Kaby is here

Kaby is here

Kabakabana

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2011
Posts
5,550
Reaction score
1,166
Habari zenu wana chit chat.
I hope wote ni wazima na mnaendelea vema na ujenzi wa taifa letu.
Kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu ilinipasa kupotea kwa muda lakini sasa nimerudi kujumuika nanyi wote.
Niliwamiss sana nyote
 
Siamini sijakumbukwa kiasi hiki basi itabidi nijiondokee tena
 
Wellcome again!
Btw note currently cc have been swallowed so many strangers, that's y wakiona id yako wanadhani form one mwenzao!
Nway enjoy Jf's life.
 
Habari zenu wana chit chat.
I hope wote ni wazima na mnaendelea vema na ujenzi wa taifa letu.
Kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu ilinipasa kupotea kwa muda lakini sasa nimerudi kujumuika nanyi wote.
Niliwamiss sana nyote

Kamkono mama kamkono ushakaondoa kwenye niniliyu? mi kanantiaga mhemuko!
 
Wellcome again!
Btw note currently cc have been swallowed so many strangers, that's y wakiona id yako wanadhani form one mwenzao!
Nway enjoy Jf's life.

Na kweli watu wapya wengi sana ndo narealize nilipotea kitambo sana anyway how u doin?za mwanza?
 
Back
Top Bottom