GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,455
- 108,584
Nawalaumu mno FIFA kwa Kuamua hivi kwani kwa Waafrika tunavyojijua na tunavyojuana pamoja na Kuingiza Timu (Nchi) Kumi (10) kutoka Bara la Afrika bado tutatoka tu Kapa / Peupe.
Kwangu Mimi GENTAMYCINE naona ni Kheri (Bora) hawa FIFA wangeongeza idadi ya Timu / Nchi kwa Mabara yaliyo Serious kama ya America ya Kusini au Ulaya (hasa ile ya Mashariki) lakini siyo kwa Bara letu la Afrika kwani Mwafrika hajawahi Kujitambua na kuwa na Malengo ya Kimantiki juu ya Jambo fulani la Maendeleo / Kimaendeleo.
Mapovu ya Jazba juu yangu rukhsa.
Kwangu Mimi GENTAMYCINE naona ni Kheri (Bora) hawa FIFA wangeongeza idadi ya Timu / Nchi kwa Mabara yaliyo Serious kama ya America ya Kusini au Ulaya (hasa ile ya Mashariki) lakini siyo kwa Bara letu la Afrika kwani Mwafrika hajawahi Kujitambua na kuwa na Malengo ya Kimantiki juu ya Jambo fulani la Maendeleo / Kimaendeleo.
Mapovu ya Jazba juu yangu rukhsa.