GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,716
- 109,150
Ukiona tu GENTAMYCINE hakubali kitu au anakidharau jua kwa kuwa Kwake 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' ukichanganya na tunu (shani ) nyingi alizobarikiwa naye na Mwenyezi Mungu tayari ameshapima kimaono na kugundua madhaifu/mapungufu ya kimsingi.
Na bado nasisitiza kuwa pamoja na mimi kuwa ni Mwamfrika Mzanaki, Mmakuwa, Mtutsi kamwe sitopoteza muda wangu kuishangilia timu yoyote ile kutoka barani Afrika na nawaonea mno huruma hata kuwadharau Waafrika mnaozishangilia timu za Afrika katika hii michuano ya Kombe la Dunia na kuna muda pia huwa nawaona ni kama vile hamnazo!
Kama kawaida yangu timu zangu ni Argentina, Ufaransa, Ujerumani na Uhispania na nina uhakika moja wapo hapa ndiyo inaenda kuwa bingwa hata kama imeanza vibaya.
Michuano pekee ambayo itaandaliwa na nitajitoa kwa moyo wangu na nguvu zangu zote kuzishangilia timu za Afrika ni pakiwa na mashindano ya Ubingwa wa Ujinga, Maradhi, Umasikini na Ushamba uliyotukuka.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!
Na bado nasisitiza kuwa pamoja na mimi kuwa ni Mwamfrika Mzanaki, Mmakuwa, Mtutsi kamwe sitopoteza muda wangu kuishangilia timu yoyote ile kutoka barani Afrika na nawaonea mno huruma hata kuwadharau Waafrika mnaozishangilia timu za Afrika katika hii michuano ya Kombe la Dunia na kuna muda pia huwa nawaona ni kama vile hamnazo!
Kama kawaida yangu timu zangu ni Argentina, Ufaransa, Ujerumani na Uhispania na nina uhakika moja wapo hapa ndiyo inaenda kuwa bingwa hata kama imeanza vibaya.
Michuano pekee ambayo itaandaliwa na nitajitoa kwa moyo wangu na nguvu zangu zote kuzishangilia timu za Afrika ni pakiwa na mashindano ya Ubingwa wa Ujinga, Maradhi, Umasikini na Ushamba uliyotukuka.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!