Hahahahaha, nami binafsi nimekuelewa na hasa kwa nukuu hiyo .. Hahahahaha
Nadhani agenda ya ifisadi ndo agenda kubwa iliyofanya kuvifikisha vyama vingi na ata ivi vya kwetu hapo vilipofika bila kupambana na ufisadi utapata wapi utawala bora utaweza wapi kukusanya kodi bila kukusanya kodi hizo huduma muhimu unazoitaji kuwaletea wananchi wako fedha utatoa wapi
Mimi nafikili mtu kutoa mawazo yake na hali anayoiona ktk chama atokacho si vibaya ni maoni yake na ujinga mkubwa tulionao tumejikita sana na kununuliwa mkiimanisha njaa lakini amtaki kujikita ktk utafiti kuwa kuna nini hasa kinafanya hawa wanasiasa wanahama vyama lipo tatizo na moja ya tatizo viongoz wengi wa hivi vyama awataki kukubar kukosolewa na hili si hapa kwetu tu ni nchi nyingi za ki afrika hapa kwetu kumeibuka tatizo kubwa kuwa kila atoae mawazo yake anaambiwa njaa amenunuliwa n.k huu ni upuuz ambao watu wengi wamelishwa vichwani mwao na watawala wa vyama nani kansa mbaya
