Kadinali Rugambwa ampokea Rais Samia Tabora

Wewe mjinga sana. Kanisa katoliki hakunaga askofu mkuu wa nchi. Kila jimbo lina mkuu wake, na huyo ni hapo Tabora tu sio mkuu wa Tanzania. Muwe mnauliza basi hierarchy ya kanisa!!! Huyo hawezi na hana uwezo wa kulisemea kanisa kama mkubwa. Kuna mapadri makardinali kwa taarifa yako. Watu wengi hawalijui kanisa katoliki. Ila wanahisi wanalijua, kuna misconceptions nyingi sana hasahasa kutoka kwa wanasiasa na wanahabari.
Nina uhakika Samia anadhani huyo ndio mkuu wa kanisa Tanzania ni aibu kuwa wengi wapo ignorant , mpaka wengine wakadhani eti atakaa Dar. Shida ni pale Pengo alikuwa anapenda kuongea na media na media zinapenda kuongea na Pengo wakadhani ana authority kuliko wengine kumbe mwisho wake ulikuwa jimbo kuu la Dar es Salaam.
Huyo kardinali mwisho wake wa madaraka ni hapo jimbo la Tabora. Sisi wakatoliki wakati wa misa tuna sala ya waumini ambayo tunaanza kwa Papa then askofu wa jimbo husika, kwahiyo Dar au Moro au Arusha hawatamtaja Rugambwa! Why? Sababu ni askofu wa jimbo la Tabora. Ukardinali ni more ceremonial tu sio authoritative. Chukueni hiyo.
Umeeleza vyema
.
Tabora penyewe madaraka anayo robo tuu, anapokea maelekezo kutoka kwa Askofu Mkuu Paul R. Ruzoka.
 
Askofu Mkuu wa Kanisa katoliki nchini Tanzania, Kadinali Protase Rugambwa amekutana na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan mkoani Tabora ikiwa ni mara ya kwanza tangu kuapishwa kwake.

Mara baada ya kuwasili Kadinali Rugambwa alimuombea Rais Samia sala maalum kumtakia heri katika uongozi wake.

Tabora ni nyumbani! Karibu sana Mama wa Taifa

Wale wanaosema Mama ana shida na TEC bado mko na msimamo wenu au?

Mwezi huu itakuja habari ambayo wengi wenu hamtoipenda, habari hiyo itakuja kabla ya maandamao yetu ya mchongo ya akina Mwabukusi. #MamaYukoKazini

Rais Samia Suluhu chuma hiki kimeaga kwao Kizimkazi.

View attachment 2785654
View attachment 2785655
View attachment 2785656
View attachment 2785657
View attachment 2785658
View attachment 2785659


Tanzania haina Mama wa taifa ina baba wa Taifa mwanzilishi wa taifa. Lakini tuna Raisi Mama Samia. Hatuna na hajawahi kuwa na Mama wa taifa tuache uchawa.

Mara Dr, mara Suluhu, Mara Mama Samia, ….. sasa ni kila mwezi kuna jina mpya … kesho Mama Abdul 😂
 
Askofu Mkuu wa Kanisa katoliki nchini Tanzania, Kadinali Protase Rugambwa amekutana na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan mkoani Tabora ikiwa ni mara ya kwanza tangu kuapishwa kwake.

Mara baada ya kuwasili Kadinali Rugambwa alimuombea Rais Samia sala maalum kumtakia heri katika uongozi wake.

Tabora ni nyumbani! Karibu sana Mama wa Taifa

Wale wanaosema Mama ana shida na TEC bado mko na msimamo wenu au?

Mwezi huu itakuja habari ambayo wengi wenu hamtoipenda, habari hiyo itakuja kabla ya maandamao yetu ya mchongo ya akina Mwabukusi. #MamaYukoKazini

Rais Samia Suluhu chuma hiki kimeaga kwao Kizimkazi.

View attachment 2785654
View attachment 2785655
View attachment 2785656
View attachment 2785657
View attachment 2785658
View attachment 2785659
Rekebisha Kanisa Katoliki halina kiongozi anayeitwa Askofu Mkuu wa Tanzania yeye hadi sasa ni Askofu Mkuu Mwandamizi wa Jimbo Kuu la Tabora.
 
Askofu Mkuu wa Kanisa katoliki nchini Tanzania, Kadinali Protase Rugambwa amekutana na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan mkoani Tabora ikiwa ni mara ya kwanza tangu kuapishwa kwake.

Mara baada ya kuwasili Kadinali Rugambwa alimuombea Rais Samia sala maalum kumtakia heri katika uongozi wake.

Tabora ni nyumbani! Karibu sana Mama wa Taifa

Wale wanaosema Mama ana shida na TEC bado mko na msimamo wenu au?

Mwezi huu itakuja habari ambayo wengi wenu hamtoipenda, habari hiyo itakuja kabla ya maandamao yetu ya mchongo ya akina Mwabukusi. #MamaYukoKazini

Rais Samia Suluhu chuma hiki kimeaga kwao Kizimkazi.

View attachment 2785654
View attachment 2785655
View attachment 2785656
View attachment 2785657
View attachment 2785658
View attachment 2785659
Siyo Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki nchini, bali ni Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora, Kardinali Protase Rugambwa.
 
Wewe mjinga sana. Kanisa katoliki hakunaga askofu mkuu wa nchi. Kila jimbo lina mkuu wake, na huyo ni hapo Tabora tu sio mkuu wa Tanzania. Muwe mnauliza basi hierarchy ya kanisa!!! Huyo hawezi na hana uwezo wa kulisemea kanisa kama mkubwa. Kuna mapadri makardinali kwa taarifa yako. Watu wengi hawalijui kanisa katoliki. Ila wanahisi wanalijua, kuna misconceptions nyingi sana hasahasa kutoka kwa wanasiasa na wanahabari.
Nina uhakika Samia anadhani huyo ndio mkuu wa kanisa Tanzania 😂 ni aibu kuwa wengi wapo ignorant , mpaka wengine wakadhani eti atakaa Dar. Shida ni pale Pengo alikuwa anapenda kuongea na media na media zinapenda kuongea na Pengo wakadhani ana authority kuliko wengine kumbe mwisho wake ulikuwa jimbo kuu la Dar es Salaam.
Huyo kardinali mwisho wake wa madaraka ni hapo jimbo la Tabora. Sisi wakatoliki wakati wa misa tuna sala ya waumini ambayo tunaanza kwa Papa then askofu wa jimbo husika, kwahiyo Dar au Moro au Arusha hawatamtaja Rugambwa! Why? Sababu ni askofu wa jimbo la Tabora. Ukardinali ni more ceremonial tu sio authoritative. Chukueni hiyo.
Hili Kanisa hili jamni, nilifukuzwa seminary nikiwa form six..

Dadangu aliolewa Kwa wa KKKT na Wazazi wakapokea mahari kimyakimya... Aisee sijui walijuaje.

Niliitwa nikiwa kwenye sakristia najiandaa na Ibada-ikawa for food
 
Back
Top Bottom