Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Kama hana hoja muulize prof Muhongo Tibaijuka Maswi. Wao wanaweza kujua hoja yake kuliko wewe unayetumia kichwa kufugia nywele.
Teeeeh,teeeeh,mkuu umemaliza kazi
Kama hana hoja muulize prof Muhongo Tibaijuka Maswi. Wao wanaweza kujua hoja yake kuliko wewe unayetumia kichwa kufugia nywele.
Dhambi zake haziwezi kusamehewaBaadhi ya walioponzwa na uz.and.iki wa Zitto na kupotea
1.Danda Juju
2.Juliana Shonza
3.Mtela Mwampamba
4.Burton Gwakisa
5.Kitila Mkumbo
6.Said Arfi
7..Habibu.Machange..............
8....:.............
Walioponea chupuchupu kupotezwa na Zitto
1.David Kafulila
2.Moses Machali
3.Felix Mkosamali
4.Halima Mdee?
5.Ben Saanane
6...................
7...................
Zitto ana DHAMBI ya mauti ya kisiasa.
Asante Kafulila kwa kuweka kumbukumbu sawa.
Zitto nataka Escrow imutoe
Ni kweli wasile matango pori maana yana sumu!. Tunawahitaji katika kujenga taifa jipya chini ya UKAWA, hivyo ni vizuri wakatunza afya zao sawia!.
HIvi zito huwa ana matatizo gani? Kila kukicha hili mara lile Kwa nini asitulie japo kidogo akatafakali ? kufanya mabadiriko mwenyewe ni kawaida.
Siyo kama,ni shetani tu huyo
Mimi nadhani malumbano yoyote ya wapinzani kwenye mtandao kwa wakati huu tukielekea uchaguzi mkuu si muafaka. Wapinazani waepuke kuvurugana wakati huu kwa sababu watakinufaisha chama cha mapinduzi.
huyu mtoa nyuzi kaja na umbea mkubwa sana kafulila hawezi kuongea maneno hayo vijana wa cdm wamekua wasemaji wa kafulila sisimizi
nilijua nyuzi imeandikwa na kafulila mwenye kumbe pimbi wa bavicha ndio amekuja na sera mfu
Baadhi ya walioponzwa na uz.and.iki wa Zitto na kupotea
1.Danda Juju
2.Juliana Shonza
3.Mtela Mwampamba
4.Burton Gwakisa
5.Kitila Mkumbo
6.Said Arfi
7.................
8....:.............
Walioponea chupuchupu kupotezwa na Zitto
1.David Kafulila
2.Moses Machali
3.Felix Mkosamali
4.Halima Mdee?
5.Ben Saanane
6...................
7...................
Zitto ana DHAMBI ya mauti ya kisiasa.
Zzk hana lolote utackia kunamtu kaingilia mawasiliano yangu kweenda kuleeeeeee
Source tafadhali,hatutaki porojo hapa tusije kuharibu swaumu zetu bure
Kilawa the Iron
Soon utapigwa ban