Kwa mjibu wake yeye mwenyewe ameshinda kwa tofauti ya kura 2,345. Hata utangazwaji ulifanyika kama surprise kiasi kwamba hata wana CCM wenyewe hawakushangailia! Anadai kuwa mshindi ametangazwa kwa maelekezo ya wakuu!
Ametangazwa mshindi wa CCM!
-------------------------------------
Ametangazwa mshindi wa CCM!
-------------------------------------
Miamia imetuuma wengi ambao tumempoteza Kiranja mmojawapo wa kutetea RASLIMALI za Taifa.Lakini Kafulila hakushindwa,bali ushindi wa Husna ulilazimishwa,maana mpaka tarehe 28/10/2015,Kafulila alikuwa anaongoza kwa kura takriban 4000,najiuliza Husna amepata wapi kura za ushindi ilhali aligomea Matokeo??
Hakika natamani kumuuliza Kafulila na waliokuwepo hapo kulitokea nini ikiwa Msimamizi alipromise kumtangaza Kafulila jana saa nne??Na kwa nini hakumtangaza jana saa nne kama alivyopromise amtangaze jioni???
SIna shaka kuna 'Behind the Scene" ambayo tulio mbali hatujui.
Kwa sasa naweza kusema hatuna TUME ya UCHAGUZI bali tuna TAWI la CCM,hakuna sababu ya kuwa na kipengere cha vyama vya vingi vya siasa iamuliwe kuanzia sasa marufuku kuwa MPINZANI wa chama kingine chochote zaidi ya CCM.
Naomba kusema kwa sasa sidhani kama UMOJA wetu kama wataznania utarudi kirahisi,labda atokee Mtu mwenye BUSARA waweke Tume ya MARIDHIANO,vingine sijui tutaishije humu ndani.
Bado Kafulila sijakata Tamaa najua na ninauhakika upo njiani kuja Dodoma.