Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Toa credits bhanaa kuwa umecopy na kupaste japo umeficha ficha vituAnaboa sana huyo mtoto, halafu hata umuonye vipi tena kwa upole kabisa hasikii.. Inafika mahali mtu uvumilivu unaisha![]()

tukana tenaMkUu mbona umekomaa sana!??Toa credits bhanaa kuwa umecopy na kupaste japo umeficha ficha vitutukana tena
Au ikatokea amepombeka vya kutosha wanamkamata halafu anakana kosa. au anakiri na kuchanganya vifungu walivyomkaririsha hapo ndio sarakasi nyingine itazuka sijui wataweka wakiliHa haa hi sarakasi ya mnyongaji kudakwa na kusomewa mashataka ipo siku utashangaa jamhuri imekana kuhusika![]()
![]()
![]()
![]()
ina maana hiyo kitanzi haifanyi makosa yani ni one for the road??
Anaweza akakokotwa kwa ulevi lakini akishafika kwenye mlango wa chumba cha condemn ule wenyeAu ikatokea amepombeka vya kutosha wanamkamata halafu anakana kosa. au anakiri na kuchanganya vifungu walivyomkaririsha hapo ndio sarakasi nyingine itazuka sijui wataweka wakili
na fuvu kubwa akili humrudi na kupata nguvu ya ajabu😀😀😀Siku ya kwanza leo naona unamtolea mtu povukweli bwana mganga umechefukwa
Anaboa sana huyo mtoto, halafu hata umuonye vipi tena kwa upole kabisa hasikii.. Inafika mahali mtu uvumilivu unaisha![]()
Kwenye hii kaliba sometimes lazima kufanya kolabo la sivyo wenge na kuweweseka havitakoma... Si kila mtu tumuonaye kwa macho ya nyama ni binadamu kamiliHii thread ina mafunzo mengi.... Ila kubwa zaidi inaonesha hao watu wanaopangiwa kazi maalum pia nguvu za giza nyingi wanatumia ktk kujiimarisha ili wasiweweseke ovyo usikuu
Aisee
Nakumbuka kuna nchi waliweka advert ya kazi ya kunyonga kwa mshahara mnono
Nili apply nikakosa