Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Hiyo nyumba hapo nyuma madalali wamekupiga..........nasikia umenunua Tshs 200,000,000
ni ka nani haka.......hebu tupe habari zake tukachimbue......
ccm waamini wasiamini, kuna siku tutawaadhibu sana.tutawatesa kwa makusudi, tutawaaibisha tutawalipiza kisasi kwa uchungu mkubwa sana.hii gari ni ya Nchemba huyu anaweza kuwa driver!!
Siku hizi iko maneno sana. Kama ukionekana na nguo ya kijani tu baasi wewe ni Fisadi.