Kuna jambo nadhani mnalifanyia mzaha!
Najiunga kifurushi cha mwezi Cheka mitandao yote 10,000tsh
Sijatuma messeji zaidi ya nne ndani ya siku sita ila mnaniambia meseji zimeisha, nikiwapigia mnajibu kuwa ni matumizi yangu!!
Bando la 50,000tsh na mtandao haufanyi kazi muda mwingine hivyo limetulia tu ghafla SMS umebaki na MB chini ya 2000! Mkipigiwa simu majibu hayo hayo!
Tena unprofessional!
Mnanikata bima makubaliano 4,000 kila mwezi, mpesa yangu inakatwa ila SMS sipati nikipiga kuuliza details najibiwa hamna data! Sijui wanahisi mimi kichwani hamna ubongo!!?
Mnasema ukinunua vifurushi kwa mpesa wanakupa points mimi ndio kabisaaa tuzo points hawazi add teena! Lol!
Kwahiyi Vodacom Tanzania mna blackmail wateja sio!!?
Basi Sawa!! Najipanga!!
Najiunga kifurushi cha mwezi Cheka mitandao yote 10,000tsh
Sijatuma messeji zaidi ya nne ndani ya siku sita ila mnaniambia meseji zimeisha, nikiwapigia mnajibu kuwa ni matumizi yangu!!
Bando la 50,000tsh na mtandao haufanyi kazi muda mwingine hivyo limetulia tu ghafla SMS umebaki na MB chini ya 2000! Mkipigiwa simu majibu hayo hayo!
Tena unprofessional!
Mnanikata bima makubaliano 4,000 kila mwezi, mpesa yangu inakatwa ila SMS sipati nikipiga kuuliza details najibiwa hamna data! Sijui wanahisi mimi kichwani hamna ubongo!!?
Mnasema ukinunua vifurushi kwa mpesa wanakupa points mimi ndio kabisaaa tuzo points hawazi add teena! Lol!
Kwahiyi Vodacom Tanzania mna blackmail wateja sio!!?
Basi Sawa!! Najipanga!!