Katika hali inayoonyesha kampeni ya M4C mikoa ya kusini imevunja rekodi wananchi mbalimbali hususan vijana wamekuwa wakigombea kadi za CDM na wengine kuzisaka sehemu mbalimbali mjini Mtwara.
Hali hiyo imeanza kujidhihirisha tangu juzi siku moja baada ya viongozi wakuu wa CDM kutoa hotuba kali katika mkutano uliovunja rekodi ya kisiasa mkoani Mtwara katika viwanja vya Mashujaa.
Mbali na maelfu ya watu waliochukua kadi za CDM siku hiyo lakini jana tu na juzi karibu kila kijana aliyeonekana mjini Mtwara alikuwa anaonyesha kadi ya CDM.Siku ya mkutano wa kwanza wanachama wa CCM waliorudisha kadi walikuwa 1500 CUF kadi 50 na NCCR kadi 53.Katika mkutano huo wananchi walikichangia chama hicho shilingi milioni 1.5 kusaidia kuendeleza vuguvugu la mabadiliko.
SOURCE:MTANZANIA UK 8
Hali hiyo imeanza kujidhihirisha tangu juzi siku moja baada ya viongozi wakuu wa CDM kutoa hotuba kali katika mkutano uliovunja rekodi ya kisiasa mkoani Mtwara katika viwanja vya Mashujaa.
Mbali na maelfu ya watu waliochukua kadi za CDM siku hiyo lakini jana tu na juzi karibu kila kijana aliyeonekana mjini Mtwara alikuwa anaonyesha kadi ya CDM.Siku ya mkutano wa kwanza wanachama wa CCM waliorudisha kadi walikuwa 1500 CUF kadi 50 na NCCR kadi 53.Katika mkutano huo wananchi walikichangia chama hicho shilingi milioni 1.5 kusaidia kuendeleza vuguvugu la mabadiliko.
SOURCE:MTANZANIA UK 8