Kadhia ya Mahakama ya Kadhi

Kadhia ya Mahakama ya Kadhi

natumbaku Chambeho

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2014
Posts
551
Reaction score
209
Hii ni maada inayoendelea hapo channel ten. Mimi naomba mnisaidie hapa,je mahakama hii nguvu zake za kisheria zinatoka kwa nani? Mungu au serikali ya mwanadamu? Maana ninavyo jua mimi katiba ni sheria za mwanadamu. Sasa kwa nini sheria ya Mungu ihitaji kupewa nguvu na sheria ya mwanadamu. Au ni seme hivi kwanini mwanadamu kumtii Mungu wake anaye muamini anahitaji sheria ya mwanadamu kumshurutisha?
 
"Kadhi" sucks
i doubt ISiS at work.
 
Hii ni maada inayoendelea hapo channel ten. Mimi naomba mnisaidie hapa,je mahakama hii nguvu zake za kisheria zinatoka kwa nani? Mungu au serikali ya mwanadamu? Maana ninavyo jua mimi katiba ni sheria za mwanadamu. Sasa kwa nini sheria ya Mungu ihitaji kupewa nguvu na sheria ya mwanadamu. Au ni seme hivi kwanini mwanadamu kumtii Mungu wake anaye muamini anahitaji sheria ya mwanadamu kumshurutisha?
Mbona makanisa mwaandikisha serekalini,kwa nini msiyaendeshe bila kuyaandikisha serekalini.
 
Hii ni maada inayoendelea hapo channel ten. Mimi naomba mnisaidie hapa,je mahakama hii nguvu zake za kisheria zinatoka kwa nani? Mungu au serikali ya mwanadamu? Maana ninavyo jua mimi katiba ni sheria za mwanadamu. Sasa kwa nini sheria ya Mungu ihitaji kupewa nguvu na sheria ya mwanadamu. Au ni seme hivi kwanini mwanadamu kumtii Mungu wake anaye muamini anahitaji sheria ya mwanadamu kumshurutisha?
Now you know that their deity is not akbar
 
Mbona makanisa mwaandikisha serekalini,kwa nini msiyaendeshe bila kuyaandikisha serekalini.
hizi taasisi zote na asasi za kiraia NGOs zinatakiwa zisajiliwe:iwe mashule, vyuo vikuu, makanisa misikiti n.k. ili zifanye mambo kwa mujibu wa kanuni za nchi na kwa Ustawi wa jamii. Ndio lengo la kuzisajili.Ni kama vile bidhaa yenye TBS, kupitia kuzisajili kuna wapa manufaa fulani kama ruzuku, uhakika wa kukopa n.k.

Nikitoa mfano: Serikali yetu haiwezi kusajili kikundi chenye jina la "Muslim brotherhood", hata serikali ya Saudiarabia ama ya Egypt, haiwezi kusajili chama kama hiki kwani ni chama cha kigaidi.Hili swala nchi kama Qatar wameshaanza kugundua pia.

tUkirudi kwenye hoja ya kadhi: haiwezi kujijengea hoja binafsi na ikafanikiwa:Ila kwasababu ni hoja inayogusa jamii kubwa wanaichukulia kama ni jambo la kuzungumuza. Ni kama wale wa-adzabe waliosema ili waisikilize serikali, inabidi wachinjiwe Nyama Ya Punda wale .mwishowe serikali iliwachinjia.Ili tu kujenga maelewano.

kimsingi hii hoja haina mashiko kwa nchi ya kisecular kama Tanzania yenye lengo la kujenga umoja wa kitaifa.Nchi zote duniani zimekuwa ziki-attempt kutenganisha serikali na dini kuepusha ukiukwaji wa haki za binadamu. Ni changamoto sana kusimamia haki za binadamu kupitia mifumo ya kidini. pia sheria hii inaweza kudhohofisha ukuaji wa ukristo na demokrasia pia kuleta migogoro mikubwa kwenye jamii. nadhani Kikwajuni One unatakiwa uliangalie hili kwakina ikiwemo dhamira ya waleta hoja hizi jinsi walivyo. Usipumbazwe na changamoto za utandawazi kwenye mataifa ya arabuni. Uislamu ni serikali tosha.

vivyohivyo ukristo. sasa kama tunatofauti za kiitikadi inabidi tutenganishe dini na serikali hasa katika kuingiza mambo ya kidini ambayo wangeweza kuyasiimamia wenyewe kwenye dini zao. wakristo wa Ulaya walifanya hivyo kwenye mwaka wa 500 na imewasaidia kupiga hatua kubwa kidemokrasia na kimaendeleo.Ni swala la hekima zaidi.
 
Last edited by a moderator:
hizi taasisi zote na asasi za kiraia NGOs zinatakiwa zisajiliwe:iwe mashule, vyuo vikuu, makanisa misikiti n.k. ili zifanye mambo kwa mujibu wa kanuni za nchi na kwa Ustawi wa jamii. Ndio lengo la kuzisajili.Ni kama vile bidhaa yenye TBS, kupitia kuzisajili kuna wapa manufaa fulani kama ruzuku, uhakika wa kukopa n.k.

Nikitoa mfano: Serikali yetu haiwezi kusajili kikundi chenye jina la "Muslim brotherhood", hata serikali ya Saudiarabia ama ya Egypt, haiwezi kusajili chama kama hiki kwani ni chama cha kigaidi.Hili swala nchi kama Qatar wameshaanza kugundua pia.

tUkirudi kwenye hoja ya kadhi: haiwezi kujijengea hoja binafsi na ikafanikiwa:Ila kwasababu ni hoja inayogusa jamii kubwa wanaichukulia kama ni jambo la kuzungumuza. Ni kama wale wa-adzabe waliosema ili waisikilize serikali, inabidi wachinjiwe Nyama Ya Punda wale .mwishowe serikali iliwachinjia.Ili tu kujenga maelewano.

kimsingi hii hoja haina mashiko kwa nchi ya kisecular kama Tanzania yenye lengo la kujenga umoja wa kitaifa.Nchi zote duniani zimekuwa ziki-attempt kutenganisha serikali na dini kuepusha ukiukwaji wa haki za binadamu. Ni changamoto sana kusimamia haki za binadamu kupitia mifumo ya kidini. pia sheria hii inaweza kudhohofisha ukuaji wa ukristo na demokrasia pia kuleta migogoro mikubwa kwenye jamii. nadhani Kikwajuni One unatakiwa uliangalie hili kwakina ikiwemo dhamira ya waleta hoja hizi jinsi walivyo. Usipumbazwe na changamoto za utandawazi kwenye mataifa ya arabuni. Uislamu ni serikali tosha.

vivyohivyo ukristo. sasa kama tunatofauti za kiitikadi inabidi tutenganishe dini na serikali hasa katika kuingiza mambo ya kidini ambayo wangeweza kuyasiimamia wenyewe kwenye dini zao. wakristo wa Ulaya walifanya hivyo kwenye mwaka wa 500 na imewasaidia kupiga hatua kubwa kidemokrasia na kimaendeleo.Ni swala la hekima zaidi.
Dini maana yake ni mfumo wa maisha,njia yoyote utakayofuata ndio dini yako.Kuandikisha kitu serekalini ni muhimu,na umuhimu wake,utakachofanya chochote,kitakuwa kiko mikononi salama,na kitasimamiwa kisheria zaidi.
 
Last edited by a moderator:
kinawauma nini waislamu kupata mahakama ya kadhi mbona mapovu yanawatoka acheni chuki nyie wakristu wa tz
 
Waislamu wana mpuuza Mungu wao ndio maana wanaitaji Masada wa nguvu ya Dola kuwa hukumu
 
Hiyo ni dini ya kiislam ambayo haina nguvu ya Mungu na siku zote watu hulazimishwa kutii mafundisho yao ambayo ni ya kibinadamu tu yametungwa tungwa kwa utashi wa watu ili kujihami kijamii, kiuchumi na kijeshi. Ni phenomena iliyotungwa na kundi liililokosa mwelekeo wa maisha ili kjijpa nguvu ya kusurvive.

Kwa sababu ni kundi lisilo na Mungu, halina nguvu ya Mungu, ni lazima watumie binadamu wenye nguvu, kuwalazimisha watu kutii hizo taratibu walizojiwekea.

Hakuna Mungu kwenye uislam, ndiyo maana wanaenezaga dini yao kwa mapanga, lazima na hila. hakuna ukwlei. Kama mahakama ya kadhi ingekuwa ni neno la mungu wanaloliamini waislam, wasingekuwa na haja ya kulazimisha serikali iwalazimishe watu waitii. kwani serikli inawalazimisha watu kwenda misikitini? mbona wakati wa kubadili ratiba za milo, kwamba mwezi wa ramadhani wanakula usiku kucha badala ya mchana, seriakli hailazimishi? si ni kwa sababu ndicho kipindi wanapika chakula kinono na wanakesha wakila!.

hii mahakama y akadhi inatakiwa na waislam wakiume madhurumat ili wahalalishe kuwanyima haki za mirathi wake zao wanaooa kama uyoga na kila kukicha. wanaona wanapata hasara ya kugawana mali na wake zao na kwa kuogopa hilio wanalazimika kukaa na wake zao na kuogopa kutalilik taliki kwa sababu talaka hizo nyingi, zinawaacha masikini kwa sheria zilizopo.!.

Ushauri wangu, kama wanaona mali ni tatizo, wasilazimishe serikali ilinde ufirauni huo. badala yake, wanaweza kuanzisha bima za ndoa. walipe premium, ili ndoa zikivunjika, gharama zile kampuni za bima zilipe. hamtasikia tena mambo ya kadhi wala nini.


Hii ni maada inayoendelea hapo channel ten. Mimi naomba mnisaidie hapa,je mahakama hii nguvu zake za kisheria zinatoka kwa nani? Mungu au serikali ya mwanadamu? Maana ninavyo jua mimi katiba ni sheria za mwanadamu. Sasa kwa nini sheria ya Mungu ihitaji kupewa nguvu na sheria ya mwanadamu. Au ni seme hivi kwanini mwanadamu kumtii Mungu wake anaye muamini anahitaji sheria ya mwanadamu kumshurutisha?
 
Dini maana yake ni mfumo wa maisha,njia yoyote utakayofuata ndio dini yako.Kuandikisha kitu serekalini ni muhimu,na umuhimu wake,utakachofanya chochote,kitakuwa kiko mikononi salama,na kitasimamiwa kisheria zaidi.
hii difinition ni kwa mujibu wa nani?
ni juavyo kwa jenero noleji: dini ni mahusiano kati ya mtu na mungu wake. Ajabu kuona mahusiano ya mungu wako unaya-tress path kwa mungu mwingine mwenye utaratibu tofauti na mungu wako. Huoni huu ni ukiukwaji wa Katiba ya uhuru wa miungu=kuingilia ibada za wengine?
kwa kodi ya nani itumike kusimamia sheria zenu ?


penye red: huoni hii sasa hoja ni changamoto kwamba Uislamu hauna Usalama na hauwezi kusimamia sheria zake wenyewe kama serikali inavyofanya.?
 
kumbe humu jf kuna wapuuzi. usilolijua ni sawa na usiku wa kiza. mnauficha ukweli ipo siku utadhihiri wenyewe. kwenye tatizo tatua tatizo ukificha tatizo yatakukuta madhara. mahakama ya kazi unavozani ww au tafasiri yako sivo hivo soma ujue kama hujui uliza. mtu halazimishwi kuingia kwenye dini nyingine usikashifu. Mahakama ni haki kwa waislamu sio wakristo na ni haki kwenye ardhi ya tz. usikurupuke hata wakikataa lkn ukweli utadhihiri.
 
:angry:Kazi kweli kweli mahakama ya kadhi waislamu wanaitaka huku wakristo wanaipinga, hizi dini hizi nadhani zitatupeleka pabaya.:angry:
 
Mtu anayedai mahakama ina maana anajiandaa kufanya uhalifu?!
 
Back
Top Bottom