Kafara halina rivasi

Kafara halina rivasi

Kuna jamaa alinitonya yeye alishuhudia mbuzi anafukiwa mzimamzima ile sauti ya meee ikiishia huko kwa huko, nafikiri wengi wetu hatujaelewa vizuri hili tukio, "Yesu kujitoa kafara kwa ajili ya ulimwengu"
 
Wote tunamfahamu nyoka. Nyoka hana rivasi. Yaani nyoka ni tofauti kabisa na viumbehai wengine; hawezi kurudi kinyumenyume kama kifurukobe. Pikipiki imeiga mfumo huo wa nyoka - haina reverse gear.
Ndugu zangu wa JF, tunapopata muda wa kushauriana mawili matatu ni lazima na ni muhimu tufanye hivyo. Haya ni maandishi hayafutiki, huwezi jua yatamfaa nani, lini na wapi

Furaha ya kila mtu ni kuwa na mafanikio ya kiuchumi na kumiliki mapesa mengi. Yaani kuwa tajiri wa viwango tofauti. Na katika hili la kusaka mafanikio ya kiuchumi kuna wengi wetu tumedanganywa kutumia njia za mkato.

Njia za mkato ziko nyingi tu lakini zote zina risk zake. Ni vyema mtu akatafakari kuhusu minimum risk kwakuwa ukiutaka utajiri na mafanikio katika umri mdogo unaweza kuishia pabaya sana.

Tukiachana na njia nyingine zote za mkato, hebu leo tujikite kwenye hili la makafara na maagano kupitia uchawi na ushirikina. Hili wengi wetu huliona la salama zaidi lakini ndio baya kabisa.

Unapokuwa kwenye harakati za kusaka mafanikio ya kiuchumi lazima utakutana na hili jambo kupitia mawakala maalum wa ulimwengu wa giza. Hawa watakushawishi na kukupa mifano hai ya watu waliofanya hivyo na wakafanikiwa bila madhara yoyote, kitu kitakachokushinda kuuliza ni kwanini yeye hafanyi.

Kafara na viapo vya kusaka mafanikio ya kiuchumi na utajiri hujumuisha damu. Damu ya kiumbe hai hasa wanyama wafugwao kama kuku, mbuzi ng'ombe nk. Ili kupata damu yao inabidi umuue. Kwahiyo unayakatisha maisha yake kimwili ili wewe upate. Maisha haya kuna wakati hukatishwa kwa ukatili mkubwa na maumivu. Hivyo damu yake huwa juu yako. Kisasi cha malipizi huzaliwa hapa. Madhara yako utayaona kitakapokuwa na kukomaa.

Hilo ni jambo la kwanza. Jambo la pili, kila kiumbe hai kina life span yake hapa duniani kimwili. Hivyo unapomtumia kiumbe kwenye kafara unakuwa umekatisha maisha yake kimwili lakini sio kiroho. Kuna muda wake life span ukifika hufa kweli sasa kama umemtumia kwa makafara basi lazima uyumbe.

Unapoyumba kwenye mafanikio yako kiuchumi itabidi urudi kwa mtaalam wako naye bila kukwambia ukweli atakwambia nyota imeshuka hivyo ni vema kukoleza. Hapa kafara huwa tofauti na la mwanzo lakini pia kuna wakati wa kutaka kuondoka kwenye stage moja kwenda nyingine hapa napo kafara ni tofauti.

Kadiri unavyofanikiwa na kadiri unavyopata changamoto za kulinda utajiri wako ndivyo utakavyozidi kutoa makafara makubwa zaidi mpaka kufikia kafara la binadamu baki na hatimaye ndugu, uzao wako na mwisho kabisa shina lako ambalo ni mzazi.

Makafara hayana rivasi. Kutoa kafara dogo kuliko lililotangulia ni kurudi nyuma kiuchumi. Nani anaweza kukubali?

Huwezi kuliacha kafara labda tu ukubali kufilisika na kubaki masikini wa kutupwa. Hii ndiyo pekee inaweza kuwa salama kwako.

Binadamu tumeumbiwa maadui. Mtu anaweza kukuchukia tu bila sababu yoyote hasa kama una mafanikio fulani. Hivyo basi, ukichanganya damu za roho zinazokulilia ulizitoa Kwenye makafara na hizi chuki nyingine za kawaida za kibinadamu utajikuta una mali lakini huna amani, huna raha huna furaha.

Muda wako mwingi utatawaliwa na mashaka mengi. Mashaka ya kujilinda wewe na utajiri wako. Mashaka ya kujilinda na maadui na washindani wako. Mashaka ya kujilinda na damu ulizomwaga. Unakuwa huna amani ya rohoni na muda mwingi ni mtu wa ratiba, mipango na kukimbiakimbia. Kulala kwako saa sita usiku kuamka saa 11 alfajiri.

Kafara haina rivasi wala mwisho mwema. Kafara huambatana na viapo, viapo hivi ni kuuza roho yako kwa shetani. Gharama ya kuikomboa huwa ni kubwa mno na wengi wameshindwa.

Tafuta mali lakini epuka kafara za damu na viapo vya kutii mamlaka za kuzimu.
Nitaanza rasmi kufatilia threads zako mkuu km reference kutoka kwa mtu ambaye ni trusted kupitia maandiko unayotoa. I'll do this kwa sababu people ambao ni trusted katika Jamii ni wachache, people who can write some wise thoughts and people believe or take them as lessons are very few.
 
Nitaanza rasmi kufatilia threads zako mkuu km reference kutoka kwa mtu ambaye ni trusted kupitia maandiko unayotoa. I'll do this kwa sababu people ambao ni trusted katika Jamii ni wachache, people who can write some wise thoughts and people believe or take them as lessons are very few.
Huyu Mzee yupo vizuri sana siwezi kupita thread yake bila kusoma.Mungu ambariki sana
 
Mkuu naomba unijibu maswali haya;

1.ukitoa kafara kwa nia ya kutajirika pesa utazikuta chumbani zinakusubiri au nini kinatokea hadi unakuwa tajiri.?

2.kina uhusiano gani kati ya kafara ambayo iko kiroho zaidi na pesa ambayo ni kitu physical(can be seen and touched)

Wote tunamfahamu nyoka. Nyoka hana rivasi. Yaani nyoka ni tofauti kabisa na viumbehai wengine; hawezi kurudi kinyumenyume kama kifurukobe. Pikipiki imeiga mfumo huo wa nyoka - haina reverse gear.
Ndugu zangu wa JF, tunapopata muda wa kushauriana mawili matatu ni lazima na ni muhimu tufanye hivyo. Haya ni maandishi hayafutiki, huwezi jua yatamfaa nani, lini na wapi

Furaha ya kila mtu ni kuwa na mafanikio ya kiuchumi na kumiliki mapesa mengi. Yaani kuwa tajiri wa viwango tofauti. Na katika hili la kusaka mafanikio ya kiuchumi kuna wengi wetu tumedanganywa kutumia njia za mkato.

Njia za mkato ziko nyingi tu lakini zote zina risk zake. Ni vyema mtu akatafakari kuhusu minimum risk kwakuwa ukiutaka utajiri na mafanikio katika umri mdogo unaweza kuishia pabaya sana.

Tukiachana na njia nyingine zote za mkato, hebu leo tujikite kwenye hili la makafara na maagano kupitia uchawi na ushirikina. Hili wengi wetu huliona la salama zaidi lakini ndio baya kabisa.

Unapokuwa kwenye harakati za kusaka mafanikio ya kiuchumi lazima utakutana na hili jambo kupitia mawakala maalum wa ulimwengu wa giza. Hawa watakushawishi na kukupa mifano hai ya watu waliofanya hivyo na wakafanikiwa bila madhara yoyote, kitu kitakachokushinda kuuliza ni kwanini yeye hafanyi.

Kafara na viapo vya kusaka mafanikio ya kiuchumi na utajiri hujumuisha damu. Damu ya kiumbe hai hasa wanyama wafugwao kama kuku, mbuzi ng'ombe nk. Ili kupata damu yao inabidi umuue. Kwahiyo unayakatisha maisha yake kimwili ili wewe upate. Maisha haya kuna wakati hukatishwa kwa ukatili mkubwa na maumivu. Hivyo damu yake huwa juu yako. Kisasi cha malipizi huzaliwa hapa. Madhara yako utayaona kitakapokuwa na kukomaa.

Hilo ni jambo la kwanza. Jambo la pili, kila kiumbe hai kina life span yake hapa duniani kimwili. Hivyo unapomtumia kiumbe kwenye kafara unakuwa umekatisha maisha yake kimwili lakini sio kiroho. Kuna muda wake life span ukifika hufa kweli sasa kama umemtumia kwa makafara basi lazima uyumbe.

Unapoyumba kwenye mafanikio yako kiuchumi itabidi urudi kwa mtaalam wako naye bila kukwambia ukweli atakwambia nyota imeshuka hivyo ni vema kukoleza. Hapa kafara huwa tofauti na la mwanzo lakini pia kuna wakati wa kutaka kuondoka kwenye stage moja kwenda nyingine hapa napo kafara ni tofauti.

Kadiri unavyofanikiwa na kadiri unavyopata changamoto za kulinda utajiri wako ndivyo utakavyozidi kutoa makafara makubwa zaidi mpaka kufikia kafara la binadamu baki na hatimaye ndugu, uzao wako na mwisho kabisa shina lako ambalo ni mzazi.

Makafara hayana rivasi. Kutoa kafara dogo kuliko lililotangulia ni kurudi nyuma kiuchumi. Nani anaweza kukubali?

Huwezi kuliacha kafara labda tu ukubali kufilisika na kubaki masikini wa kutupwa. Hii ndiyo pekee inaweza kuwa salama kwako.

Binadamu tumeumbiwa maadui. Mtu anaweza kukuchukia tu bila sababu yoyote hasa kama una mafanikio fulani. Hivyo basi, ukichanganya damu za roho zinazokulilia ulizitoa Kwenye makafara na hizi chuki nyingine za kawaida za kibinadamu utajikuta una mali lakini huna amani, huna raha huna furaha.

Muda wako mwingi utatawaliwa na mashaka mengi. Mashaka ya kujilinda wewe na utajiri wako. Mashaka ya kujilinda na maadui na washindani wako. Mashaka ya kujilinda na damu ulizomwaga. Unakuwa huna amani ya rohoni na muda mwingi ni mtu wa ratiba, mipango na kukimbiakimbia. Kulala kwako saa sita usiku kuamka saa 11 alfajiri.

Kafara haina rivasi wala mwisho mwema. Kafara huambatana na viapo, viapo hivi ni kuuza roho yako kwa shetani. Gharama ya kuikomboa huwa ni kubwa mno na wengi wameshindwa.

Tafuta mali lakini epuka kafara za damu na viapo vya kutii mamlaka za kuzimu.
 
Nitaanza rasmi kufatilia threads zako mkuu km reference kutoka kwa mtu ambaye ni trusted kupitia maandiko unayotoa. I'll do this kwa sababu people ambao ni trusted katika Jamii ni wachache, people who can write some wise thoughts and people believe or take them as lessons are very few.
 
Kuyakuta maburungutu ya pesa chumbani ni uongo au mazingaombwe..... Na Kama ikotokea hivyo inabidi uzibadili kuwa pesa halisi... Ndio maana wengi huzipata kupitia biashara kwakuwa zinaelezeka kuwa umezipata kupitia biashara
 
Kuyakuta maburungutu ya pesa chumbani ni uongo au mazingaombwe..... Na Kama ikotokea hivyo inabidi uzibadili kuwa pesa halisi... Ndio maana wengi huzipata kupitia biashara kwakuwa zinaelezeka kuwa umezipata kupitia biashara
Mkuu naomba unijibu maswali haya;

1.ukitoa kafara kwa nia ya kutajirika pesa utazikuta chumbani zinakusubiri au nini kinatokea hadi unakuwa tajiri.?

2.kina uhusiano gani kati ya kafara ambayo iko kiroho zaidi na pesa ambayo ni kitu physical(can be seen and touched)
Kila jambo huazia rohoni... Kisha matokeo yake huwa ya kimwili hivyo mambo yote duniani msingi wake ni roho
 
Wote tunamfahamu nyoka. Nyoka hana rivasi. Yaani nyoka ni tofauti kabisa na viumbehai wengine; hawezi kurudi kinyumenyume kama kifurukobe. Pikipiki imeiga mfumo huo wa nyoka - haina reverse gear.
Ndugu zangu wa JF, tunapopata muda wa kushauriana mawili matatu ni lazima na ni muhimu tufanye hivyo. Haya ni maandishi hayafutiki, huwezi jua yatamfaa nani, lini na wapi

Furaha ya kila mtu ni kuwa na mafanikio ya kiuchumi na kumiliki mapesa mengi. Yaani kuwa tajiri wa viwango tofauti. Na katika hili la kusaka mafanikio ya kiuchumi kuna wengi wetu tumedanganywa kutumia njia za mkato.

Njia za mkato ziko nyingi tu lakini zote zina risk zake. Ni vyema mtu akatafakari kuhusu minimum risk kwakuwa ukiutaka utajiri na mafanikio katika umri mdogo unaweza kuishia pabaya sana.

Tukiachana na njia nyingine zote za mkato, hebu leo tujikite kwenye hili la makafara na maagano kupitia uchawi na ushirikina. Hili wengi wetu huliona la salama zaidi lakini ndio baya kabisa.

Unapokuwa kwenye harakati za kusaka mafanikio ya kiuchumi lazima utakutana na hili jambo kupitia mawakala maalum wa ulimwengu wa giza. Hawa watakushawishi na kukupa mifano hai ya watu waliofanya hivyo na wakafanikiwa bila madhara yoyote, kitu kitakachokushinda kuuliza ni kwanini yeye hafanyi.

Kafara na viapo vya kusaka mafanikio ya kiuchumi na utajiri hujumuisha damu. Damu ya kiumbe hai hasa wanyama wafugwao kama kuku, mbuzi ng'ombe nk. Ili kupata damu yao inabidi umuue. Kwahiyo unayakatisha maisha yake kimwili ili wewe upate. Maisha haya kuna wakati hukatishwa kwa ukatili mkubwa na maumivu. Hivyo damu yake huwa juu yako. Kisasi cha malipizi huzaliwa hapa. Madhara yako utayaona kitakapokuwa na kukomaa.

Hilo ni jambo la kwanza. Jambo la pili, kila kiumbe hai kina life span yake hapa duniani kimwili. Hivyo unapomtumia kiumbe kwenye kafara unakuwa umekatisha maisha yake kimwili lakini sio kiroho. Kuna muda wake life span ukifika hufa kweli sasa kama umemtumia kwa makafara basi lazima uyumbe.

Unapoyumba kwenye mafanikio yako kiuchumi itabidi urudi kwa mtaalam wako naye bila kukwambia ukweli atakwambia nyota imeshuka hivyo ni vema kukoleza. Hapa kafara huwa tofauti na la mwanzo lakini pia kuna wakati wa kutaka kuondoka kwenye stage moja kwenda nyingine hapa napo kafara ni tofauti.

Kadiri unavyofanikiwa na kadiri unavyopata changamoto za kulinda utajiri wako ndivyo utakavyozidi kutoa makafara makubwa zaidi mpaka kufikia kafara la binadamu baki na hatimaye ndugu, uzao wako na mwisho kabisa shina lako ambalo ni mzazi.

Makafara hayana rivasi. Kutoa kafara dogo kuliko lililotangulia ni kurudi nyuma kiuchumi. Nani anaweza kukubali?

Huwezi kuliacha kafara labda tu ukubali kufilisika na kubaki masikini wa kutupwa. Hii ndiyo pekee inaweza kuwa salama kwako.

Binadamu tumeumbiwa maadui. Mtu anaweza kukuchukia tu bila sababu yoyote hasa kama una mafanikio fulani. Hivyo basi, ukichanganya damu za roho zinazokulilia ulizitoa Kwenye makafara na hizi chuki nyingine za kawaida za kibinadamu utajikuta una mali lakini huna amani, huna raha huna furaha.

Muda wako mwingi utatawaliwa na mashaka mengi. Mashaka ya kujilinda wewe na utajiri wako. Mashaka ya kujilinda na maadui na washindani wako. Mashaka ya kujilinda na damu ulizomwaga. Unakuwa huna amani ya rohoni na muda mwingi ni mtu wa ratiba, mipango na kukimbiakimbia. Kulala kwako saa sita usiku kuamka saa 11 alfajiri.

Kafara haina rivasi wala mwisho mwema. Kafara huambatana na viapo, viapo hivi ni kuuza roho yako kwa shetani. Gharama ya kuikomboa huwa ni kubwa mno na wengi wameshindwa.

Tafuta mali lakini epuka kafara za damu na viapo vya kutii mamlaka za kuzimu.
Asante bro mchana, mpaka sasa nimechagua maisha ya kawaida tu. Sitaki utajiri kwasababu sina uhakika nitaumiliki kwa kipindi gani hapa dunian. Mada imegusa kwenye viunga vyangu.
 
Back
Top Bottom