Kabuye (mbunge pekee wa TLP) Kafariki

R I P Mwl Kabuye
Mungu kampenda zaidi,jina la bwana liimidiwe.
Amen
 
Habari zilizoingia sasa hivi ni kwamba Mhe. Kabuye amefariki akiwa safarini eneo la Morogoro akija jijini Dar es salaam.

Tutamkosa mtu muhimu sana katika ngano za siasa Tanzania.

R.I.P Phares Kabuye
 
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na pia awape nguvu na faraja familia ya marehemu, ndugu, jamaa na marafiki katika msiba mkubwa uliowafika~AMEN.
Ahsante sana kwa kazi yako nzuri Bungeni.
 
Mbunge wa Biharamulo mashariki kwa tiketi ya TLP Mhe Kabuye kafariki,habari zaidi nitazidi kuwaletea

Gharama za uchaguzi ni kubwa na wanatwishwa wananchi, Sasa tunahitaji tufike mahali viongozi wetu wapimwe afya zao kabla ya kupewa uongozi maana si ajabu kwa kufanya hivyo baadhi yao wasinge faa kuchanguliwa. naomba nieleweke sina maana ya kwamba mzee Kabuye alikuwa mgonjwa kwani sijui kilichomwua.
 
ubunge ulitenguliwa na mahakama akakataa rufaaaaaaaaaaaaaaaaa
R.I.P KABUYE
 
Gharama za uchaguzi ni kubwa na wanatwishwa wananchi, Sasa tunahitaji tufike mahali viongozi wetu wapimwe afya zao kabla ya kupewa uongozi maana si ajabu kwa kufanya hivyo baadhi yao wasinge faa kuchanguliwa. naomba nieleweke sina maana ya kwamba mzee Kabuye alikuwa mgonjwa kwani sijui kilichomwua.


Well, hadi sasa waliokufa kwa ugonjwa wamefikia watatu, na waliokufa kwa ajali wamefikia wanne (akiwemo Kabuye).

Halafu ukishawapima ndiyo utajua wanakufa kabla au baada ya miaka mitano? Na ni nani aliyekwambia kwamba viongozi hawapaswi kufa wakiwa madarakani?

RIP Phares Kabuye
 
Viongozi hawafi wakiwa madarakani sijasikia raisi kufa kwa ugonjwa wala waziri hapa duniani zaidi sie walala hoi ndio tunaopukutika ,hawa wakifa basi ujue kuna mkono wa mtu.

Poleni wafiwa.
 
R.I.P. Mh. Phares Kashemeza Kabuye, upumzike salama, mola aiweke roho yako mahala pema peponi, Amen!
 
Mungu amlaze pema peponi Mwl Kabuye..... Pole kwa familia, ndugu jamaa na marafiki.

Kwa kweli nakumbuka wakati wa kampeni (nadhani za Ubunge wa Afrika, kama sio EAC) wakati anajinadi huyu mzee kwa kweli alinimaliza kabisa na hoja zake, namna alivyokuwa anaongea nina uhakika alisisimua watu wengi sana sababu alikuwa na "a special way of doing those"

R.I.P Mhe Mwl Kabuye!!
 
Well, hadi sasa waliokufa kwa ugonjwa wamefikia watatu, na waliokufa kwa ajali wamefikia wanne (akiwemo Kabuye).

Halafu ukishawapima ndiyo utajua wanakufa kabla au baada ya miaka mitano? Na ni nani aliyekwambia kwamba viongozi hawapaswi kufa wakiwa madarakani?

RIP Phares Kabuye

Ilongo
Nimekusoma mkuu nashukuru.
 
Kama hii habari ni kweli then pumzika kwa amani mzee Kabuye. Huyu mbunge nilikuwa namfeel mpaka basi. Anyway nadhani aling'olewa due to some technicality issues.

Watu wote wa maana wanakufa wanabaki maguluguja tu akina Karamagi, Lowassa, Chenge and Co. Kama vipi mzee God malizana nao wanatuwekea usiku tu.
 
Basi la Kampuni ya Rs Investment lililopinduka katika maeneo ya Magubike wilayani Kilosa mkoani Morogoro jana na kusababisha vifo vya watu watatu akiwamo Mbunge wa zamani wa Biharamulo Magharibi, Phares Kabuye.

Source: Habari leo
 
Mzalendo, asante sana kwa habari.... Poleni sana wafiwa wa wote walifariki. Kama kuna majeruhi, waugue pole!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom