Mimi kadi yangu ipo nimeiweka tuu! siilipi ada niwalipe MAFISADI!
Libaba umeongea point, ila hatujakichoka chama chetu cha mapinduzi na kukihama kwa sasa si muhali, maana bado ccm ni tegemeo pekee na tumaini la kweli kwa mamilioni ya watanzania. Sema tu haka kaupepo kabaya ambako kanakolezwa na uongozi mbovu wa ngazi za juu aidha kwa makusudi kabisa au kwa kiburi na kujikweza, ndio tumefika njia panda kiasi cha kujiuliza sisi kama wanachama wa kawaida kabisa wa ccm tufanye nini na kadi zetu? Tufanye mapinduzi ndani ya chama kumng'oa JK na sekretarieti yake au tubadili katiba ya ccm ili mwenyekiti wa chama taifa kamwe asiwe na kofia mbili, yaani akiukwaa tu urais wa jamhuri automatically unaitishwa uchaguzi kumpata mwenyekiti mpya! Tuchangie hoja wanaccm na wananchi wote kwa mustakabali wa maendeleo ya taifa letu.
Tuko maelfu kwa maelfu wanachama hai kabisa wa chama cha mapinduzi, lakini tumechoshwa kabisa jinsi chama kinavyozidi kutumbukia shimoni kila kukicha, tufanyeje? Na hizi kadi zetu tumeshazilipia hadi Dec.2011, tuzifanye nini? JK uenyekiti umemshinda, na Msekwa umri umesonga, Makamba ndio ucseme, naona tupangue sekretarieti nzima tuanze tena moja kama mwaka 1977, au wana ccm wenzangu mnasemaje? Tukidharau mwiba, guu litaota tende na wananchi wanazidi kuteseka. Viva ccm viva, ila ufisadi ni kansa na dawa ya kuutokomeza tunayo sisi wananchi!
the word in italics sounds crazy!
Tuko maelfu kwa maelfu wanachama hai kabisa wa chama cha mapinduzi, lakini tumechoshwa kabisa jinsi chama kinavyozidi kutumbukia shimoni kila kukicha, tufanyeje? Na hizi kadi zetu tumeshazilipia hadi Dec.2011, tuzifanye nini? JK uenyekiti umemshinda, na Msekwa umri umesonga, Makamba ndio ucseme, naona tupangue sekretarieti nzima tuanze tena moja kama mwaka 1977, au wana ccm wenzangu mnasemaje? Tukidharau mwiba, guu litaota tende na wananchi wanazidi kuteseka. Viva ccm viva, ila ufisadi ni kansa na dawa ya kuutokomeza tunayo sisi wananchi!
Kadi yako baki nayo we mwenyewe si uliinunua kwa mapenzi yako..,Baki bayo tuu ila utubu kuwa utakuwa mtu mwema..!Tuko maelfu kwa maelfu wanachama hai kabisa wa chama cha mapinduzi, lakini tumechoshwa kabisa jinsi chama kinavyozidi kutumbukia shimoni kila kukicha, tufanyeje? Na hizi kadi zetu tumeshazilipia hadi Dec.2011, tuzifanye nini? JK uenyekiti umemshinda, na Msekwa umri umesonga, Makamba ndio ucseme, naona tupangue sekretarieti nzima tuanze tena moja kama mwaka 1977, au wana ccm wenzangu mnasemaje? Tukidharau mwiba, guu litaota tende na wananchi wanazidi kuteseka. Viva ccm viva, ila ufisadi ni kansa na dawa ya kuutokomeza tunayo sisi wananchi!
Tuko maelfu kwa maelfu wanachama hai kabisa wa chama cha mapinduzi, lakini tumechoshwa kabisa jinsi chama kinavyozidi kutumbukia shimoni kila kukicha, tufanyeje? Na hizi kadi zetu tumeshazilipia hadi Dec.2011, tuzifanye nini? JK uenyekiti umemshinda, na Msekwa umri umesonga, Makamba ndio ucseme, naona tupangue sekretarieti nzima tuanze tena moja kama mwaka 1977, au wana ccm wenzangu mnasemaje? Tukidharau mwiba, guu litaota tende na wananchi wanazidi kuteseka. Viva ccm viva, ila ufisadi ni kansa na dawa ya kuutokomeza tunayo sisi wananchi!
You're right, nabaki nayo!Kadi yako baki nayo we mwenyewe si uliinunua kwa mapenzi yako..,Baki bayo tuu ila utubu kuwa utakuwa mtu mwema..!
mpambanaji, wewe ni mpambanaji kwelikweli, na nimeupenda sana ushauri wako. Kibwagizo; Chama chetu cha Mapinduzi chajenga nchi x2, Nyerere, aaaah! Kawawa wajenga nchi. Karume, aaaaah! Sokoine, wajenga nchi. Bahati mbaya saaana wana-CCM wa ukweli tumebaki wapweke, maana viongozi wetu wote ni marehemu...kondoo wametawanyika, wamebaki bila mchungaji .... CCM yajenga nchi, Nyerere aaaah, Karume wajenga nchiiii! My take: Nchi haijengwi na marehemu!hiyo ni hazina kubwa. hakuna chama chenye nia ya kweli ya kumkomboa mtanzania kama CCM. Itunze kadi yako na hakikisha unaitumia kushauri mazuri ya kufuata na kutekeleza. mara zote lipia kwa vipindi vya miaka 4, kwani 4800 ni sawa na bia 3 tu za dakika 40 lakini unakuwa hai kwa miaka 4