Kafara halina rivasi

Kafara halina rivasi

Hapo kwenye kukatisha uhai wa viumbe hai, je ukichinja mnyama kama kitoweo bado atakuja kufa tena kihalali? Nataka kujua tofauti ya kuchinja kwa kafala na kwa kitoweo.
Kwenye kuchinja kuna dua maalum ndio maana si kila mmoja ni mchinjaji... Waislam wanajua hili.. Dua huongezeka maneno kadiri mnyama anavyokuwa mkubwa...
 
Damu ya mnyama haimlilii mtu..na anayetolewa msukule ndio hubaki hai mpaka mda aliopangiwa kuondoka duniani kiukweli ufike!
Ila mnyama akichinjwa ndio kaondoka........
Kuna vifo vya kimwili na vifo vya kiroho... Kuna ukomo wa mwili kutengana na mwili
 
Matumizi mazuri kwa mahitaji ya mwili hakuna shida.. Ndio maana wachinjaji hufanya dua maalum kabla ya kuchinja. Na hizo dua hazifanani toka mnyama hadi mnyama kuna la kuku kuna la mbuzi nknk
Juzi nilikuwa naangalia program moja inaitwa WHAT IF. Humu walieleza, Nyama siyo source pekee ya protein, unaweza kula majani kama salad au mboga za majani za kuchemsha na ukawa na protein ya kutosha tu, walikuwa wanalinganisha farasi wale wanaokimbia sana kule kwenye Kentuky Derby huwa hawali nyama bali hiula majani lakini wana misuli mikubwa na yenye nguvu sana. Tizama Ng'ombe au mbuzi hula majani lakini wana misuli na nguvu nyingi, sasa iweje sisi binadamu tuone ni lazima kula nyama ili kupata protein?
Nimechombeza tu, kwasababu uzi ni makafala ,sina uhakika kama nyama ya mnyama wa kafara inaliwa?
 
Juzi nilikuwa naangalia program moja inaitwa WHAT IF. Humu walieleza, Nyama siyo source pekee ya protein, unaweza kula majani kama salad au mboga za majani za kuchemsha na ukawa na protein ya kutosha tu, walikuwa wanalinganisha farasi wale wanaokimbia sana kule kwenye Kentuky Derby huwa hawali nyama bali hiula majani lakini wana misuli mikubwa na yenye nguvu sana. Tizama Ng'ombe au mbuzi hula majani lakini wana misuli na nguvu nyingi, sasa iweje sisi binadamu tuone ni lazima kula nyama ili kupata protein?
Nimechombeza tu, kwasababu uzi ni makafala ,sina uhakika kama nyama ya mnyama wa kafara inaliwa?
 
Juzi nilikuwa naangalia program moja inaitwa WHAT IF. Humu walieleza, Nyama siyo source pekee ya protein, unaweza kula majani kama salad au mboga za majani za kuchemsha na ukawa na protein ya kutosha tu, walikuwa wanalinganisha farasi wale wanaokimbia sana kule kwenye Kentuky Derby huwa hawali nyama bali hiula majani lakini wana misuli mikubwa na yenye nguvu sana. Tizama Ng'ombe au mbuzi hula majani lakini wana misuli na nguvu nyingi, sasa iweje sisi binadamu tuone ni lazima kula nyama ili kupata protein?
Nimechombeza tu, kwasababu uzi ni makafala ,sina uhakika kama nyama ya mnyama wa kafara inaliwa?
 
Juzi nilikuwa naangalia program moja inaitwa WHAT IF. Humu walieleza, Nyama siyo source pekee ya protein, unaweza kula majani kama salad au mboga za majani za kuchemsha na ukawa na protein ya kutosha tu, walikuwa wanalinganisha farasi wale wanaokimbia sana kule kwenye Kentuky Derby huwa hawali nyama bali hiula majani lakini wana misuli mikubwa na yenye nguvu sana. Tizama Ng'ombe au mbuzi hula majani lakini wana misuli na nguvu nyingi, sasa iweje sisi binadamu tuone ni lazima kula nyama ili kupata protein?
Nimechombeza tu, kwasababu uzi ni makafala ,sina uhakika kama nyama ya mnyama wa kafara inaliwa?
Huwa daima nashukuru kuipata ile nafasi ya kusoma kule.... Yale maarifa yale sijui ningeyapata wapi pengine tena bure kabisa
Niliishi kama vegetarian na mseja (90%) kwa karibia miaka mitano.... Kuna uzuri wa ajabu kwenye kuwa vegetarian....

Nje ya mada... Napata hisia wewe ni Doctor M
 
Huwa daima nashukuru kuipata ile nafasi ya kusoma kule.... Yale maarifa yale sijui ningeyapata wapi pengine tena bure kabisa
Niliishi kama vegetarian na mseja (90%) kwa karibia miaka mitano.... Kuna uzuri wa ajabu kwenye kuwa vegetarian....

Nje ya mada... Napata hisia wewe ni Doctor M
Hongera, ile elimu ni nzuri sana... tatizo ni wengi hushindwa kufanya choices za ama waendelee au wasiendelee na useja.
Huyo Doctor M siye mimi ila tu marafiki sana.
 
Natamani sana kufungua chuo haps Tanzania
Penye nia pana njia, Tafuta eneo kwanza kasha tafuta wafadhili, naimani hutokosa watu wa kukusaidia kwenye hilo. Chuo ni IDEA NZURI SANA.
KAMA HILO LIPO MOYONI MWAKO, SIYO VIBAYA UKAJARIBU KUFIKIRIA JINSI YA KULITEKELEZA.
Mimi nitakupa Support.
 
Penye nia pana njia, Tafuta eneo kwanza kasha tafuta wafadhili, naimani hutokosa watu wa kukusaidia kwenye hilo. Chuo ni IDEA NZURI SANA.
KAMA HILO LIPO MOYONI MWAKO, SIYO VIBAYA UKAJARIBU KUFIKIRIA JINSI YA KULITEKELEZA.
Mimi nitakupa Support.
 
Wote tunamfahamu nyoka. Nyoka hana rivasi. Yaani nyoka ni tofauti kabisa na viumbehai wengine; hawezi kurudi kinyumenyume kama kifurukobe. Pikipiki imeiga mfumo huo wa nyoka - haina reverse gear.
Ndugu zangu wa JF, tunapopata muda wa kushauriana mawili matatu ni lazima na ni muhimu tufanye hivyo. Haya ni maandishi HAYAFUTIKI, huwezi jua yatamfaa nani, lini na wapi!

Furaha ya kila mtu ni kuwa na mafanikio ya kiuchumi na kumiliki mapesa mengi. Yaani kuwa tajiri wa viwango tofauti. Na katika hili la kusaka mafanikio ya kiuchumi kuna wengi wetu tumedanganywa kutumia njia za mkato.

Njia za mkato ziko nyingi tu lakini zote zina risk zake. Ni vyema mtu akatafakari kuhusu minimum risk kwakuwa ukiutaka utajiri na mafanikio katika umri mdogo unaweza kuishia pabaya sana.

Tukiachana na njia nyingine zote za mkato, hebu leo tujikite kwenye hili la makafara na maagano kupitia uchawi na ushirikina. Hili wengi wetu huliona la salama zaidi lakini ndio baya kabisa.

Unapokuwa kwenye harakati za kusaka mafanikio ya kiuchumi lazima utakutana na hili jambo kupitia mawakala maalum wa ulimwengu wa giza. Hawa watakushawishi na kukupa mifano hai ya watu waliofanya hivyo na wakafanikiwa bila madhara yoyote, kitu kitakachokushinda kuuliza ni kwanini yeye hafanyi.

Kafara na viapo vya kusaka mafanikio ya kiuchumi na utajiri hujumuisha damu. Damu ya kiumbe hai hasa wanyama wafugwao kama kuku, mbuzi ng'ombe nk. Ili kupata damu yao inabidi umuue. Kwahiyo unayakatisha maisha yake kimwili ili wewe upate. Maisha haya kuna wakati hukatishwa kwa ukatili mkubwa na maumivu. Hivyo damu yake huwa juu yako. Kisasi cha malipizi huzaliwa hapa. Madhara yako utayaona kitakapokuwa na kukomaa.

Hilo ni jambo la kwanza. Jambo la pili, kila kiumbe hai kina life span yake hapa duniani kimwili. Hivyo unapomtumia kiumbe kwenye kafara unakuwa umekatisha maisha yake kimwili lakini sio kiroho. Kuna muda wake life span ukifika hufa kweli sasa kama umemtumia kwa makafara basi lazima uyumbe.

Unapoyumba kwenye mafanikio yako kiuchumi itabidi urudi kwa mtaalam wako naye bila kukwambia ukweli atakwambia nyota imeshuka hivyo ni vema kukoleza. Hapa kafara huwa tofauti na la mwanzo lakini pia kuna wakati wa kutaka kuondoka kwenye stage moja kwenda nyingine hapa napo kafara ni tofauti.

Kadiri unavyofanikiwa na kadiri unavyopata changamoto za kulinda utajiri wako ndivyo utakavyozidi kutoa makafara makubwa zaidi mpaka kufikia kafara la binadamu baki na hatimaye ndugu, uzao wako na mwisho kabisa shina lako ambalo ni mzazi.

Makafara hayana rivasi. Kutoa kafara dogo kuliko lililotangulia ni kurudi nyuma kiuchumi. Nani anaweza kukubali?

Huwezi kuliacha kafara labda tu ukubali kufilisika na kubaki masikini wa kutupwa. Hii ndiyo pekee inaweza kuwa salama kwako.

Binadamu tumeumbiwa maadui. Mtu anaweza kukuchukia tu bila sababu yoyote hasa kama una mafanikio fulani. Hivyo basi, ukichanganya damu za roho zinazokulilia ulizitoa Kwenye makafara na hizi chuki nyingine za kawaida za kibinadamu utajikuta una mali lakini huna amani, huna raha huna furaha.

Muda wako mwingi utatawaliwa na mashaka mengi. Mashaka ya kujilinda wewe na utajiri wako. Mashaka ya kujilinda na maadui na washindani wako. Mashaka ya kujilinda na damu ulizomwaga. Unakuwa huna amani ya rohoni na muda mwingi ni mtu wa ratiba, mipango na kukimbiakimbia. Kulala kwako saa sita usiku kuamka saa 11 alfajiri.

Kafara haina rivasi wala mwisho mwema. Kafara huambatana na viapo, viapo hivi ni kuuza roho yako kwa shetani. Gharama ya kuikomboa huwa ni kubwa mno na wengi wameshindwa.

Tafuta mali lakini epuka kafara za damu na viapo vya kutii mamlaka za kuzimu.
Naomba kuuliza ...

Hivi kuuza roho kunakuwaje?
 
Mkuu nikifanya matambiko madogo madogo ya kuku bata njiwa paka kisha nikafika kiwango flani nikarizika na maisha hayo halafu nikasimamisha tambiko kwa kufanya matambiko yaleyale ya kuku bata paka sungura kutakuwa na shida gani?
 
Back
Top Bottom