadumaza demokrasia. Baadhi ya Wenyeviti wa vyama vya siasa na hasa upinzani wana mawazo ya kijima katika kufanya siasa na imefikia hatua wanaogopa watu wanaowapa changamoto za kweli na hasa vijana.Hili ni pigo kwa demokrasia.
Sitaki kuingilia mambo ya ndani ya NCCR lakini tujiulize ina maana huko NCCR hakuna mwenye haki ya kupinga mwenyekiti au kugombea nafasi ya juu ya uongozi ndani ya chama hicho...na je ina maana Mbatia ndiye mwenye kauli ya mwisho katika kupitisha nani awe mgombea urais kupitia NCCR....
WanaJF, ukiona Mbunge anajadili watu bila kuwa na uhakika wa anachosema ujue ni dalili za watu kuwa na ombwe la fikra. Sisi tunaingia mkenge kisa kasema mtu ambaye unamkubali SANA ! ! ! Tunaacha kufikiri kwa sababu mtu unayemkubali sana kasema, tuwe makini yasije yakatukuta yale ya Kibwetere kule Uganda
Gazeti la mwanahalisi lina habari nzito tena za kushtusha.
Mbunge wa Kasulu mjini Moses Machali amemshutumu vikali David Kafulila kwamba anatumiwa na Naibu Katibu mkuu wa Chadema Zitto Kabwe kukivuruga chama hicho.
Mbunge huyo wa Kasulu anadai lengo kubwa la Kafulila ni kumwondoa mwenyekiti wa chama hicho James Mbatia ili yeye awe mwenyekiti.
Pili Machali amedai kwamba baada ya Kafulila kuwa mwenyekiti atamkaribisha Naibu Katibu mkuu wa Chadema Zitto Kabwe ili awe mgombea Urais kupitia NCCR.
Moses machali ameendelea kudai kuwa baada ya mpango huo kukamilika watatumia mbinu mbalimbali kuivuruga Chadema kwa kuhama na kundi kubwa la wanachama wake.
Mbunge huyo ameendelea kudai kuwa kamwe hatakubali mbinu hiyo kwani Zitto na Kafulila wanatumika kuua upinzani.
Alipoulizwa kwanini watake kumuondoa Mbatia kwanza amesema hiyo ni kutokana na sababu kwamba kamwe Mbatia hatamkubalia Zitto kugombea urais kupitia NCCR.
Source: MwanaHalisi
Inawezekana magamba yametengeneza habari hii kupunguza nguvu ya zitto na kafulila
Hiki chama hakieleweki mara tatizo ni M/kiti leo ZITTO mara Kafulila asingekuwa Kafulila wangepata hata huo ushindi wanao uona leo wa 4mps. Tatizo ni nini ? kama hawalioni wafanye uchaguzi mpya chama kisukwe upya kuanzia juu hadi chini
Mabosi zake ndani ya ccm wapo taabani (Rostam) kwa hiyo Zitto hana wafadhili wa CCMHuyo Zitto vipi?? Mara wanasema anatumiwa na CCM sasa hapa tena anatumika kutaka kumwondoa Mbatia madarakani??, vitu vikirudiwa rudiwa sana basi vinaonesha kuwa Zitto anaweza asiwe mtu mzuri nki maanisha ni kigeugeu na si dhani kama mtu kigeugeu anaeweza kuwa na dhamira ya dhati ya kuwatumikia wananchi zaida ya personal gain
Ben!
Hapo re:si kwa upinzani tu sema hata CCM
tunataka mbatia aondolewa kwa kushindwa kuendesha chama na si kwa mizengwe ya kutoa mwanya kwa flani flani kugombea 2015.
Challenges wanazokutana nazo wenyeviti ziwe na nia ya kujenga na sii watu (vijana) wenye ajenda za siri ya kutwaa madaraka ndani ya
ya chama ili watekeleze maagizo ya WALE WALIO NJEE YA CHAMA.
Gazeti la mwanahalisi lina habari nzito tena za kushtusha.
Mbunge wa Kasulu mjini Moses Machali amemshutumu vikali David Kafulila kwamba anatumiwa na Naibu Katibu mkuu wa Chadema Zitto Kabwe kukivuruga chama hicho.
Mbunge huyo wa Kasulu anadai lengo kubwa la Kafulila ni kumwondoa mwenyekiti wa chama hicho James Mbatia ili yeye awe mwenyekiti.
Pili Machali amedai kwamba baada ya Kafulila kuwa mwenyekiti atamkaribisha Naibu Katibu mkuu wa Chadema Zitto Kabwe ili awe mgombea Urais kupitia NCCR.
Moses machali ameendelea kudai kuwa baada ya mpango huo kukamilika watatumia mbinu mbalimbali kuivuruga Chadema kwa kuhama na kundi kubwa la wanachama wake.
Mbunge huyo ameendelea kudai kuwa kamwe hatakubali mbinu hiyo kwani Zitto na Kafulila wanatumika kuua upinzani.
Alipoulizwa kwanini watake kumuondoa Mbatia kwanza amesema hiyo ni kutokana na sababu kwamba kamwe Mbatia hatamkubalia Zitto kugombea urais kupitia NCCR.
Source: MwanaHalisi
Hata TZDAIMA imo hii habari. HOJA Hapa ni USALITI WA ZITO BASI.. Ya kafulila wala sina haja nayo
Huyo Zitto vipi?? Mara wanasema anatumiwa na CCM sasa hapa tena anatumika kutaka kumwondoa Mbatia madarakani??, vitu vikirudiwa rudiwa sana basi vinaonesha kuwa Zitto anaweza asiwe mtu mzuri nki maanisha ni kigeugeu na si dhani kama mtu kigeugeu anaeweza kuwa na dhamira ya dhati ya kuwatumikia wananchi zaida ya personal gain