Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,331
Mume wa mwenyekiti wa kitongoji cha Kapela CHADEMA Kata ya Igulwa Wilaya ya Bukombe Ndugu Bundala amechinjwa jana wakati wa kusherehekea ushindi wa mke wake muda wa saa mbili usiku tarehe 15/12/2014 Ushirombo Mjini.
Bi Lucia (CHADEMA) alishinda kitongoji hicho Juzi kwa Kura 435 dhidi ya 220 za Benedict (CCM) aliyekuwa mgombea wa CCM Bw Benedict amekuwa akiongoza Kitongoji hiki kwa miaka 25 mpaka juzi alipobwagwa na Bi Lucia wa CHADEMA.
CCM anahusishwa kwa kiasi kikubwa na mauaji hayo.
Taarifa zaidi zitafuata.
Bi Lucia (CHADEMA) alishinda kitongoji hicho Juzi kwa Kura 435 dhidi ya 220 za Benedict (CCM) aliyekuwa mgombea wa CCM Bw Benedict amekuwa akiongoza Kitongoji hiki kwa miaka 25 mpaka juzi alipobwagwa na Bi Lucia wa CHADEMA.
CCM anahusishwa kwa kiasi kikubwa na mauaji hayo.
Taarifa zaidi zitafuata.