Kwa maana hiyo tambiko halina faida Ukilinganisha deni la damu hiyo?NNi mkondo uleule tofauti ni wanyama tu
HakikaKweli kabisa na reason behind ni kwamba amepata exposure ya elimu ambayo wengi wetu hatuna
Sasa Mkuu tambiko tena si ndio yale yale unaua mnyama tenaTambiko linaweza kusaidia kupoza mambo hasa kama wahusika wamejitambua na kutaka kurekebisha mambo
Sio Tembo au Nyangumi?!..Mmh lenye nguvu zaidi ni la binadamu
Huu ni usanii tuHizi ndo short cut za maishaView attachment 1240927View attachment 1240928
Sawa!Huu ni usanii tu
Sawa sawa,pia nimekutumia ujumbe pia, ukipata nafasi ucheki!!Tambiko linaweza kusaidia kupoza mambo hasa kama wahusika wamejitambua na kutaka kurekebisha mambo
Kwa hiyo kitu ndani Boksi ndio mpango mzimaHao wote ni hayawani
Kuna kutenda bila kujua ama kunia.... Madhara yake ni madogo sana na sometimes yasiyoonekana kabisa... Tatizo ni pale unapoenda kwa mganga wa kienyeji kutafata mafanikio... Hii ni dhamira ya waziumenifanya niwaze kuku ambao hua nawachinja, na pia enzi za ujana nilipo kua nawadungua ndege na manati na kuwafanya vitoeo. Kwa hyo mambo yangu yasipoenda vzr ni wale kuku na ndege wananililia?🙂🙂🙂🙂🙂🙂