Kafulila afunguka kuhusu Zitto na ESCROW

Kafulila afunguka kuhusu Zitto na ESCROW

chuuma

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2015
Posts
363
Reaction score
557
KAFULILA AFUNGUKA KUHUSU ZITTO& ESCROW

Naomba kuweka kumbukumbu sawa tu kwamba Zitto ni rafiki yangu tangu nikiwa CHADEMA lakini haimanishi tunakubaliana kila kitu.

Naudhika kuona wafuasi wake wakiandika uongo ambao hata yeye mwenyewe Zitto anajua ni uongo kwamba alinisaidia kwenye kampeni.

Ukweli wa Mungu Zitto hakunisaidia hata lita ya mafuta kwenye kampeni kwasababu anazojua yeye ambazo nisingependa kumsemea. Aliahidi tu kwenye magazeti.

Labda wafuasi wake wamrudie kumuuliza vizuri. Kuhusu ESCROW nimeshasema jana kwamba Umma unajua na nimeshaeleza kwamba chanzo ni gazeti la CITIZEN.

Nilichofanya ni kufuatilia chanzo hicho na kufanyia kazi na ilikuwa April2014.
 
ZZK alishauriwa vibaya kisiasa na kama hakushauriwa na mtu basi inabidi asali sana maana ukimgeukia Mungu unapunguza kiburi, kutojiamini na adabu inaongezeka.
 
Mungu hamfichi mnafiki, sasa unafiki wao kwenye Escrow unaanza kuwarudi, mwisho wa siku watamuomba masahama mzee Muhongo
Hivi huon aibu kutangaza ubwenyenye wako wa kipumbavu.wew ndo mnafiki tena kama lishetani.....
 
Maneno hayo si ya KAFULILA ni uongo mtupu, zitto ameisha sema anayetaka kurudi BUNGENI ajiunge ACT wazalendo
 
Baadhi ya walioponzwa na uz.and.iki wa Zitto na kupotea
1.Danda Juju
2.Juliana Shonza
3.Mtela Mwampamba
4.Burton Gwakisa
5.Kitila Mkumbo
6.Said Arfi
7.................
8....:.............

Walioponea chupuchupu kupotezwa na Zitto
1.David Kafulila
2.Moses Machali
3.Felix Mkosamali
4.Halima Mdee?
5.Ben Saanane
6...................
7...................
Zitto ana DHAMBI ya mauti ya kisiasa.
 
wote hawa ni wasaka tonge wakipata wanatulia
 
Back
Top Bottom