Kadi za CHADEMA zagombewa kama njugu Mtwara.

ila jamani wajaribu kuandaa kadi nyingi pia bendera,maana watu mikoni tunahitaji sana maana tuko tayari kwa mapinduzi,shida inakuja kila ukihitaji unaambiwa zimeagizwa,duh,makamanda hebu angalieni vizuri mpango mzima,maana tunataka mpaka 015 iwe chadema nyumba kwa nyumba.watanzania tupo tayari kwa mabadiliko.
people'sssssssss;power.
pamoja sana hata huku kwa chenge tunataka mabadiliko.m4c haijapita huko,
 
Kwa hali ninayoiona Mtwara tayari imeanguka mikononi mwa CDM.

Mh! Hawa jamaa (CDM) wako very strategic. Naona wameamua kudili na mikoa ya pembezoni kwanza: Kagera, Mwanza, Mara, Arusha, Kilimanjaro, Kigoma, Sumbawanga, Mbeya, na sasa Mtwara na Lindi. Ukichanganya na ngome za kati ambazo tayari wanazo mkononi - Shinyanga, Manyara, na Iringa tayari wame-cover more than 60% ya voters.

Wanacheza kwanza ukingoni halafu wanamalizia kati - Tabora, Dodoma, Singida, Iringa, Tanga, Njombe, na Mpanda na picha inakuwa imekwisha. Kwa Unguja na Pemba huko sijui; ngome za kidini za Uamsho hizo.
 
wamekwenda kuijenga ccm ishinde 2015,cdm haiwezi shinda mtwara wala lindi

Kujifariji ni kuzuri kama unachukua hatua kukabiliana na tatizo lakini ni kubaya kama ni maneno matupu!! Ukweli unabaki palepale Mtwara na Lindi sio ngome tena ya magamba na huko si kaskazini wala kanda ya ziwa!!
 
ila jamani wajaribu kuandaa kadi nyingi pia bendera,maana watu mikoni tunahitaji sana maana tuko tayari kwa mapinduzi,shida inakuja kila ukihitaji unaambiwa zimeagizwa,duh,makamanda hebu angalieni vizuri mpango mzima,maana tunataka mpaka 015 iwe chadema nyumba kwa nyumba.watanzania tupo tayari kwa mabadiliko.
people'sssssssss;power.
pamoja sana hata huku kwa chenge tunataka mabadiliko.m4c haijapita huko,

Usijali mkuu zitaletwa kwa wingi
 
A
Mh! Hawa jamaa (CDM) wako very strategic. Naona wameamua kudili na mikoa ya pembezoni kwanza: Kagera, Mwanza, Mara, Arusha, Kilimanjaro, Kigoma, Sumbawanga, Mbeya, na sasa Mtwara na Lindi. Ukichanganya na ngome za kati ambazo tayari wanazo mkononi - Shinyanga, Manyara, na Iringa tayari wame-cover more than 60% ya voters.

Wanacheza kwanza ukingoni halafu wanamalizia kati - Tabora, Dodoma, Singida, Iringa, Tanga, Njombe, na Mpanda na picha inakuwa imekwisha. Kwa Unguja na Pemba huko sijui; ngome za kidini za Uamsho hizo.

Kule hakuna umuhimu sana kama mikoa ya kanda ya kati.
 
Mh! Hawa jamaa (CDM) wako very strategic. Naona wameamua kudili na mikoa ya pembezoni kwanza: Kagera, Mwanza, Mara, Arusha, Kilimanjaro, Kigoma, Sumbawanga, Mbeya, na sasa Mtwara na Lindi. Ukichanganya na ngome za kati ambazo tayari wanazo mkononi - Shinyanga, Manyara, na Iringa tayari wame-cover more than 60% ya voters.

Wanacheza kwanza ukingoni halafu wanamalizia kati - Tabora, Dodoma, Singida, Iringa, Tanga, Njombe, na Mpanda na picha inakuwa imekwisha. Kwa Unguja na Pemba huko sijui; ngome za kidini za Uamsho hizo.

Very true mkuu.Pamoja sana
 
Ngome kuu ya magamba iliyobaki ni dodoma na singinda,nashauri uundwe mpango kz makini wa kuiokoa mikoa hiyo.
 
Jambo moja naomba CHADEMA waliweke wazi bila ya kutafuna maneno nalo ni kwamba wakipewa nchi hawatatugeuza watumwa wa chama kwa hila na vitisho kama CCM walivyotugeuka na kwamba itakuwa mwanzo wa wananchi kuweza kubadili kwa kura viongozi wa ovyo hata kutoka kwa wao wakiwa madarakani.
 
safi sana wacha wapigane madongo wao kwa wao sisi tunavuna
naona clouds leo wanawapiga pia madongo magamba
good job chadema.aluta continue
 
Kwa nini Jakaya hatumii Familia yake kukabiliana na changa moto hizi za kisiasa kama alivyofanya wakati wa kampeni 2010?
 
Wenyewe watasema ni upepo tu utapita, ngoja watuambie kama na huko nako ni kwa wachaga au ni kaskazini sijui ni ukanda.
mtwara corridor,,,,,,,ni kaskazin ya msumbiji kama kilimanjaro na arusha zilivyo kusini mwa nairobi
 
Tunaomba ratiba ya M4C kwa nchi nzima. tunahitaji kadi na bendera za cdm. Kama kuchapisha kadi ni gharama, semeni tuchangie.
 
nape anasema tangu miaka ya 90 wanachama walikua wanahama kwahyo hamna jipya.huyu jamaa atakuja kupata aibu kubwa huyu,hata hawez kuona mbali,think wide gamba ww!
 
Back
Top Bottom