Kafulila afunguka kuhusu Zitto na ESCROW

Kafulila afunguka kuhusu Zitto na ESCROW

Kama haya yote yanayosemwa juu yke ni ya kweli, basi Zito ni hatari sana. lakini kwakuwa hatuujui ukweli, yafaa tumwachie Mungu kwani yeye ndiye anayemjua mja wake Zito
 
Akili za Zito ukichanganya na za ka ccm jibu ni kuua upinzani.Zito ni kama kondom inayotumiwa na CCM kuwanajisi watz,baada ya kumaliza uchaguzi wa october mwaka huu kondom itatupwa jalalani.
 
KAFULILA AFUNGUKA KUHUSU ZITTO& ESCROW

Naomba kuweka kumbukumbu sawa tu kwamba Zitto ni rafiki yangu tangu nikiwa CHADEMA lakini haimanishi tunakubaliana kila kitu.

Naudhika kuona wafuasi wake wakiandika uongo ambao hata yeye mwenyewe Zitto anajua ni uongo kwamba alinisaidia kwenye kampeni.

Ukweli wa Mungu Zitto hakunisaidia hata lita ya mafuta kwenye kampeni kwasababu anazojua yeye ambazo nisingependa kumsemea. Aliahidi tu kwenye magazeti.

Labda wafuasi wake wamrudie kumuuliza vizuri. Kuhusu ESCROW nimeshasema jana kwamba Umma unajua na nimeshaeleza kwamba chanzo ni gazeti la CITIZEN.

Nilichofanya ni kufuatilia chanzo hicho na kufanyia kazi na ilikuwa April2014.

Siasa za bonge bwana wee acha tu
 
AYATOLA anatapatapa leo anajimilikisha hoja ili apate umaarufu wakati hajautolea jasho kaishiwa sasa anawatisha na kuwarubuni wabunge wamuunge mkono ili ajenge ufalme wake.apunguze pressure ile kazi alotumwa na kina lowassa na mwigulu sijui kama itafanikiwa maana wamemtosa labda apewe singo nyingine
 
Hivi Pdidy hukupigwa bakola sana darasa la pili hadi la 4 mwandiko?
hahaaa mpwa nyuma kuna sugu za sindano tu nilisoma porini manyaria ilintesa sana
 

Attachments

  • IMG_5550661697789.jpeg
    IMG_5550661697789.jpeg
    55.6 KB · Views: 169
Last edited by a moderator:
Huwa natamani nipate fursa ya kumwambia Zitto kama anajisikia vizuri sana kuwa God's gift to mankind, basi ajue pia anatakiwa ajue yuko kati ya watu ambao yeye naye kapewa zawadi kuwa nao. Inabidi ajishushe awe humbled kuwa kati ya watu wanaomzunguka atafika mbali
 
KAFULILA AFUNGUKA KUHUSU ZITTO& ESCROW

Naomba kuweka kumbukumbu sawa tu kwamba Zitto ni rafiki yangu tangu nikiwa CHADEMA lakini haimanishi tunakubaliana kila kitu.

Naudhika kuona wafuasi wake wakiandika uongo ambao hata yeye mwenyewe Zitto anajua ni uongo kwamba alinisaidia kwenye kampeni.

Ukweli wa Mungu Zitto hakunisaidia hata lita ya mafuta kwenye kampeni kwasababu anazojua yeye ambazo nisingependa kumsemea. Aliahidi tu kwenye magazeti.

Labda wafuasi wake wamrudie kumuuliza vizuri. Kuhusu ESCROW nimeshasema jana kwamba Umma unajua na nimeshaeleza kwamba chanzo ni gazeti la CITIZEN.

Nilichofanya ni kufuatilia chanzo hicho na kufanyia kazi na ilikuwa April2014.

Hata mimi sikutegemea kama utakubali ukweli huo.
 
Huwa natamani nipate fursa ya kumwambia Zitto kama anajisikia vizuri sana kuwa God's gift to mankind, basi ajue pia anatakiwa ajue yuko kati ya watu ambao yeye naye kapewa zawadi kuwa nao. Inabidi ajishushe awe humbled kuwa kati ya watu wanaomzunguka atafika mbali

Aksante kwa maneno ya hekima na busara.Sio kwa Zitto tu bali ni somo kwa kila mtu duniani.Ku-appreciate dunia na vilivyomo ata kama kwa macho ya wengine ni dhaifu au visivyofaa, vyote ni vyetu na ni sisi, bila hivyo hatukamiliki.

Binafsi nawapa benefit of doubt juu ya ukweli ata wa haya.Nadhan mengi yatakuwa yanakuzwa tu na wapambe na kupoteza maana yake halisi.

Unaweza kuona ata kwa hii thread watu lengo lao ni kuchonganisha na kukosanisha.Zitto na Kafulila wachanganye akili zao, watu hawa hawataacha mpaka wakosane kabisa.
 
kiinua mgongo cha mbunge milioni 230! Lamalu nawaza tu!
 
Siasa za Tanzania zimejawa na ulaghai mtupu...
 
zitto is in political death bed,amebaki kudandia hoja za wenzake
akizoea kupewa hoja na chadema sasa hivi kafulia ile mbaya

Eti alizoea kupewa hoja na Chadema!!! maajabu kweli hivi kwa Mfano ile hoja ya Buzwagi ukimpa Lema au Sugu unategemea kuna impact yoyote itaonekana?
 
Kafulila asubiri kufa kisiasa kama Sam Ruhuza, hivi vyama vya wachagga na wapare viliwashinda kabarou na zitto, yeye ataviwezaje? Na hivi cv yake imeshaharibika asubiri kufundisha english medium.
 
Back
Top Bottom