Kafara halina rivasi

Kafara halina rivasi

Mkuu mshana jr ngoja nikupe siri kuna mtu anaitwa kiranga anakung'ong'a kwenye hii thread
 
Vipi hawa mbuzi tunao wachinja ili sisi tunywe supu
Nao tunakuwa tumekatisha uhai wao (life span ) yao kimwili
Ina maana kiroho huwa wanatulilia ????
Je nazo ni kafara??
 
Mm Niko kwenye mchakato wa kubuni jinsi ya KUABUDU (kipekee ya kwangu tu..ile Sara AMBAYO nikisari nitakuwa nasisimka kweli) Bila kuhusisha kafara.


Mshana Jr hivi hakuna namna ya kusafisha nyota iwe nyongeza kwa ile ya chumvi??
 
Vipi hawa mbuzi tunao wachinja ili sisi tunywe supu
Nao tunakuwa tumekatisha uhai wao (life span ) yao kimwili
Ina maana kiroho huwa wanatulilia ????
Je nazo ni kafara??
Kila kitu inategemea unafanya kwa muktadha gani... Kama ni kwa ajili ya lishe na umemchinja kwa njia zinazokubalika hakuna shida... Na hata kama kuna mtu alichinja akatumia damu kwa mambo yake kisha akagawa nyama watu wale bado nyama ile haina shida kwa walaji
 
Vipi hawa mbuzi tunao wachinja ili sisi tunywe supu
Nao tunakuwa tumekatisha uhai wao (life span ) yao kimwili
Ina maana kiroho huwa wanatulilia ????
Je nazo ni kafara??
 
Mm Niko kwenye mchakato wa kubuni jinsi ya KUABUDU (kipekee ya kwangu tu..ile Sara AMBAYO nikisari nitakuwa nasisimka kweli) Bila kuhusisha kafara.


Mshana Jr hivi hakuna namna ya kusafisha nyota iwe nyongeza kwa ile ya chumvi??
fanya kafara la kuua kiimani bila kudhuru kiumbe
 
Hapo kwenye kukatisha uhai wa viumbe hai, je ukichinja mnyama kama kitoweo bado atakuja kufa tena kihalali? Nataka kujua tofauti ya kuchinja kwa kafala na kwa kitoweo.
 
Damu ya mnyama haimlilii mtu..na anayetolewa msukule ndio hubaki hai mpaka mda aliopangiwa kuondoka duniani kiukweli ufike!
Ila mnyama akichinjwa ndio kaondoka........
 
Back
Top Bottom