Kada wa CHADEMA achinjwa akisherehekea ushindi

Kada wa CHADEMA achinjwa akisherehekea ushindi

Weka picha
Kiongozi mkubwa kama wewe unakuja na sweeping analysis bila ushahidi.
Mtoi njmekudharau sana.

Akiweka picha ndio bandiko linakuwa na evidence based analysis and conclusion??!!
Au mko kundi moja hilo la hapo kwenye mstari wako wa mwisho!!???
 
Kwa nini CCM ni wanyama kiasi hiki? Hakuna uchaguzi hata mmoja ambao viongozi au wapenzi wa CHADEMA walikosa kuuawa. Hivi CCM wanadhani CHADEMA ikiamua kulipiza kisasi watasalimika? CCM itambue kuwa CHADEMA/vyama vya upinzani vimejengwa na vijana wenye nguvu kuliko CCM inayotegemea vikongwe na watu wenye upeo mdogo.

Kikwete unafanya nini? Unapanda mbegu gani? Kama umeshindwa aheri uondoke ukiwa umeiacha nchi ikiwa katika hali tulivu. Uongozi huu wa Kikwete tumeshuhudia matukio mengi ya mauuaji yanayohusiana na mambo ya kisiasa kuliko awamu yoyote ile!
 
Mbumbumbumbu Wa bavicha unashabikia taarifa ambayo haina ushahidi Wa kutosha.

Mlichinja msafiri mbwambo kule Arumeru, mkaua Mbwana Masudi Igunga, mkaua Ally Zona Morogoro, mkaua Soweto, mkaua Arusha mjini, mkaua Bukombe na kote huko ushahidi niwa wazi na hakuna hatua zozote zilizo chukuliwa.
 
Mlichinja msafiri mbwambo kule Arumeru, mkaua Mbwana Masudi Igunga, mkaua Ally Zona Morogoro, mkaua Soweto, mkaua Arusha mjini, mkaua Bukombe na kote huko ushahidi niwa wazi na hakuna hatua zozote zilizo chukuliwa.

Mkuu hapa itabidi kitengo cha sheria CDM/UKAWA wajipange vizuri ili awepo/wawepo wanasheria wa kufuatilia haya matukio mabaya. Na ikiwezekana wapewe nafasi ya kuyawakilsha ktk NGOS zinazoshughulikia haki za binadamu. Kama CDM wakikaa kimya kuna uweezkano mkubwa watu kuanza kukata tamaa kwani wanategemea kupata misaada ya karibu sana toka kwao!!! Hii ni muhimu sana na nina imani Dr wa watu analijua!!
 
Iko siku moja hizi itikadi za kisiasa tutazifanya kuwa imani zetu, na hapo ndio tutashuhudia makubwa na ya ajabu kutoka kwa watanzania.

huna lolote wewe mfia siasa ni wewe peke yako labda na familia yako ndio mnaweza kuwa na hizo fikira ..FARA wewe
 
R.I.P Mwanamageuzi Bundala... Wewe Umetangulia lakini wao watafuata kwa kifo cha aibu...
 
huyo mtoi chekibob tu si unaona anavouza ati ndio mpiganaji na viroli vyake vya kichina full kutafuta udaimond .nenda kaimbe kijana siasa hazikufai.
 
pamoja na tofauti ze2 za vyama tusisahau sisi bado watanzania jamani! sisi ni ndugu!

Wewe ndo unalijua hilo.. wenye madaraka nchi hii hawalijui kbs ndo mana wanakomba kila cent inayokatiza mbele yao bila kuwapa wananchi huduma muhmu.. 53yrs ya uhuru wa2 htuna maji.. na ukionekana kikwazo wanakuua km wanaua nyoka BILA HURUMA
 
Watanzania dumisheni amani..huku Kenya tunaitamani sana, kumbukeni ikishatoweka kuirudisha ni gharama
 
Weka picha

Kiongozi mkubwa kama wewe unakuja na sweeping analysis bila ushahidi.

Mtoi njmekudharau sana.
Unaweza kuonyesha hizo sweeping analysis?
Hivi kusema mtu amechijwa ni sweeping analysis?

Hii nchi inashida kubwa. Lowasa ametengeneza bomu kwa hizi shule na vyuo vya kata.
 
siku mtu anaamka tumbo lina muuma atasema kaz ya CCM

Yes! Tuwe waangalifu! Binadamu tuna mambo mengi. Hata wabaya tulionao katika maisha yet wanaweza kutumia matukio kama ya uchaguzi kutimiza adhma yao. RIP Combatant!
 
Kwa nini CCM ni wanyama kiasi hiki? Hakuna uchaguzi hata mmoja ambao viongozi au wapenzi wa CHADEMA walikosa kuuawa. Hivi CCM wanadhani CHADEMA ikiamua kulipiza kisasi watasalimika? CCM itambue kuwa CHADEMA/vyama vya upinzani vimejengwa na vijana wenye nguvu kuliko CCM inayotegemea vikongwe na watu wenye upeo mdogo.

Kikwete unafanya nini? Unapanda mbegu gani? Kama umeshindwa aheri uondoke ukiwa umeiacha nchi ikiwa katika hali tulivu. Uongozi huu wa Kikwete tumeshuhudia matukio mengi ya mauuaji yanayohusiana na mambo ya kisiasa kuliko awamu yoyote ile!

Hata kama unachuki na kikwete jaribu kuzificha hivi unakumbuka wakati wa Mkapa hususan Pemba january 26 na 27 unajua walikufa watu wangapi kule kwa kupigwa risasi kwa mambo ya siasa na kuhusu kifo kiloelezwa hapa hakina ushahidi kama kilitokana na mambo ya kisiasa.
 
Back
Top Bottom