Kada wa CCM Arusha atangaza kumvaa Lema

Kada wa CCM Arusha atangaza kumvaa Lema

Kuna mwingine wa cuf anataka ubunge na udiwani.
 
Joto la ubunge katika jimbo la Arusha mjini limezidi kupanda mara baada ya Kada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) mkoani Arusha,Kim Fute kutangaza rasmi kuwania ubunge katika jimbo hilo endapo akipewa ridhaa na chama chake kugombea.

Kim,amejitokeza kutangaza azma hiyo ikiwa ni siku chache baada ya makada wengine wa CCM ambao ni Phillemon Mollel,Victor Njau,Thomas Munisi,Deo Mtui,Godfrey Mwalusamba kutangaza nia ya kuwania jimbo hilo linashikiliwa na mbunge wake,Godbless Lema ambaye tayari ametangaza kugombea tena.

Akizungumza na gazeti hili jijini hapa,Fute alisema kuwa amesukumwa na dhamira ya kuwania ubunge katika jimbo hilo mara baada ya kutathmini na kubaini ya kwamba jimbo hilo linakabiliwa na tatizo la ombwe la uongozi.

Alisema kwamba amejipima vya kutosha na kubaini ya kwamba ana sifa za kutosha za kuwawakilishi wakazi wa jimbo la Arusha mjini ambao alidai kwa muda mrefu wamekuwa wakikosa viongozi bora wa kuwawakilisha.

Kada huyo alisisitiza kwamba miongoni mwa mambo ambayo atakwenda kuyafanyia kazi pindi akifanikiwa kuwa mwakilishi wa jimbo hilo ni pamoja na kushughulikia suala la usalama wa mji wa Arusha ambalo alidai tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 mji huo umeandamwa na matukio mbalimbali kama maandamano,vurugu na mambomu.

Alisema kuwa mji wa Arusha ni mji wa kimataifa na pia una fursa nyingi kama kitovu cha utalii hapa nchini na duniani hivyo atajikita kuhakikisha anasimamia hali ya kurejea kwa usalama ili biashara hiyo iweze kufanyika kwa uwepesi kwa kuwa inachangia pato kubwa la taifa.

“Arusha ni mji wa kimataifa na una fursa nyingi kama biashara ya utalii ambayo inachangia pato kubwa la taifa lakini usalama ni hafifu na unaharibu kwa kiasi kikubwa hivyo nitajikita kuhakikisha hali ya usalama inarejea”alisema Kim

Hatahivyo,alibainisha kwamba mbali na usalama pia atahakikisha anakutana na makundi mbalimbali ya viongozi wa dini zote,waandishi wa habari pamoja na wadau wa maendeleo jijini hapa ili kuangalia namna ya kuuweka mji wa Arusha katika hali ya utulivu.

“Tunahitaji mtu sahihi wa kuunganisha siasa na uchumi mzuri, endapo nikifanikiwa kuwa mwakilishi nitahakikisha ninakutana na makundi mbalimbali ili kujadili kwa kina changamoto zetu na kubadili fikra na mtazamo kwa wakazi wa Arusha”alisisitiza Fute

Mwisho.
CCM hakuna cha ridhaa ya chama,ridhaa ni pesa yako.
 
joto la ubunge katika jimbo la arusha mjini limezidi kupanda mara baada ya kada wa chama cha mapinduzi(ccm) mkoani arusha,kim fute kutangaza rasmi kuwania ubunge katika jimbo hilo endapo akipewa ridhaa na chama chake kugombea.

Kim,amejitokeza kutangaza azma hiyo ikiwa ni siku chache baada ya makada wengine wa ccm ambao ni phillemon mollel,victor njau,thomas munisi,deo mtui,godfrey mwalusamba kutangaza nia ya kuwania jimbo hilo linashikiliwa na mbunge wake,godbless lema ambaye tayari ametangaza kugombea tena.

Akizungumza na gazeti hili jijini hapa,fute alisema kuwa amesukumwa na dhamira ya kuwania ubunge katika jimbo hilo mara baada ya kutathmini na kubaini ya kwamba jimbo hilo linakabiliwa na tatizo la ombwe la uongozi.

Alisema kwamba amejipima vya kutosha na kubaini ya kwamba ana sifa za kutosha za kuwawakilishi wakazi wa jimbo la arusha mjini ambao alidai kwa muda mrefu wamekuwa wakikosa viongozi bora wa kuwawakilisha.

Kada huyo alisisitiza kwamba miongoni mwa mambo ambayo atakwenda kuyafanyia kazi pindi akifanikiwa kuwa mwakilishi wa jimbo hilo ni pamoja na kushughulikia suala la usalama wa mji wa arusha ambalo alidai tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 mji huo umeandamwa na matukio mbalimbali kama maandamano,vurugu na mambomu.

Alisema kuwa mji wa arusha ni mji wa kimataifa na pia una fursa nyingi kama kitovu cha utalii hapa nchini na duniani hivyo atajikita kuhakikisha anasimamia hali ya kurejea kwa usalama ili biashara hiyo iweze kufanyika kwa uwepesi kwa kuwa inachangia pato kubwa la taifa.

“arusha ni mji wa kimataifa na una fursa nyingi kama biashara ya utalii ambayo inachangia pato kubwa la taifa lakini usalama ni hafifu na unaharibu kwa kiasi kikubwa hivyo nitajikita kuhakikisha hali ya usalama inarejea”alisema kim

hatahivyo,alibainisha kwamba mbali na usalama pia atahakikisha anakutana na makundi mbalimbali ya viongozi wa dini zote,waandishi wa habari pamoja na wadau wa maendeleo jijini hapa ili kuangalia namna ya kuuweka mji wa arusha katika hali ya utulivu.

“tunahitaji mtu sahihi wa kuunganisha siasa na uchumi mzuri, endapo nikifanikiwa kuwa mwakilishi nitahakikisha ninakutana na makundi mbalimbali ili kujadili kwa kina changamoto zetu na kubadili fikra na mtazamo kwa wakazi wa arusha”alisisitiza fute

mwisho.


mimi ni ccm,ila penye ukweli lazima kuongea jimbo la arusha mjini ni ndoto,cdm wana madiwani karibu wote,serikali za mitaa wameshinda vizuri sana,sasa nyie mnachotafuta ni umaarufu wa aina gani,gody najua unataka kufuata nyayo za best yako,ila arusha ni tofauti na chalinze shehe
 
Joto la ubunge katika jimbo la Arusha mjini limezidi kupanda mara baada ya Kada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) mkoani Arusha,Kim Fute kutangaza rasmi kuwania ubunge katika jimbo hilo endapo akipewa ridhaa na chama chake kugombea.

Kim,amejitokeza kutangaza azma hiyo ikiwa ni siku chache baada ya makada wengine wa CCM ambao ni Phillemon Mollel,Victor Njau,Thomas Munisi,Deo Mtui,Godfrey Mwalusamba kutangaza nia ya kuwania jimbo hilo linashikiliwa na mbunge wake,Godbless Lema ambaye tayari ametangaza kugombea tena.

Akizungumza na gazeti hili jijini hapa,Fute alisema kuwa amesukumwa na dhamira ya kuwania ubunge katika jimbo hilo mara baada ya kutathmini na kubaini ya kwamba jimbo hilo linakabiliwa na tatizo la ombwe la uongozi.

Alisema kwamba amejipima vya kutosha na kubaini ya kwamba ana sifa za kutosha za kuwawakilishi wakazi wa jimbo la Arusha mjini ambao alidai kwa muda mrefu wamekuwa wakikosa viongozi bora wa kuwawakilisha.

Kada huyo alisisitiza kwamba miongoni mwa mambo ambayo atakwenda kuyafanyia kazi pindi akifanikiwa kuwa mwakilishi wa jimbo hilo ni pamoja na kushughulikia suala la usalama wa mji wa Arusha ambalo alidai tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 mji huo umeandamwa na matukio mbalimbali kama maandamano,vurugu na mambomu.

Alisema kuwa mji wa Arusha ni mji wa kimataifa na pia una fursa nyingi kama kitovu cha utalii hapa nchini na duniani hivyo atajikita kuhakikisha anasimamia hali ya kurejea kwa usalama ili biashara hiyo iweze kufanyika kwa uwepesi kwa kuwa inachangia pato kubwa la taifa.

“Arusha ni mji wa kimataifa na una fursa nyingi kama biashara ya utalii ambayo inachangia pato kubwa la taifa lakini usalama ni hafifu na unaharibu kwa kiasi kikubwa hivyo nitajikita kuhakikisha hali ya usalama inarejea”alisema Kim

Hatahivyo,alibainisha kwamba mbali na usalama pia atahakikisha anakutana na makundi mbalimbali ya viongozi wa dini zote,waandishi wa habari pamoja na wadau wa maendeleo jijini hapa ili kuangalia namna ya kuuweka mji wa Arusha katika hali ya utulivu.

“Tunahitaji mtu sahihi wa kuunganisha siasa na uchumi mzuri, endapo nikifanikiwa kuwa mwakilishi nitahakikisha ninakutana na makundi mbalimbali ili kujadili kwa kina changamoto zetu na kubadili fikra na mtazamo kwa wakazi wa Arusha”alisisitiza Fute

Mwisho.
Ithanga ni mkhota,ejuta ejutya hakwe!
 
Huyu ni yule aliyekua na tuhuma za wizi wa simu pale house of wine na mcheza maigizo ITV. Nyumba yake ilimshinda alivyokuwa Dar akaolewa na Vailet na wakashindwana je ubunge ataweza?
 
LEMA anapingwa kila kona!

Ukitaka kujua Lema hapigwi, ni kujiuliza mbona waliotangaza nia wengi ni wa CCM? Hapo ccm mnapigana wenyewe kwa kuwa kila kabila hapo linataka mgomea wake ndio apitishwe na chama, hakika watakaotoswa WATAMPIGA MWENZAO aliepitishwa na chama tatizo lenu walafi wa madaraka mnapigana wenyewe kwa wenyewe na jimbo haliwezi rudi ccm tangu mfumo wa vyama vyingi uingie nchini ccm haijawahi shinda Arusha, na haitashinda tena.
 
Haaa haaa duh MUSSA ALLAN huyu Fute sidhani kama CCM ni wajinga kiasi hicho jamaa ni mjanja mjanja wa mjini kwanza aliingia katika tasnia ya filamu akashindwa kufurukuta kutokana ubishororo sasa yupo kwenye utalii na kikampuni cha kisanii saniii hana lolote bora ungeniambia Mollel wa Monaban anaweza kusumbua kutokana na ukwasi alionao lakini akiingiza ukabila kitamtokea kama kilichomtokea Ole Saibul.

Halafu jana nilikuwa kwa Kiwory natangaza nia ya kugombea ubunge kupitia ACT Wazalendo nadhani nitaleta ushindani wa ukweli.

LEMA anapingwa kila kona!
 
Last edited by a moderator:
Haaa haaa duh MUSSA ALLAN huyu Fute sidhani kama CCM ni wajinga kiasi hicho jamaa ni mjanja mjanja wa mjini kwanza aliingia katika tasnia ya filamu akashindwa kufurukuta kutokana ubishororo sasa yupo kwenye utalii na kikampuni cha kisanii saniii hana lolote bora ungeniambia Mollel wa Monaban anaweza kusumbua kutokana na ukwasi alionao lakini akiingiza ukabila kitamtokea kama kilichomtokea Ole Saibul.

Halafu jana nilikuwa kwa Kiwory natangaza nia ya kugombea ubunge kupitia ACT Wazalendo nadhani nitaleta ushindani wa ukweli.
Kwani hata hiyo kampuni ni yake? tuulizeni sisi tunayemjua!
 
Joto la ubunge katika jimbo la Arusha mjini limezidi kupanda mara baada ya Kada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) mkoani Arusha,Kim Fute kutangaza rasmi kuwania ubunge katika jimbo hilo endapo akipewa ridhaa na chama chake kugombea.

Kim,amejitokeza kutangaza azma hiyo ikiwa ni siku chache baada ya makada wengine wa CCM ambao ni Phillemon Mollel,Victor Njau,Thomas Munisi,Deo Mtui,Godfrey Mwalusamba kutangaza nia ya kuwania jimbo hilo linashikiliwa na mbunge wake,Godbless Lema ambaye tayari ametangaza kugombea tena.

Akizungumza na gazeti hili jijini hapa,Fute alisema kuwa amesukumwa na dhamira ya kuwania ubunge katika jimbo hilo mara baada ya kutathmini na kubaini ya kwamba jimbo hilo linakabiliwa na tatizo la ombwe la uongozi.

Alisema kwamba amejipima vya kutosha na kubaini ya kwamba ana sifa za kutosha za kuwawakilishi wakazi wa jimbo la Arusha mjini ambao alidai kwa muda mrefu wamekuwa wakikosa viongozi bora wa kuwawakilisha.

Kada huyo alisisitiza kwamba miongoni mwa mambo ambayo atakwenda kuyafanyia kazi pindi akifanikiwa kuwa mwakilishi wa jimbo hilo ni pamoja na kushughulikia suala la usalama wa mji wa Arusha ambalo alidai tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 mji huo umeandamwa na matukio mbalimbali kama maandamano,vurugu na mambomu.

Alisema kuwa mji wa Arusha ni mji wa kimataifa na pia una fursa nyingi kama kitovu cha utalii hapa nchini na duniani hivyo atajikita kuhakikisha anasimamia hali ya kurejea kwa usalama ili biashara hiyo iweze kufanyika kwa uwepesi kwa kuwa inachangia pato kubwa la taifa.

“Arusha ni mji wa kimataifa na una fursa nyingi kama biashara ya utalii ambayo inachangia pato kubwa la taifa lakini usalama ni hafifu na unaharibu kwa kiasi kikubwa hivyo nitajikita kuhakikisha hali ya usalama inarejea”alisema Kim

Hatahivyo,alibainisha kwamba mbali na usalama pia atahakikisha anakutana na makundi mbalimbali ya viongozi wa dini zote,waandishi wa habari pamoja na wadau wa maendeleo jijini hapa ili kuangalia namna ya kuuweka mji wa Arusha katika hali ya utulivu.

“Tunahitaji mtu sahihi wa kuunganisha siasa na uchumi mzuri, endapo nikifanikiwa kuwa mwakilishi nitahakikisha ninakutana na makundi mbalimbali ili kujadili kwa kina changamoto zetu na kubadili fikra na mtazamo kwa wakazi wa Arusha”alisisitiza Fute

Mwisho.

Hivi huyu Kim FUTE si ni yule jamaa anamiliki VIOLA CAR HIRE au........Mmmmh! sasa Ubunge umekosa mwenyewe yaani jamaa ni mweupe hadi naogopa. Au mleta uzi unamsingizia. Huyu jamaa kwanza ni mwizi na mlanguzi wa hali ya juu. Mtoa Rushwa wa kutupwa and I can prove that......Fute utapoteza pesa zako, Usikubali Ushauri wa Mkeo najua ni kiongozi katika Wanawake wa CCM
 
Mwaka wa tabu huu kwa Lema

Sema mwaka huu ni mwaka wa kuisambaratisha ccm maana kuna wagombea 22 wa urais hivyo kupona kwa ccm ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
 
Tumwombe Lema asigombee asimamishe jiwe na hao mafisadi, wapambane nalo, litawapiga chini vibaya sana!!!!!!!
 
Joto la ubunge katika jimbo la Arusha mjini limezidi kupanda mara baada ya Kada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) mkoani Arusha,Kim Fute kutangaza rasmi kuwania ubunge katika jimbo hilo endapo akipewa ridhaa na chama chake kugombea.

Kim,amejitokeza kutangaza azma hiyo ikiwa ni siku chache baada ya makada wengine wa CCM ambao ni Phillemon Mollel,Victor Njau,Thomas Munisi,Deo Mtui,Godfrey Mwalusamba kutangaza nia ya kuwania jimbo hilo linashikiliwa na mbunge wake,Godbless Lema ambaye tayari ametangaza kugombea tena.

Akizungumza na gazeti hili jijini hapa,Fute alisema kuwa amesukumwa na dhamira ya kuwania ubunge katika jimbo hilo mara baada ya kutathmini na kubaini ya kwamba jimbo hilo linakabiliwa na tatizo la ombwe la uongozi.

Alisema kwamba amejipima vya kutosha na kubaini ya kwamba ana sifa za kutosha za kuwawakilishi wakazi wa jimbo la Arusha mjini ambao alidai kwa muda mrefu wamekuwa wakikosa viongozi bora wa kuwawakilisha.

Kada huyo alisisitiza kwamba miongoni mwa mambo ambayo atakwenda kuyafanyia kazi pindi akifanikiwa kuwa mwakilishi wa jimbo hilo ni pamoja na kushughulikia suala la usalama wa mji wa Arusha ambalo alidai tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 mji huo umeandamwa na matukio mbalimbali kama maandamano,vurugu na mambomu.

Alisema kuwa mji wa Arusha ni mji wa kimataifa na pia una fursa nyingi kama kitovu cha utalii hapa nchini na duniani hivyo atajikita kuhakikisha anasimamia hali ya kurejea kwa usalama ili biashara hiyo iweze kufanyika kwa uwepesi kwa kuwa inachangia pato kubwa la taifa.

“Arusha ni mji wa kimataifa na una fursa nyingi kama biashara ya utalii ambayo inachangia pato kubwa la taifa lakini usalama ni hafifu na unaharibu kwa kiasi kikubwa hivyo nitajikita kuhakikisha hali ya usalama inarejea”alisema Kim

Hatahivyo,alibainisha kwamba mbali na usalama pia atahakikisha anakutana na makundi mbalimbali ya viongozi wa dini zote,waandishi wa habari pamoja na wadau wa maendeleo jijini hapa ili kuangalia namna ya kuuweka mji wa Arusha katika hali ya utulivu.

“Tunahitaji mtu sahihi wa kuunganisha siasa na uchumi mzuri, endapo nikifanikiwa kuwa mwakilishi nitahakikisha ninakutana na makundi mbalimbali ili kujadili kwa kina changamoto zetu na kubadili fikra na mtazamo kwa wakazi wa Arusha”alisisitiza Fute

Mwisho.

Mkuu buswelu habari za home,vipi samaki bado wanapatikana buswelu sokoni?
 
Huyu ni yule aliyekua na tuhuma za wizi wa simu pale house of wine na mcheza maigizo ITV. Nyumba yake ilimshinda alivyokuwa Dar akaolewa na Vailet na wakashindwana je ubunge ataweza?


You know him better. Sijui ile Kesi iliishia wapi!!?
 
Anagombea Kupitia CCM au ACT??; He'll be wastage of his Time and Resources.
 
Back
Top Bottom