Kada wa CCM Arusha atangaza kumvaa Lema

Kada wa CCM Arusha atangaza kumvaa Lema

Haaa haaa duh MUSSA ALLAN huyu Fute sidhani kama CCM ni wajinga kiasi hicho jamaa ni mjanja mjanja wa mjini kwanza aliingia katika tasnia ya filamu akashindwa kufurukuta kutokana ubishororo sasa yupo kwenye utalii na kikampuni cha kisanii saniii hana lolote bora ungeniambia Mollel wa Monaban anaweza kusumbua kutokana na ukwasi alionao lakini akiingiza ukabila kitamtokea kama kilichomtokea Ole Saibul.

Halafu jana nilikuwa kwa Kiwory natangaza nia ya kugombea ubunge kupitia ACT Wazalendo nadhani nitaleta ushindani wa ukweli.

Mkuu kwanini uliamua kutangazia nia Bar? Au ulikuwa unafutwa kuungwa mkono na akina 'Kikwete' na 'Juma Kaburu?'?
 
Haaa haaa jamaa wananjaa sijapata kuona yaani wakikuona unaingia wanashangilia utadhani wamwera wameona mwenge hadi inakera aisee duh.

Mkuu kwanini uliamua kutangazia nia Bar? Au ulikuwa unafutwa kuungwa mkono na akina 'Kikwete' na 'Juma Kaburu?'?
 

Attachments

  • 1430223471007.jpg
    1430223471007.jpg
    8 KB · Views: 138
Hapa arusha ccm haichaguliki, waache kujichosha, hapa ni chadema tu hapa wakiweka jiwe tutalichagua kuliko ccm, hv ccm hawajajifunza ht uchaguzi wa serikali za mitaa na mwaka ndo wa mwisho kuongoza halmashauri ya jiji hili... Ole wao wañg'ang'añize ushindi patachimbika
 
Back
Top Bottom