Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
Halli inatisha wala huyu si dicteta ni.......Nilikuwa namtetea sana magufuli kwa sasa nimebadili uamuzi sitaki tena huwezi kuruhusu hadi mkuu wa mkoa adharirishe watu kiasi hiki tena anashindwa hata kumkemea, nchi inaendeshwa kibabe sasa hatutaki ngoja 2020 tutaonana kwenye sanduku