Kabla ya mchezo wa Yanga SC dhidi ya Simba SC wachezaji wa timu zote kupimwa kama wametumia dawa zisizofaa michezoni

Kabla ya mchezo wa Yanga SC dhidi ya Simba SC wachezaji wa timu zote kupimwa kama wametumia dawa zisizofaa michezoni

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Inaelezwa kuwa kabla ya mchezo wa Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga SC dhidi ya Simba SC wachezaji wa timu zote mbili watapimwa kama wametumia dawa zisizofaa michezoni.

1750855978221.png
Ikumbukwe kuna mwaka Jana, kuna video ambayo ilizua mijadala na kuibua tuhuma mbaya kwa klabu ya Yanga kuwa hudungwa Sindano wakati wa mechi zao ambayo mchambuzi wa Soka nchini Jemedari Said alizi-share kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Soma, Pia: Video yaonyesha mabomba ya sindano yanayotuhumiwa kuwa ya Yanga kwenye chumba cha kubadilishia nguo Azam Complex
 
Muda mchache timu zimepewa taarifa na bodi ya ligi kuwa wanahitajika kupima kama wametumia dawa za kusisimua misuli

Hapa hakuna janja leo
 
Inaelezwa kuwa kabla ya mchezo wa Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga SC dhidi ya Simba SC wachezaji wa timu zote mbili watapimwa kama wametumia dawa zisizofaa michezoni.
Hii nzuri

Maana kuna CEO mmoja katika hizo timu mbili, hiyo ndiyo biashara yake😎
 
Kuna timu ilikimbia Azam Complex kwa mambo kama haya ya kufuatiliana.

Haipendezi.

Na ukizingatia kuna CEO mmoja katika timu hizo alishawahi kuhusishwa na hayo makitu
 
Kuna timu ilikimbia Azam Complex kwa mambo kama haya ya kufuatiliana.

Haipendezi.

Na ukizingatia kuna CEO mmoja katika timu hizo alishawahi kuhusishwa na hayo makitu
My wetu mnatafuta kila kisingizio ili tusiwatafune kwa mara ya 5 mfululizo
 
Utopolo hawatakubali utaskia wanasema hatuchezi
 
Utopolo watuma barua 'CAS' kupinga wachezaji wao kupimwa kabla ya dabi leo
 
Back
Top Bottom